Ndoto: Hivi mwanasiasa wa kiume anawezaje kushinda Miss Tanzania?

Ni ngumu kwa Mwanaume kushinda Miss Tanzania hiyo December na haiwezi kutokea.
 
Eti mwenyekiti wa ccm taifa awe mwanaume?

K for kawaida wa uvficm na r for rehema, makam wa k.
 
Yale mashindano ya Umiss ndo yanafanyika Dodoma sasa, kwahyo tusubili kuona huyo mwanaume atakayeshinda
 
Herufi sijaiweka hapa maana nikiiweka tu kila mtu atamjua,herufi naogopa kuitaja maana ntaleta taharuki kwa muhusika.Lakini sijui nini kitamtokea MAMA hausiki kabisa na hii ndoto mwacheni ale BATA bila wasi wasi
Herufi pekee Bila kupepesa macho mtu ataijua ni "JK" hizo nyinginezo sio Rahisi!
 
Herufi sijaiweka hapa maana nikiiweka tu kila mtu atamjua,herufi naogopa kuitaja maana ntaleta taharuki kwa muhusika.Lakini sijui nini kitamtokea MAMA hausiki kabisa na hii ndoto mwacheni ale BATA bila wasi wasi
Wataanza na shina kwao kumstaafisha mstaafu halafu HUYO mwingine atakaa pembeni mwenyewe!
 
Jibu la swali lako lipo kwenye maana ya hii methari ya NGURUWE KAVAA HIJABU
 
Huyu mtu ndoto zake zote zinatimia! Kama ni hatari tuambie tuombee Taifa ila kama ni vinginevyo ngoja tuwe na subira. Ndio maana wenye akili nyakati hizi hazitaki ushabiki! Mambo yanaweza kubadilika ukakosa pa kuweka sura.
Kwa ujiniasi wangu ...mambo ya hatari na yakutisha ndiyo yanayo takiwa sasahivi Tanzania ...wala siyo wakati wa kuyaombea yasitokee .na yasipo tokea mambo ya hatari kwa wakati huu tuliopo basi tumekwisha narudia tumekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…