marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,656
Juzi nimeota niko dukani nanunuliwa viatu ila mara ya kwanza muuza duka aliniletea viatu vidogo namba 5 havikunitosha, akaleta namba 7 vikawa vikubwa wakati ameenda kunitafutia namba 6 nikawa nimeondoka yale maeneo.
Jana nikaota nimepewa viatu vizuri sana kama zawadi lakini ni vikubwa. ... Nini maana ya hizi ndoto. ?
Pia nimeota naendesha gari dogo automatic, ila kila nilipokuwa naweka D ili niondoke gari likawa linarudi nyuma kwa kasi. ...Nikajitahidi kulisimamisha likawa linaendelea kurudi mpaka nilipokuwa fence, nikagota hapo....Then nilipoanza kuendesha tena likakubali kwenda mbele bila shida. ..Naomba tafsiri Mkuu. ..
Jana nikaota nimepewa viatu vizuri sana kama zawadi lakini ni vikubwa. ... Nini maana ya hizi ndoto. ?
Pia nimeota naendesha gari dogo automatic, ila kila nilipokuwa naweka D ili niondoke gari likawa linarudi nyuma kwa kasi. ...Nikajitahidi kulisimamisha likawa linaendelea kurudi mpaka nilipokuwa fence, nikagota hapo....Then nilipoanza kuendesha tena likakubali kwenda mbele bila shida. ..Naomba tafsiri Mkuu. ..