Ndoa zinakufa kila kukicha siku hizi

wapuuzi ndiyo wanaoa
endeleeni kuibiwa huko na hao wezi

NDOA NI LAANA
NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
 
Haya nimekuwa nikiambiwa miaka yote tangu naoa hadi leo siyaoni yakinifika,sisemi ni mazuri hasha.

Mimi ni mwepesi wa kujifunza na hii yako naichukua kama lessons ukichukulia maisha hayana mwalimu,naendelea kujifunza bado sijamaliza.
binafsi natamani iwe hivyo kabisa kwa kifupi mshukuru sana MWENYEZI MUNGU na kunawakati tafuta hata sadaka kwa ndoa yako.
 
wapuuzi ndiyo wanaoa
endeleeni kuibiwa huko na hao wezi

NDOA NI LAANA
NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
hebu tuelekeze vizuri njoo kwetu na angalau ushawishi mpana huwenda hatukuelewi vizuri.
ikiwezekana tueleze kwa hatua kwanini ndoa haifai na maeneo matatu ya ukuaji wetu unaweza kutufaa. yaani kuanzia, ujana,utu uzima na uzeeni.
tusaidie tafadhari (utoe muda wako kama sadaka kutueleza kwa uaminifu kwanini iwe hivyo).
 
Wajinga Ndiyo wanaoliwa
 
Nyie mnahaki ya kupigwa chini
 
Hajawahi kuwa kwenye ndoa.
Hanaga sababu ni kufurahisha tu.
 
moja ya lengo la ndoa ni kuzaliana. ili kuzaliana ndio kuna hicho kipengele cha ngono. Hatuwezi kufunga ndoa kwa ajili ya ngono tu. Lazima uangalie na malengo mengine. na ndio sababu ndoa zote zinazolenga ngono tu zinakufwaaa na kusambaratika.
Kuzaa hata mahawara wanaozaa. Ndoa ilianzishwa kwa lengo la kuepusha uzinifu yaani ngono ifanyike kwa walengwa tu.

Lkn kwa dunia ya Leo ngono ni kwa kila mmoja na kwa yeyote. Kwa mantiki hiyo basi ndoa zimepoteza mwelekeo.
 
Kuna mambo kwenye taasisi ya ndoa lazima upuuzie ili uendelee kuishii

sikuwahi amini wakati nasoma sekondari na chuo wale tulokuwa twawaona vicheche ....wapenda anasa/starehe... snitch leo hii wako kwa ndoa na wamedumu bila hata kuteterekaaa ..... so long as CV zao zinajulikana hata upeleke umbea unapuuzwaaa
 
Me nasimamia hapa!
 
Ukiangalia kwa umaniki ndoa ni upuuzi fulani hivi,
Jifunze, kwa, waliofanikiwa, kwenye ndoa,Lowasa, Samuel Sita, Kusaga, David Beckham, wewe usiangalie ndoa zilizovunjika za, watu wadogo(ki akili, na fedha), MTU elimu ya, degree tu imemtoa kamasi,MTU ambae wivu unamsababishia msongo wa mawazo.zipo ndoa mbovu zipo na zenye neema kubwa! Fatilia ndoa ya, Bill gates, ilivyovunjika, hakuna ma drama meeengi ya kipuuzi! Akili kubwa. Unaolewa, lakini bado una hamu na pipe ya kipenzi, cha zamani, unataka Kodi ya fremu,ka ist, na bring bring kibao, kutoka kwa boss, lqzima utamegwa tu! Mpaka unakuja kuoa, kuolewa, umeishakalia pipe 10+, umeishaingia kwenye visima 10+! Unajua Radha tofauti, makeover, mumeo hataweza kukutosha! Only a miracle will save you!
Sie tulioingia ndoani,tukiwa hatujaonja! ndio hicho hicho! Ndoa ni kwa watakatifu tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…