Divine...
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 1,624
- 3,143
Naombeni muandike ndoto humu kwenye post sababu kuna watu wengi wanafahamu ndoto na wanaweza kuwajibu ila upembue ndoto unavyo ambiwa nini maana yake,
Haina maana kujua maana ya ndoto kama hujui kuombea hiyo ndoto itakuwa bure
Wote mkija PM nitashindwa wajibu sababu na utakuta ndoto zingine zinafanana majibu yakitolewa humu atleast utapata mwanga
Na sijui kila kitu nafahamu kidogo sana
Kama unaona ndoto huelewi kabisa na inajirudia tu
Kaa mahal pa utulivu omba
Achilia damu ya Yesu ipite humo katika kila eneo ya ndoto yako tamka tu napeleka damu ya Yesu ipite kwenye ndoto
Ipangue vyote ambavyo sio vya ki Mungu, naachilia malaika wa vita wapite
Kila kipengele ulicho kiota peleka damu ya Yesu
Mfano nimeota simba ananikimbiza,
Tuna simba wa Yuda mwambie Yesu pita kama Simba wa Yuda pigana na simba huyu wa kipepo, namwaga damu ya Yesu ipigane naye.ipite kama mito, ipite kama bahari ya damu ya Yesu
Au nimeona samaki sijui baharini
Mwambie Roho Mtakatifu sijui.maana yake lakini wewe wajua nabadilisha hayo maji yawe damu ya Yesu ya baharini kama hao samaki sio wa Mungu damu ya Yesu itajua huko
Au nimeota nakimbizwa, mwambie Mungu mimi sijui.ni nini hiki lakin wewe Roho Mtakatifu wajua,
Watu wote wanao nifanya mawindo watakuwa mawindo wao,
Yeremia 30:16
Basi,watu wote wakulao wataliwa, na adui zako wote watakwenda kufungwa, kila mmoja wao, na hao waliokuteka nyara watatekwa,
na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo
[emoji115] [emoji115] hiyo ni Yeremia 30:16
Unakimbizwa achilia malaika wawakimbize wao, wanakuwinda Mungu kasema watawindwa wao,
Mungu katika isaya 55:11-
Neno lake halitomrudia bure bali litatimiza mapenzi yake ...... na litafanikisha mambo yote alilo lituma hilo neno lake
Hivyo simama na neno
[HASHTAG]#andika[/HASHTAG] hiyo ndoto ili hata wakati unaomba pitia kipengele kimoja kimoja peleka damu ya Yesu
Au umeota mtu kafa, futa kwa damu ya Yesu sawa sawa na
isaya 7:7 Bwana MUNGU asema hivi neno hili halitakuwa wala halitasimama
[emoji115] [emoji115]
Hivyo kama ndoto ni mbaya futa kwa damu ya Yesu
Sababu damu ya Yesu inanena mema kuliko ile ya Habili
Hivyo tamka neno la uzima kwa damu ya Yesu na litatimia.
Kama umeota umeng'atwa na chochote awe nge nyoka
Anza na toba vile vile anza kuachilia damu ya Yesu katika hilo eneo damu ya Yesu ikaondoe mapando yote
Neno linasema kila pando asilo lipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa mathayi 15:13
Hivyo tamka nang'oa pando lolote lililo wekwa humu kwangu nang'oa kwa Damu ya Yesu na kwa jina la Yesu
Na kama ni nyoka au nge kakung'ata
Kwa uchache
[emoji115] [emoji115] sema pepo nge toka kwa jina la Yesu, au pepo nyoka toka kwa jina la Yesu
Kemea kwa kumaanisha sio kilegevu sababu hiyo ni vita
Kama uking'atwa kuna madhara
Damu ya Yesu ina ponya achilia damu ya Yesu katika hilo eneo ikakuponye ikaondoe jeraha zote.
