Ndoto no2 tafuta somo la malango nilijibu vizur hiyo sehemu. Na nilielekeza jins ya kuomba na kuna mahali
Heaven Sent alielekeza
Darasa ni hatua ya maandaliz fulan ktk maisha
Darasa ni ngazi ya kupanda daraja ili ufikie hatua nyingine. Huwez kuvuka darasa had ufahuru mtihani vizuri
Tuliangalia daniel 1 yote ( soma) maelezo nitakutag somo la malango
Hayo maneno mene mene tekeli na peresi unayapata daniel 5:25
Soma tano yote ( daniel 5 yote)
Huyu mfalme Beltshaza alitumia vyombo vya hekalun vibaya na kuisifu miungu yao bila kujal kuwa wanatumia vyombo vitakatifu vya Mungu
Hayo maneno ukisoma ktk Biblia
Mene=Mungu ameuhesabia ufalme wako na kuukomesha.
27 TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka
28 PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi
## baada ya kuambiwa hayo maneno huyo mfalme usiku aliuawa.
# ni kuwa mtu mwenye cheo au mamlaka anavuliwa mamlaka yake yote na wanapewa watu wengine
Umeweza kuwa ww ni kiongozi halafu uvuliwe madaraka.
*** ukitaka kuomba kama eneo lina shida nilifundishwa hichi kitu
Kama wachawi wanakusumbua / waganga ktk eneo . omba toba vizur baadaye tamka au andika ktk ardhi waganga wotee au wachaw wote MENE MENE TEKELI NA PERESI
Inamaana umeandika kuwa hawatomiliki hapo hawata tawala na hawawez kulala hapo lazima wahame( ukiwa na imani. Maandiko yanasema sawa sawa na imani yako pokea)
Bt lazima uombe toba vzr ya hilo eneo na ardhi.
## turud ktk ndoto hayo maneno uliyaona ktk mazingira gani nashindwa kufafanua kwa upande wako sababu ndoto lazima iwe na mwanzo.
Lakin natumain umepata kitu kidogo.
Tuje hiyo ya vitani
Kiongozi lazima awe mstar wa mbele kuongoza kundi katika vita au amani
Tuangalie Yoshua 8:1-19( soma upate kitu cha kukuvusha)
Kisha BWANA akamwambia Yoshua, Usiache, wala usifadhaike, wachukue watu wote wa vita waende pamoja nawe, nanyi inukeni, mwende Ai, angalia, mimi nimemtia mkononi mwako huyo mfalme wa Ai, na watu wake, na mji wake, na nchi yake, ...
## hiyo ni Yosh 8:1
Unaona alikua kiongozi hivyo ukiwa kiongoz vita huwez kuviepuka vya kiroho au kimwili
Lakini lazima ujifunze kuwa Vita ni Bwana yeye ndiye anayetupigania vita na si kwaakil zetu
Ktk ndoto yako hiyo vita unashinda au hushindi?
Kama hushindi rud kwa Mungu mwambie kama ulivyo mshindia vita Daudi na mimi naomba nishindie
1Samwel17:47
Nao jamii ya watu wote pia wajue ya kwamba BWANA haokoi kwa upanga wala kwa mkuki, maana vita ni vya BWANA, naye atawatia ninyi mikononi mwetu.
Mungu ni BWANA WA MAJESHI( ndiye anayeongoza vita)
## kuna kitu ndani cha uongozi lakin lazima ukae ktk mapenz ya Mungu ilo uvuke
Muulize Mungu mapenzi yako ni yepi kwangu. Atakuambia
Naendelea...