Ndoa zinakufa kila kukicha siku hizi

Ndoa zinakufa kila kukicha siku hizi

kwa kauli hii naomba niandike kitu kigumu kidogo kwa kadri nionavyo mimi.
pia inawezekana ipo ajenda ya siri ya kuitawala Afrika kwa njia nyingine ikiwemo kupunguza kuzaliana kwao.
kwa kuwa ndoa huongeza familia kwa kiasi kikubwa.
  1. kukataa ndoa ni nje ya maadili yetu kama waafrika na jamii kiukweli haiwezi kukuheshimu na hasa ukiwa mwanaume. unaonekana hujakamilika hataka kama unawatoto na shughuli zako wanazijua lakini lazima udharauliwe.
  2. unaonekana huwezi kuwa na majukumu na huwezi kuaminika.
  3. unawaongezea watu dhambi ya kukujadili kila kukicha.
  4. unaonekana mvivu na mchoyo kiasi kuwa umejiwekea wigo wa peke yako.
  5. yapo mazingira ya kujikataa na matokeo yake yanaweza kuwa:-
    1. kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
    2. umalaya kupita kiasi
    3. ulevi na utumiaji wa madawa ya kulevya
    4. uvivu na malalamiko
    5. magonjwa ya kuambikiza na yasiyoambukiza
  6. kuwa mbali na ibada na kudharau imani za wengine.
yapo mengi lakini kiukweli usikubali kauli ya kukataa ndoa.
wanawake wao hawanajinsi asipotokea wanafanyaje lakini kwa kijana wa kiume kukataa ndoa ni kutokukamilika.
wapuuzi ndiyo wanaoa
endeleeni kuibiwa huko na hao wezi

NDOA NI LAANA
NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
 
Haya nimekuwa nikiambiwa miaka yote tangu naoa hadi leo siyaoni yakinifika,sisemi ni mazuri hasha.

Mimi ni mwepesi wa kujifunza na hii yako naichukua kama lessons ukichukulia maisha hayana mwalimu,naendelea kujifunza bado sijamaliza.
binafsi natamani iwe hivyo kabisa kwa kifupi mshukuru sana MWENYEZI MUNGU na kunawakati tafuta hata sadaka kwa ndoa yako.
 
wapuuzi ndiyo wanaoa
endeleeni kuibiwa huko na hao wezi

NDOA NI LAANA
NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
hebu tuelekeze vizuri njoo kwetu na angalau ushawishi mpana huwenda hatukuelewi vizuri.
ikiwezekana tueleze kwa hatua kwanini ndoa haifai na maeneo matatu ya ukuaji wetu unaweza kutufaa. yaani kuanzia, ujana,utu uzima na uzeeni.
tusaidie tafadhari (utoe muda wako kama sadaka kutueleza kwa uaminifu kwanini iwe hivyo).
 
hebu tuelekeze vizuri njoo kwetu na angalau ushawishi mpana huwenda hatukuelewi vizuri.
ikiwezekana tueleze kwa hatua kwanini ndoa haifai na maeneo matatu ya ukuaji wetu unaweza kutufaa. yaani kuanzia, ujana,utu uzima na uzeeni.
tusaidie tafadhari (utoe muda wako kama sadaka kutueleza kwa uaminifu kwanini iwe hivyo).
Wajinga Ndiyo wanaoliwa
 
Mitaani huku ndoa zinavinjika kila kukichaa, leo asubuhi nimekutana na magazeti mawili mmoja mke wa rafiki yangu na mwingine mke wa mjomba wangu wote wanataka kutundika daruga nimekosa cha kuwashauri maana mimi mwenyewe ni mhanga miezi kadhaa iliopita nimepigwa pia na kitu kizito... Sababu walizonieleza ni zile zile nilizopewa mimi kwamba tunadharau,matusi yasiovumilika wao hawana shida na michepuko yetu hata wawe mia tutajijua wenyewe ila matusi dharau mbele ya watoto kuwaona dhaifu na kawaona kama tunawafuga ndio kitu walichoshindwa kuvumilia.

Kama hujaoa kijana mwenzangu hakuna haja ya kuoa
Nyie mnahaki ya kupigwa chini
 
hebu tuelekeze vizuri njoo kwetu na angalau ushawishi mpana huwenda hatukuelewi vizuri.
ikiwezekana tueleze kwa hatua kwanini ndoa haifai na maeneo matatu ya ukuaji wetu unaweza kutufaa. yaani kuanzia, ujana,utu uzima na uzeeni.
tusaidie tafadhari (utoe muda wako kama sadaka kutueleza kwa uaminifu kwanini iwe hivyo).
Hajawahi kuwa kwenye ndoa.
Hanaga sababu ni kufurahisha tu.
 
moja ya lengo la ndoa ni kuzaliana. ili kuzaliana ndio kuna hicho kipengele cha ngono. Hatuwezi kufunga ndoa kwa ajili ya ngono tu. Lazima uangalie na malengo mengine. na ndio sababu ndoa zote zinazolenga ngono tu zinakufwaaa na kusambaratika.
Kuzaa hata mahawara wanaozaa. Ndoa ilianzishwa kwa lengo la kuepusha uzinifu yaani ngono ifanyike kwa walengwa tu.

Lkn kwa dunia ya Leo ngono ni kwa kila mmoja na kwa yeyote. Kwa mantiki hiyo basi ndoa zimepoteza mwelekeo.
 
Kuna mambo kwenye taasisi ya ndoa lazima upuuzie ili uendelee kuishii

sikuwahi amini wakati nasoma sekondari na chuo wale tulokuwa twawaona vicheche ....wapenda anasa/starehe... snitch leo hii wako kwa ndoa na wamedumu bila hata kuteterekaaa ..... so long as CV zao zinajulikana hata upeleke umbea unapuuzwaaa
 
Ndoa kabla hazijafungwa

Watu wapimwe afya zao za akili kwanza.

Siku hizi kuna ndoa hazifati hata msingi wa ndoa.

Imagine ndoa inafungwa mke anafanya kazi na kuishi Dar. Mume anafanya kazi na kuishi Musoma.

Imagine ni Wanandoa ila kila mtu anaishi kwake. Toka ndoa inaanza mpaka inakwisha wanandoa hawajawai hata kuishi pamoja
Me nasimamia hapa!
 
Ukiangalia kwa umaniki ndoa ni upuuzi fulani hivi,
Jifunze, kwa, waliofanikiwa, kwenye ndoa,Lowasa, Samuel Sita, Kusaga, David Beckham, wewe usiangalie ndoa zilizovunjika za, watu wadogo(ki akili, na fedha), MTU elimu ya, degree tu imemtoa kamasi,MTU ambae wivu unamsababishia msongo wa mawazo.zipo ndoa mbovu zipo na zenye neema kubwa! Fatilia ndoa ya, Bill gates, ilivyovunjika, hakuna ma drama meeengi ya kipuuzi! Akili kubwa. Unaolewa, lakini bado una hamu na pipe ya kipenzi, cha zamani, unataka Kodi ya fremu,ka ist, na bring bring kibao, kutoka kwa boss, lqzima utamegwa tu! Mpaka unakuja kuoa, kuolewa, umeishakalia pipe 10+, umeishaingia kwenye visima 10+! Unajua Radha tofauti, makeover, mumeo hataweza kukutosha! Only a miracle will save you!
Sie tulioingia ndoani,tukiwa hatujaonja! ndio hicho hicho! Ndoa ni kwa watakatifu tu!
 
Back
Top Bottom