Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto tunazoota na tafsiri zake

..HAMNA Cha tafsiri Ya ndoto wala nini,its Just daydream ideas maana umechoka na umelala no puzzles wala chochote [emoji41]
 
Binadamu tunakuwa wapole pale mtu anapokuwa na shida baada ya wewe kuwasaidia hawakuona umuhimu wako baada ya kuwa wameokolewa so tenda wema nenda zako and be care with people
 
Mi naota sana niko darasani wkt mi nishamaliza chuo/shule miaka kadhaa iliyopita,ndoto hii inamaanisha nini mkuu Christine Ibrahim?
Mm pia hua naota sana haya mambo na kiuhalisia Mambo Mambo yangu yako hovyo yaani nina degrees lakini kazi kwangu kupata imekua ndoto mpaka nimekata tamaa nafanya mambo mengine hizi ndoto zna maana ya anguko kwenye mambo fulani natamani mwenye ufafanuzi wa haya atupe mana huwa naota mara kwa mara kuna nyingine naota mshikaji aliekua anakimbiza chuo cozi moja ambaye yupo nje ananambiA hii nafasi ilikuwa yako nashindwa kuelewa kbsa
 
Habari zenu wanajamii, naimani mko salama,

Mwenzenu ninaota aina moja ya ndoto tokea 2009, haipiti siku tatu sijaota nasafiri au nagombania usafiri au nahangaika stand ya mabasi.

Tafadhali mwenye uelewa anifafanulie ndoto hii tafadhali. Naamini kuna watu humu wanauelewa na wanaweza saidia kutafakari.

Natanguliza shukrani.
 
Hiyo safari unafika?

Unagombania uende mahali na kina nani?

Mazingira yepi?

Ukiwa stand ina maana kuna mahal inabidi ufike( hatua ya maisha, ngazi fulani ya maisha inabid uifikie)

Sasa hiyo kugombania ni hivi
Tuje ktk hali ya kawaida
Kwenye kugombania lazima apatikane wa kuingia ktk bus.

Unachokitaka kina competition kubwa kuna watu wanagombania hapo hapo

Muombe Mungu akushindie ungie ktk hilo bus

Na sio kuingia tu na uanze safari na ifike mwisho ambao Mungu alio ukusudia

Sasa yamkini unaomba unahitaji kuvuka hapo

Mungu anakurudisha kuwa umekwama hili eneo
Huwez vuka had uwe na maandalizi

Maandalizi Yepi? ( hapa muombe Mungu akuvushe , omba usitegemee akili zako mwenyewe, omba ukimaanisha na kwa imani timilifu)

Sijui nimeeleweka.?
Ukiweka ndoto weka maelezo sababu mtu atashindwa aeleze vipi, kuna vitu ukiviacha ktk ndoto ndoto inapoteza baadhi ya maana

Mungu akuvushe ulipo kwama.
 
Hiyo safari unafika?

Unagombania uende mahali na kina nani?

Mazingira yepi?

Ukiwa stand ina maana kuna mahal inabidi ufike( hatua ya maisha, ngazi fulani ya maisha inabid uifikie)

Sasa hiyo kugombania ni hivi
Tuje ktk hali ya kawaida
Kwenye kugombania lazima apatikane wa kuingia ktk bus.

Unachokitaka kina competition kubwa kuna watu wanagombania hapo hapo

Muombe Mungu akushindie ungie ktk hilo bus

Na sio kuingia tu na uanze safari na ifike mwisho ambao Mungu alio ukusudia

Sasa yamkini unaomba unahitaji kuvuka hapo

Mungu anakurudisha kuwa umekwama hili eneo
Huwez vuka had uwe na maandalizi

Maandalizi Yepi? ( hapa muombe Mungu akuvushe , omba usitegemee akili zako mwenyewe, omba ukimaanisha na kwa imani timilifu)

Sijui nimeeleweka.?
Ukiweka ndoto weka maelezo sababu mtu atashindwa aeleze vipi, kuna vitu ukiviacha ktk ndoto ndoto inapoteza baadhi ya maana

