Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Habari mkuu.


Waweza nisaidia ndoto hizi mkuu ambazo hujirudia kila mara.
1.Kucheza mpira na rafiki zako wa utotoni.
2.Kuwa darasani unasoma shule ya msingi
3.Kuua nyoka mweusi
4.Kuliona jina lako juu na kila mtu analishangaa
5.Kuwa mwanajeshi unayefunza watu mafunza jeshin au shuleni wakati mwingine unaongoza watu vitani.
6.Kuyaona maneno Mene Mene na Tekeri angani (hii ilitokea mara moja)
7.Kuwaona watu wawili ambao nafsi yako inaamini ni DAUD na YUSUFU wa katika biblia
8.Kusafiri kwa kupaa angani uku unafurahi
9.Kuwaona samaki au ng'ombe kila mara.





HIZI NDIO NDOTO AMBAZO KILA MARA NAOTESHWA ZINA MAANA GANI.
 
Ndoto No 8 na 4 ni ndoto moja ila imekuja kwa aina tofauti ila ina maana moja.

Nitakuelezea ila neno linasema tumeketishwa pamoja na Kristo .

Na Kristo ameketi juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia

22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwaajili ya kanisa ambalo ..23 mwili wake, ...

Efeso 1:20-23


## kanisa ni sisi
Sisi ni mwil wa KRISTO ndio maana anasema tutoe miili yetu iwe dhabihu timilifu

Ufunuo 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika chake cha enzi

Kama Kristo yupo juu hata sisi tunatawala pamoja naye

Lakini lazima ushinde ndipo utaketi
Sijui nikueelezee vip

Ila ni aina ya ndoto kuwa upo juu ya wa wengine
Naweza unganisha pia na ndoto ya uongozi.( ukijichunguza angalia watu wanakuchukuliaje na kama haupo hivyo)

Turudi ktk ndoto ya hiyi ng'ombe
Ng'ombe ni miungu .

Turud kipindi cha Musa wakat Musa yupo mlimani( Sinai). Haruni na wengine walitengeneza mungu kwa muundo wa ndama

Kutoka 32:1-8( soma)
2 Haruni akawaambia zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu mkaniletee.

4b akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha, nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israel, iliyo kutoa katika nchi ya Misri

Ndama( ng'ombe) ni miungu/ mizimu
Sijajua kuna nini lakini rudi nyuma angalia familia ukute kuna maagano
Ndio maana unakwama mahali hata Mungu akitaka kuongea kuna vitu vingone hasemi sababu kuna miungu mingine( inahitajika toba ili Mungu akae katika nafasi yake. Toba inampa Mungu uhalali wa kumiliki familia au eneo kwa nguvu zaidi)

Soma habar yote ya Musa sura ya 32 yote

** samaki sijaua. Huyo samaki umeota kwa kivipi wanafanyaje



Nyoka. Nyoka turejee mwazo
Nyoka ni Ibilisi, nyoka anatumiwa na shetani au watu wa nguvu za giza

Nyoka ni sumu kila mara unapoota nyoka ujue kuna vita unavyo hivyo lazima ujue kuomba maombi ya vita ili Mungu akushindie
Soma ufunuo 12 Yote.( Mungu akufungue macho ya kuomba viziuri tumia Neno ili kufanya maombi kuhusu kuhusu huyo nyoka

Mungu aingilie kati Mikael malaika waingilie kati kupigana na huyo nyoka

Na Mwana Kondoo wa Mungu akushindie.

Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana Kondoo ufunuo 12:11
Tumia damu Ya Yesu kuomba pia

Nielezee vizur hiyo kucheza mpira imekuwaje?


Sijui umepata kitu hapo.
Palipo pungua Roho Mtakatifu akuongezee zaid
 
Ndoto No 8 na 4 ni ndoto moja ila imekuja kwa aina tofauti ila ina maana moja.

Nitakuelezea ila neno linasema tumeketishwa pamoja na Kristo .

Na Kristo ameketi juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia

22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwaajili ya kanisa ambalo ..23 mwili wake, ...