Kama kuna alama imebaki ambayo itampa shetani uhalal wa kukurudia tena mimina damu ya Yesu ikayeyushe hiyo alama katika mwili wangu kwa damu ya Yesu
Utamke kuwa nipo huru sasa
In ua Presence Jesus is where I belong
Haina maana kujua maana ya ndoto kama hujui kuombea hiyo ndoto itakuwa bure
Wote mkija PM nitashindwa wajibu sababu na utakuta ndoto zingine zinafanana majibu yakitolewa humu atleast utapata mwanga
Na sijui kila kitu nafahamu kidogo sana
Kama unaona ndoto huelewi kabisa na inajirudia tu
Kaa mahal pa utulivu omba
Achilia damu ya Yesu ipite humo katika kila eneo ya ndoto yako tamka tu napeleka damu ya Yesu ipite kwenye ndoto
Ipangue vyote ambavyo sio vya ki Mungu, naachilia malaika wa vita wapite
Kila kipengele ulicho kiota peleka damu ya Yesu
Mfano nimeota simba ananikimbiza,
Tuna simba wa Yuda mwambie Yesu pita kama Simba wa Yuda pigana na simba huyu wa kipepo, namwaga damu ya Yesu ipigane naye.ipite kama mito, ipite kama bahari ya damu ya Yesu
Au nimeona samaki sijui baharini
Mwambie Roho Mtakatifu sijui.maana yake lakini wewe wajua nabadilisha hayo maji yawe damu ya Yesu ya baharini kama hao samaki sio wa Mungu damu ya Yesu itajua huko
Au nimeota nakimbizwa, mwambie Mungu mimi sijui.ni nini hiki lakin wewe Roho Mtakatifu wajua,
Watu wote wanao nifanya mawindo watakuwa mawindo wao,
Yeremia 30:16
Basi,watu wote wakulao wataliwa, na adui zako wote watakwenda kufungwa, kila mmoja wao, na hao waliokuteka nyara watatekwa,
na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo
[emoji115] [emoji115] hiyo ni Yeremia 30:16
Unakimbizwa achilia malaika wawakimbize wao, wanakuwinda Mungu kasema watawindwa wao,
Mungu katika isaya 55:11-
Neno lake halitomrudia bure bali litatimiza mapenzi yake ...... na litafanikisha mambo yote alilo lituma hilo neno lake
Hivyo simama na neno
[HASHTAG]#andika[/HASHTAG] hiyo ndoto ili hata wakati unaomba pitia kipengele kimoja kimoja peleka damu ya Yesu
Au umeota mtu kafa, futa kwa damu ya Yesu sawa sawa na
isaya 7:7 Bwana MUNGU asema hivi neno hili halitakuwa wala halitasimama
[emoji115] [emoji115]
Hivyo kama ndoto ni mbaya futa kwa damu ya Yesu
Sababu damu ya Yesu inanena mema kuliko ile ya Habili
Hivyo tamka neno la uzima kwa damu ya Yesu na litatimia.
Kama umeota umeng'atwa na chochote awe nge nyoka
Anza na toba vile vile anza kuachilia damu ya Yesu katika hilo eneo damu ya Yesu ikaondoe mapando yote
Neno linasema kila pando asilo lipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa mathayi 15:13
Hivyo tamka nang'oa pando lolote lililo wekwa humu kwangu nang'oa kwa Damu ya Yesu na kwa jina la Yesu
Na kama ni nyoka au nge kakung'ata
Kwa uchache
[emoji115] [emoji115] sema pepo nge toka kwa jina la Yesu, au pepo nyoka toka kwa jina la Yesu
Kemea kwa kumaanisha sio kilegevu sababu hiyo ni vita
Kama uking'atwa kuna madhara
Damu ya Yesu ina ponya achilia damu ya Yesu katika hilo eneo ikakuponye ikaondoe jeraha zote.
Kama kuna alama imebaki ambayo itampa shetani uhalal wa kukurudia tena mimina damu ya Yesu ikayeyushe hiyo alama katika mwili wangu kwa damu ya Yesu
Utamke kuwa nipo huru sasa
In ua Presence Jesus is where I belong