Mungu akuvushe ulipo kwama.
Amina nashukuru sana kwa muda wako.
Nimekuelewa kiongozi nityafanya hivyo.
Kwanza miaka ya 2009 -2010 ilikuwa ni magari madogo ila meupe na nilikuwa napanda sigombanii ila ninaokuwa nao maranyingi sikuwa nawatambua na sifiki mwisho wa safari.
Kwenye mabasi Mara nyingi nagombania na ndugu
Mazingira huwa ni ya Miji Mikubwa.
Kwenye bus nimewahi kufanikiwa kuingia na kuanza safari mara moja ila nilikaa na mama mmoja mnene kavaa ushungi ila simfahamu na sikufanikiwa kufika nilipokuwa naenda na sijui nilikuiwa naenda wapi.
 
Amina nashukuru sana kwa muda wako.
Nimekuelewa kiongozi nityafanya hivyo.
Kwanza miaka ya 2009 -2010 ilikuwa ni magari madogo ila meupe na nilikuwa napanda sigombanii ila ninaokuwa nao maranyingi sikuwa nawatambua na sifiki mwisho wa safari.
Kwenye mabasi Mara nyingi nagombania na ndugu
Mazingira huwa ni ya Miji Mikubwa.
Kwenye bus nimewahi kufanikiwa kuingia na kuanza safari mara moja ila nilikaa na mama mmoja mnene kavaa ushungi ila simfahamu na sikufanikiwa kufika nilipokuwa naenda na sijui nilikuiwa naenda wapi.

Amina nashukuru sana kwa muda wako.
Nimekuelewa kiongozi nityafanya hivyo.
Kwanza miaka ya 2009 -2010 ilikuwa ni magari madogo ila meupe na nilikuwa napanda sigombanii ila ninaokuwa nao maranyingi sikuwa nawatambua na sifiki mwisho wa safari.
Kwenye mabasi Mara nyingi nagombania na ndugu
Mazingira huwa ni ya Miji Mikubwa.
Kwenye bus nimewahi kufanikiwa kuingia na kuanza safari mara moja ila nilikaa na mama mmoja mnene kavaa ushungi ila simfahamu na sikufanikiwa kufika nilipokuwa naenda na sijui nilikuiwa naenda wapi.






Safari ni hatua ya kwenda mahali fulani.
Muombe Mungu akuongoze

Kutoka13:20
Nao wakasafiri kutoka Sukothi, wakapiga kambi Ethamu, kwenye mpka wa ile jangwa

21 Bwana naye akawatangulia mchana nndani ya wingu mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru, wapate kusafiri mchana na usiku,

22 ile nguzo ya wingu haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku, mbele ya hao watu

## unaona hapo juu hao wana wa Israel walikua na safari
Lakin aliye kuwa anawaongoza Mungu mwenyewe kupitia hizo nguzo mbili

Sasa ukiwa unaomba mwambie Mungu kama alivyo waongoza safar hao wana wa Israel na ww akuongoze

Akupitishe ktk njia ambayo aliyo kuandalia

Ukisoma vizuri hiyo kutoka 14 yote
Utakuta farao aliwafuatia hao wana wa Yakobo

Lakin Mungu aliwafanya wamezwe na maji

Mwambie Mungu nipitapo ktk hii safari wamezwe hao wanaotaka kunikwamisha

Waaibishwe wale wasio taka niifikie kanan yangu

Omba sababu Mungu anatumia Neno kukuvusha
Wakat unaomba kuwa na Imani na Mungu sababu hakuna cha kumshinda

Na kama kuna mtu yeyote aliye pamoja nami ktk safar ambaye ananifanya nisifike.
Mungu shughulika nao kama ulivyo shughulika na Farao na jeshi lake


## sababu naona hapo kuna watu wanajaribu kukurudisha nyuma

Na omba Mungu awe dereva ktk hilo gari ili ufike ktk destination iliyo pangwa

Mungu akiwa dereva huwez ishia njian
 
Safari ni hatua ya kwenda mahali fulani.
Muombe Mungu akuongoze

Kutoka13:20
Nao wakasafiri kutoka Sukothi, wakapiga kambi Ethamu, kwenye mpka wa ile jangwa