Efeso 1:20-23


## kanisa ni sisi
Sisi ni mwil wa KRISTO ndio maana anasema tutoe miili yetu iwe dhabihu timilifu

Ufunuo 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika chake cha enzi

Kama Kristo yupo juu hata sisi tunatawala pamoja naye

Lakini lazima ushinde ndipo utaketi
Sijui nikueelezee vip

Ila ni aina ya ndoto kuwa upo juu ya wa wengine
Naweza unganisha pia na ndoto ya uongozi.( ukijichunguza angalia watu wanakuchukuliaje na kama haupo hivyo)

Turudi ktk ndoto ya hiyi ng'ombe
Ng'ombe ni miungu .

Turud kipindi cha Musa wakat Musa yupo mlimani( Sinai). Haruni na wengine walitengeneza mungu kwa muundo wa ndama

Kutoka 32:1-8( soma)
2 Haruni akawaambia zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu mkaniletee.

4b akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha, nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israel, iliyo kutoa katika nchi ya Misri

Ndama( ng'ombe) ni miungu/ mizimu
Sijajua kuna nini lakini rudi nyuma angalia familia ukute kuna maagano
Ndio maana unakwama mahali hata Mungu akitaka kuongea kuna vitu vingone hasemi sababu kuna miungu mingine( inahitajika toba ili Mungu akae katika nafasi yake. Toba inampa Mungu uhalali wa kumiliki familia au eneo kwa nguvu zaidi)

Soma habar yote ya Musa sura ya 32 yote

** samaki sijaua. Huyo samaki umeota kwa kivipi wanafanyaje



Nyoka. Nyoka turejee mwazo
Nyoka ni Ibilisi, nyoka anatumiwa na shetani au watu wa nguvu za giza

Nyoka ni sumu kila mara unapoota nyoka ujue kuna vita unavyo hivyo lazima ujue kuomba maombi ya vita ili Mungu akushindie
Soma ufunuo 12 Yote.( Mungu akufungue macho ya kuomba viziuri tumia Neno ili kufanya maombi kuhusu kuhusu huyo nyoka

Mungu aingilie kati Mikael malaika waingilie kati kupigana na huyo nyoka

Na Mwana Kondoo wa Mungu akushindie.

Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana Kondoo ufunuo 12:11
Tumia damu Ya Yesu kuomba pia

Nielezee vizur hiyo kucheza mpira imekuwaje?


Sijui umepata kitu hapo.
Palipo pungua Roho Mtakatifu akuongezee zaid
hata hivyo nashukuru mkuu.
 
Ndoto No 8 na 4 ni ndoto moja ila imekuja kwa aina tofauti ila ina maana moja.

Nitakuelezea ila neno linasema tumeketishwa pamoja na Kristo .

Na Kristo ameketi juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia

22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwaajili ya kanisa ambalo ..23 mwili wake, ...

Efeso 1:20-23


## kanisa ni sisi
Sisi ni mwil wa KRISTO ndio maana anasema tutoe miili yetu iwe dhabihu timilifu

Ufunuo 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika chake cha enzi

Kama Kristo yupo juu hata sisi tunatawala pamoja naye

Lakini lazima ushinde ndipo utaketi
Sijui nikueelezee vip

Ila ni aina ya ndoto kuwa upo juu ya wa wengine
Naweza unganisha pia na ndoto ya uongozi.( ukijichunguza angalia watu wanakuchukuliaje na kama haupo hivyo)

Turudi ktk ndoto ya hiyi ng'ombe
Ng'ombe ni miungu .

Turud kipindi cha Musa wakat Musa yupo mlimani( Sinai). Haruni na wengine walitengeneza mungu kwa muundo wa ndama

Kutoka 32:1-8( soma)
2 Haruni akawaambia zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu mkaniletee.

4b akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha, nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israel, iliyo kutoa katika nchi ya Misri

Ndama( ng'ombe) ni miungu/ mizimu
Sijajua kuna nini lakini rudi nyuma angalia familia ukute kuna maagano
Ndio maana unakwama mahali hata Mungu akitaka kuongea kuna vitu vingone hasemi sababu kuna miungu mingine( inahitajika toba ili Mungu akae katika nafasi yake. Toba inampa Mungu uhalali wa kumiliki familia au eneo kwa nguvu zaidi)

Soma habar yote ya Musa sura ya 32 yote

** samaki sijaua. Huyo samaki umeota kwa kivipi wanafanyaje



Nyoka. Nyoka turejee mwazo
Nyoka ni Ibilisi, nyoka anatumiwa na shetani au watu wa nguvu za giza

Nyoka ni sumu kila mara unapoota nyoka ujue kuna vita unavyo hivyo lazima ujue kuomba maombi ya vita ili Mungu akushindie
Soma ufunuo 12 Yote.( Mungu akufungue macho ya kuomba viziuri tumia Neno ili kufanya maombi kuhusu kuhusu huyo nyoka

Mungu aingilie kati Mikael malaika waingilie kati kupigana na huyo nyoka

Na Mwana Kondoo wa Mungu akushindie.

Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana Kondoo ufunuo 12:11
Tumia damu Ya Yesu kuomba pia

Nielezee vizur hiyo kucheza mpira imekuwaje?


Sijui umepata kitu hapo.
Palipo pungua Roho Mtakatifu akuongezee zaid
Nakupata vizuri mkuu na nafurahi kunirejesha katika mifano ya zama.



NG'OMBE mara nyingi huwa nawaona watu wanachunga mara nyingine huwa naziona tu barabarani napishana nazo ijapokuwa zingine huwa zinaonesha kuwa na hasira.
 
Nakupata vizuri mkuu na nafurahi kunirejesha katika mifano ya zama.



NG'OMBE mara nyingi huwa nawaona watu wanachunga mara nyingine huwa naziona tu barabarani napishana nazo ijapokuwa zingine huwa zinaonesha kuwa na hasira.
Kucheza mpira mara nyingi nacheza na rafiki wa utotoni katika uwanja niliosoma nao shule ya msingi huwa tunawafunga ama wanatufunga kifupi tunafurahia ila binafsi huwa nachoka uwanjani.





KUHUSU mwanajeshi kiukweli huwa tunashinda mara nyingi naota natekwa na watu kabla hawajaanza kunipiga huwa wanatokea vijana wangu wa JWTZ ila MP watekaji wanakimbia vijana wananipigia saluti(IMETOKEA MARA TATU)mara nyingine huwa nawafunza mafunzo ya kijeshi wanafunzi shule ya msingi niliyosoma mimi
 
Usiku wa kuamkia Leo nimeota ndoto . naona nipo sehemu nafanya kazi na sijui ni kazi gani.

Nikamsikia mtu aniambia "ona umeng'atwa nyoka" kweli kuona mkononi nikakuta jeraha na likaanza kuuma ndipo nikajifunga kwa namba na mpira nikawaomba wanikimbize hospitalini wakakataa ndipo nikashtuka usingizini.

JE HII NDOTO INA MAANA GANI.?
 
Inategemea na imani yako. Kisayansi wanasema ni uchovu wa fikra pengine upande wa kazini kwako kuna stress hivyo ndoto hiyo inaakisi fikra zako.
Kijadi hiyo ndoto inaashiria uadui maana nyoka daima anawakilisha uadui kiasili. Kwa vile umeota upo kazini hivyo moja kwa moja inaakisi uadui unaokuzunguka kazini ama unapopatia riziki yako inawezekana usiwe wa dhahiri, inaweza ika hata wa wivu tu. Kitendo cha kujihudumia mwenye kunamaanisha umevuka uadui huo na pia kuambiwa kwako juu ya kung'atwa kunamaanisha wapo walio wema kwako.
Narudia tena kulingana na imani yako basi utajua jinsi gani ya kuichukulia ndoto yako. Cha muhimu ni kumuweka Mungu mbele ili akuepushe na mabalaa uyaonayo na usiyoyaona.
 
Kama kuna sehemu umeajiriwa jiandae kupata misukosuko ya nguvu na kuna marafiki wako hapa kazini watakusaliti na kukukana!
 
Kesho Mungu akinipa uzima, nitakupa kwa kiasi na kadiri roho wa Mungu atakavyonikalia. Chamsingi hiyo ni vita ya umiliki wa kazi ya mikono yako, adui zako hawataki mikono yako ifanyekazi na ifanikiwe.

Mi ni mkristo nyoka maana yake audui kati ya uzao wa mwanamke na uzao wa mashetani na maajent wake.
Kumwa mikono maana yake ni kudhoofisha/kuleta laana au kuondoa baraka za kazi za mikono yaako.

Naamna ya kushughurika nao. Pigana nao rohoni. Kama ni mkristo Damu ya Yesu, Yesu akinipa uzima kesho nitakazia zaidi kadri ya roho wa Bwana atakavyonipa.
 
Back
Top Bottom