Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
- #21
Ndoa ni jehsnamu ya dunianiSawasawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ni jehsnamu ya dunianiSawasawa
Mkuu huku mjini ndoa ni jehanamu...wanawake wanataka uhuru wanaume wanalala nje ya nyumba zao...ni vuruguuHiko jijini mambo ni moto, huku vijijini bado Mungu anasaidia hali haijafika huko
Mafala tena😳Wale mafala wapo sahihi aisee
Miaka nane imetosha kabisa.... Acha tu kila mtu apambane kivyakeMwaka wa kumi na moja huu nipo chamani mimi hizo vurugu sizioni nazisoma tu Jamiiforums kama hivi.
Inaweza kuwa kuna tatizo lakini siyo kubwa kiasi hiko sometimes linachangiwa na ninyi wachezaji wenyewe
Any thoughts??
Miaka kumi na nne Toka nimjue mwamba aiseee ....katika vitu nainjoi ni hii ndoa,huyu kaka libarikiwe tumbo lililokuzaa,ananihurumiela na kunitunza sana jaman,Yuko tayari akose Mimi nipate,Mwaka wa kumi na moja huu nipo chamani mimi hizo vurugu sizioni nazisoma tu Jamiiforums kama hivi.
Inaweza kuwa kuna tatizo lakini siyo kubwa kiasi hiko sometimes linachangiwa na ninyi wachezaji wenyewe
moja ya lengo la ndoa ni kuzaliana. ili kuzaliana ndio kuna hicho kipengele cha ngono. Hatuwezi kufunga ndoa kwa ajili ya ngono tu. Lazima uangalie na malengo mengine. na ndio sababu ndoa zote zinazolenga ngono tu zinakufwaaa na kusambaratika.Kumbe sababu ya ndoa ni Nini? Ushawahi kujiuliza kwann mahanithi (wasiosimamisha mdudu ) hawaruhusiwi kufunga ndoa?
Kama unadhani sababu ya ndoa ni tofauti na ngono unajidanganya.
hii ndio naitaka mimi kwasasa!Ndoa kabla hazijafungwa
Watu wapimwe afya zao za akili kwanza.
Siku hizi kuna ndoa hazifati hata msingi wa ndoa.
Imagine ndoa inafungwa mke anafanya kazi na kuishi Dar. Mume anafanya kazi na kuishi Musoma.
Imagine ni Wanandoa ila kila mtu anaishi kwake. Toka ndoa inaanza mpaka inakwisha wanandoa hawajawai hata kuishi pamoja
acha kudanganya watuMitaani huku ndoa zinavinjika kila kukichaa, leo asubuhi nimekutana na magazeti mawili mmoja mke wa rafiki yangu na mwingine mke wa mjomba wangu wote wanataka kutundika daruga nimekosa cha kuwashauri maana mimi mwenyewe ni mhanga miezi kadhaa iliopita nimepigwa pia na kitu kizito... Sababu walizonieleza ni zile zile nilizopewa mimi kwamba tunadharau,matusi yasiovumilika wao hawana shida na michepuko yetu hata wawe mia tutajijua wenyewe ila matusi dharau mbele ya watoto kuwaona dhaifu na kawaona kama tunawafuga ndio kitu walichoshindwa kuvumilia.
Kama hujaoa kijana mwenzangu hakuna haja ya kuoa
mdogo wangu kwa umri huo ninyi bado wachumba tu.Mwaka wa kumi na moja huu nipo chamani mimi hizo vurugu sizioni nazisoma tu Jamiiforums kama hivi.
Inaweza kuwa kuna tatizo lakini siyo kubwa kiasi hiko sometimes linachangiwa na ninyi wachezaji wenyewe
usiogope! watu wangeelewa kuwa chombo baharini kinaweza kuzama wasingejaribu kupanda. lakini wengi wanaopanda wanauhakika watafika salama hivyo karibu.Ndoa tena?!
awapi wasijaribu! wazungu wengi wanakufa kwa upweke!Kwa hiyo wazee wa kataa NDOA wako sawa? 🤣🤣
NAKAZIANDOA NI UJAMBAZI
KATAA NDOA
Ni bora ndoa zife na watu wabakie, kuliko watu wafe na ndoa zife.Mitaani huku ndoa zinavinjika kila kukichaa, leo asubuhi nimekutana na magazeti mawili mmoja mke wa rafiki yangu na mwingine mke wa mjomba wangu wote wanataka kutundika daruga nimekosa cha kuwashauri maana mimi mwenyewe ni mhanga miezi kadhaa iliopita nimepigwa pia na kitu kizito... Sababu walizonieleza ni zile zile nilizopewa mimi kwamba tunadharau,matusi yasiovumilika wao hawana shida na michepuko yetu hata wawe mia tutajijua wenyewe ila matusi dharau mbele ya watoto kuwaona dhaifu na kawaona kama tunawafuga ndio kitu walichoshindwa kuvumilia.
Kama hujaoa kijana mwenzangu hakuna haja ya kuoa
Miaka kumi na nne Toka nimjue mwamba aiseee ....katika vitu nainjoi ni hii ndoa,huyu kaka libarikiwe tumbo lililokuzaa,ananihurumiela na kunitunza sana jaman,Yuko tayari akose Mimi nipate,
Haya nimekuwa nikiambiwa miaka yote tangu naoa hadi leo siyaoni yakinifika,sisemi ni mazuri hasha.mdogo wangu kwa umri huo ninyi bado wachumba tu.
ila vurugu lazima zitatokea hawa viumbe wanaitwa wanawake ni watata sana kuwa mpole tu.
katika umri wako nilikuwa natongoza michepuko kwa nyodo sana na wengine nawaambia kabisa mke wangu ananipenda sana ila uloho tu ndo unaniponza na bado eti mwanamke anakubali!
moja ya lengo la ndoa ni kuzaliana. ili kuzaliana ndio kuna hicho kipengele cha ngono. Hatuwezi kufunga ndoa kwa ajili ya ngono tu. Lazima uangalie na malengo mengine. na ndio sababu ndoa zote zinazolenga ngono tu zinakufwaaa na kusambaratika.
kwa kauli hii naomba niandike kitu kigumu kidogo kwa kadri nionavyo mimi.KATAA NDOA