21 Bwana naye akawatangulia mchana nndani ya wingu mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru, wapate kusafiri mchana na usiku,

22 ile nguzo ya wingu haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku, mbele ya hao watu

## unaona hapo juu hao wana wa Israel walikua na safari
Lakin aliye kuwa anawaongoza Mungu mwenyewe kupitia hizo nguzo mbili

Sasa ukiwa unaomba mwambie Mungu kama alivyo waongoza safar hao wana wa Israel na ww akuongoze

Akupitishe ktk njia ambayo aliyo kuandalia

Ukisoma vizuri hiyo kutoka 14 yote
Utakuta farao aliwafuatia hao wana wa Yakobo

Lakin Mungu aliwafanya wamezwe na maji

Mwambie Mungu nipitapo ktk hii safari wamezwe hao wanaotaka kunikwamisha

Waaibishwe wale wasio taka niifikie kanan yangu

Omba sababu Mungu anatumia Neno kukuvusha
Wakat unaomba kuwa na Imani na Mungu sababu hakuna cha kumshinda

Na kama kuna mtu yeyote aliye pamoja nami ktk safar ambaye ananifanya nisifike.
Mungu shughulika nao kama ulivyo shughulika na Farao na jeshi lake


## sababu naona hapo kuna watu wanajaribu kukurudisha nyuma

Na omba Mungu awe dereva ktk hilo gari ili ufike ktk destination iliyo pangwa

Mungu akiwa dereva huwez ishia njian
Ameen asante sana nimekuelewa na nitafanya hivyo. God Bless you
 
Tafuta somo la malango. Tulijibu hili swali.
Divine, Mimi niliota nimeitwa Usiku nikiwa nimelala, kwenda kupokea wageni. Nilipoenda nje (gizani ktk ndoto) nikaelekezwa mahali ambapo kulikuwa na ngazi ndefu kuanzia chini duniani hadi mbinguni. Ilikuwa nzuri sana ya mg'ao wa dhahabu na Mwanga mzuri uliimulika ngazi ile tokea mbinguni. Nikasimama pale chini ya hiyo ngazi, na tazama nikaona watu wanapanda na kushuka kwenye ile ngazi! Nikafurahi sana huku nikiendelea kusubiria wageni wangu wafike. Kwa mbali kidogo nikaona ngazi nyingine kama hiyo lakini kwenye hiyo sikuona watu wakipanda na kushuka. Wakati nashangaa hiyo ngazi nyingine, nikaskia sauti ikinisemesha, ndipo nikageuka kuangalia nikaona mtu aliyevalia vizuri mavazi ya dhahabu akinitazama. Alipoona nimemuona akaendelea na safari kupanda juu akiwa amebeba kitu kama kikapu.

Mara wakafika wageni wangu kutoka juu kwenye ile ngazi (mbinguni), walikuwa wawili. Tukasalimiana kisha kwa kujua Mimi ndiyo mwenyeji nikataka niwaongoze lakini wao wakanishika mikononi mwao (mmoja kushoto, na mqingine kulia) wakanambia " haya twende". Tukaondoka pale kwenye hiyo nuru(kwenye ile ngazi) na kuelekea gizani maana ilikuwa Usiku.

Sijaelewa ni kitu gani hasa kimo ndani ya ndoto ile ingawa Nina amani sana na kila niikumbuka nasikia furaha sana ndani mwangu.
 
Divine, Mimi niliota nimeitwa Usiku nikiwa nimelala, kwenda kupokea wageni. Nilipoenda nje (gizani ktk ndoto) nikaelekezwa mahali ambapo kulikuwa na ngazi ndefu kuanzia chini duniani hadi mbinguni. Ilikuwa nzuri sana ya mg'ao wa dhahabu na Mwanga mzuri uliimulika ngazi ile tokea mbinguni. Nikasimama pale chini ya hiyo ngazi, na tazama nikaona watu wanapanda na kushuka kwenye ile ngazi! Nikafurahi sana huku nikiendelea kusubiria wageni wangu wafike. Kwa mbali kidogo nikaona ngazi nyingine kama hiyo lakini kwenye hiyo sikuona watu wakipanda na kushuka. Wakati nashangaa hiyo ngazi nyingine, nikaskia sauti ikinisemesha, ndipo nikageuka kuangalia nikaona mtu aliyevalia vizuri mavazi ya dhahabu akinitazama. Alipoona nimemuona akaendelea na safari kupanda juu akiwa amebeba kitu kama kikapu.

Mara wakafika wageni wangu kutoka juu kwenye ile ngazi (mbinguni), walikuwa wawili. Tukasalimiana kisha kwa kujua Mimi ndiyo mwenyeji nikataka niwaongoze lakini wao wakanishika mikononi mwao (mmoja kushoto, na mqingine kulia) wakanambia " haya twende". Tukaondoka pale kwenye hiyo nuru(kwenye ile ngazi) na kuelekea gizani maana ilikuwa Usiku.

Sijaelewa ni kitu gani hasa kimo ndani ya ndoto ile ingawa Nina amani sana na kila niikumbuka nasikia furaha sana ndani mwangu.
Soma mwanzo 28:10-21

Halafu uonishe na hicho ulicho kiandika
 
Soma mwanzo 28:10-21

Halafu uonishe na hicho ulicho kiandika
Habari mkuu.


Waweza nisaidia ndoto hizi mkuu ambazo hujirudia kila mara.
1.Kucheza mpira na rafiki zako wa utotoni.
2.Kuwa darasani unasoma shule ya msingi
3.Kuua nyoka mweusi
4.Kuliona jina lako juu na kila mtu analishangaa
5.Kuwa mwanajeshi unayefunza watu mafunza jeshin au shuleni wakati mwingine unaongoza watu vitani.
6.Kuyaona maneno Mene Mene na Tekeri angani (hii ilitokea mara moja)
7.Kuwaona watu wawili ambao nafsi yako inaamini ni DAUD na YUSUFU wa katika biblia
8.Kusafiri kwa kupaa angani uku unafurahi
9.Kuwaona samaki au ng'ombe kila mara.





HIZI NDIO NDOTO AMBAZO KILA MARA NAOTESHWA ZINA MAANA GANI.
 
Habari mkuu.


Waweza nisaidia ndoto hizi mkuu ambazo hujirudia kila mara.
1.Kucheza mpira na rafiki zako wa utotoni.
2.Kuwa darasani unasoma shule ya msingi
3.Kuua nyoka mweusi
4.Kuliona jina lako juu na kila mtu analishangaa
5.Kuwa mwanajeshi unayefunza watu mafunza jeshin au shuleni wakati mwingine unaongoza watu vitani.
6.Kuyaona maneno Mene Mene na Tekeri angani (hii ilitokea mara moja)
7.Kuwaona watu wawili ambao nafsi yako inaamini ni DAUD na YUSUFU wa katika biblia
8.Kusafiri kwa kupaa angani uku unafurahi
9.Kuwaona samaki au ng'ombe kila mara.





HIZI NDIO NDOTO AMBAZO KILA MARA NAOTESHWA ZINA MAANA GANI.
Sijui ndoto kiivyo ila nafahamu kidogo sana kwa kadir Mungu anavyo nielekeza. Hivyo sitokujibu zote nitakujibu baadhi. Mungu aniongoze ktk hili
 
Habari mkuu.


Waweza nisaidia ndoto hizi mkuu ambazo hujirudia kila mara.
1.Kucheza mpira na rafiki zako wa utotoni.
2.Kuwa darasani unasoma shule ya msingi
3.Kuua nyoka mweusi
4.Kuliona jina lako juu na kila mtu analishangaa
5.Kuwa mwanajeshi unayefunza watu mafunza jeshin au shuleni wakati mwingine unaongoza watu vitani.
6.Kuyaona maneno Mene Mene na Tekeri angani (hii ilitokea mara moja)
7.Kuwaona watu wawili ambao nafsi yako inaamini ni DAUD na YUSUFU wa katika biblia
8.Kusafiri kwa kupaa angani uku unafurahi
9.Kuwaona samaki au ng'ombe kila mara.





HIZI NDIO NDOTO AMBAZO KILA MARA NAOTESHWA ZINA MAANA GANI.


Ndoto no2 tafuta somo la malango nilijibu vizur hiyo sehemu. Na nilielekeza jins ya kuomba na kuna mahali Heaven Sent alielekeza

Darasa ni hatua ya maandaliz fulan ktk maisha

Darasa ni ngazi ya kupanda daraja ili ufikie hatua nyingine. Huwez kuvuka darasa had ufahuru mtihani vizuri

Tuliangalia daniel 1 yote ( soma) maelezo nitakutag somo la malango


Hayo maneno mene mene tekeli na peresi unayapata daniel 5:25

Soma tano yote ( daniel 5 yote)
Huyu mfalme Beltshaza alitumia vyombo vya hekalun vibaya na kuisifu miungu yao bila kujal kuwa wanatumia vyombo vitakatifu vya Mungu

Hayo maneno ukisoma ktk Biblia
Mene=Mungu ameuhesabia ufalme wako na kuukomesha.

27 TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka

28 PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi

## baada ya kuambiwa hayo maneno huyo mfalme usiku aliuawa.

# ni kuwa mtu mwenye cheo au mamlaka anavuliwa mamlaka yake yote na wanapewa watu wengine


Umeweza kuwa ww ni kiongozi halafu uvuliwe madaraka.

*** ukitaka kuomba kama eneo lina shida nilifundishwa hichi kitu

Kama wachawi wanakusumbua / waganga ktk eneo . omba toba vizur baadaye tamka au andika ktk ardhi waganga wotee au wachaw wote MENE MENE TEKELI NA PERESI

Inamaana umeandika kuwa hawatomiliki hapo hawata tawala na hawawez kulala hapo lazima wahame( ukiwa na imani. Maandiko yanasema sawa sawa na imani yako pokea)

Bt lazima uombe toba vzr ya hilo eneo na ardhi.
## turud ktk ndoto hayo maneno uliyaona ktk mazingira gani nashindwa kufafanua kwa upande wako sababu ndoto lazima iwe na mwanzo.

Lakin natumain umepata kitu kidogo.

Tuje hiyo ya vitani

Kiongozi lazima awe mstar wa mbele kuongoza kundi katika vita au amani

Tuangalie Yoshua 8:1-19( soma upate kitu cha kukuvusha)

Kisha BWANA akamwambia Yoshua, Usiache, wala usifadhaike, wachukue watu wote wa vita waende pamoja nawe, nanyi inukeni, mwende Ai, angalia, mimi nimemtia mkononi mwako huyo mfalme wa Ai, na watu wake, na mji wake, na nchi yake, ...

## hiyo ni Yosh 8:1
Unaona alikua kiongozi hivyo ukiwa kiongoz vita huwez kuviepuka vya kiroho au kimwili

Lakini lazima ujifunze kuwa Vita ni Bwana yeye ndiye anayetupigania vita na si kwaakil zetu

Ktk ndoto yako hiyo vita unashinda au hushindi?

Kama hushindi rud kwa Mungu mwambie kama ulivyo mshindia vita Daudi na mimi naomba nishindie

1Samwel17:47
Nao jamii ya watu wote pia wajue ya kwamba BWANA haokoi kwa upanga wala kwa mkuki, maana vita ni vya BWANA, naye atawatia ninyi mikononi mwetu.

Mungu ni BWANA WA MAJESHI( ndiye anayeongoza vita)

## kuna kitu ndani cha uongozi lakin lazima ukae ktk mapenz ya Mungu ilo uvuke

Muulize Mungu mapenzi yako ni yepi kwangu. Atakuambia


Naendelea...
 
Back
Top Bottom