Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Sawa nasubiriaaUmefungishwa ndoa na majini katika ulimwengu wa roho,
Hakikisha unaomba lasivyo kuolewa kwako itakuwa shida, cz kila mwanaume anayekuja kwako atakuta umewahiwa na mtu na atakuacha,
Au ukiolewa ndoa itakuwa na migogoro
Hivyo vunja hiyo ndoa yote
Msubirie Heaven Sent akuelekeze vipengele vya kufuata
In ua Presence Jesus is where I belong
Yaani kwa kifupi tu hapo wewe umuombe Mungu akufanikishe safari yako. Ukichunguza maisha yako katika yale uliyopanga kutimiza na hii ndoto vina uhusiano. Ni wazi una ndoto za kufika sehemu katika maisha japo huenda Mungu anataka kukufikisha mahali ambapo hata uwezo wa akili yako haujafikiria bado. Pia wapinzani ni wengi unaowajua na usiowajua. Mwangalie Mungu zaidiAmina nashukuru sana kwa muda wako.
Nimekuelewa kiongozi nityafanya hivyo.
Kwanza miaka ya 2009 -2010 ilikuwa ni magari madogo ila meupe na nilikuwa napanda sigombanii ila ninaokuwa nao maranyingi sikuwa nawatambua na sifiki mwisho wa safari.
Kwenye mabasi Mara nyingi nagombania na ndugu
Mazingira huwa ni ya Miji Mikubwa.
Kwenye bus nimewahi kufanikiwa kuingia na kuanza safari mara moja ila nilikaa na mama mmoja mnene kavaa ushungi ila simfahamu na sikufanikiwa kufika nilipokuwa naenda na sijui nilikuiwa naenda wapi.
Kwa mtazamo wako unaona kama umemaliza shule lakini kiukweli bado hujamaliza! Wakati mwingine ukitaka kuhakikisha hili angalia baada ya kumaliza elimu yako umeajiriwa? Na je? Hiyo ajira inakulipa sawa na kiwango cha elimu yako? Pia usisahau mitihani mbalimbali ya maishaMimi huwa naota nipo shule nafanya mtihani au nipo nawahi mtihani nakimbia sana au nipo nasoma katika mazingira magum katika hofu ya kufeli mtihani hyo ndoto huwa inajirudia toka 2014 na mim shule nilsha maliza muda mrefu sana
Huo ni wito wa huduma, hao wageni wako ni wasaidizi ila kazi yenyewe ni kuwatoa watu gizani. Mungu akusaidieSoma mwanzo 28:10-21
Halafu uonishe na hicho ulicho kiandika
Jibu zuriSijui ndoto kiivyo ila nafahamu kidogo sana kwa kadir Mungu anavyo nielekeza. Hivyo sitokujibu zote nitakujibu baadhi. Mungu aniongoze ktk hili
Divine mimi nataka niku follow sijui namna ya kufanya, maana nimepima maelezo ya majibu yako nimeona wewe siyo msanii ni mtumishi Wa Mungu kweli, ni mtu wa imani kweli siyo mbabaishaji. Napenda kujifunza zaidi kupitia watu wa aina kama yako. ThanksNdoto no2 tafuta somo la malango nilijibu vizur hiyo sehemu. Na nilielekeza jins ya kuomba na kuna mahali Heaven Sent alielekeza
Darasa ni hatua ya maandaliz fulan ktk maisha
Darasa ni ngazi ya kupanda daraja ili ufikie hatua nyingine. Huwez kuvuka darasa had ufahuru mtihani vizuri
Tuliangalia daniel 1 yote ( soma) maelezo nitakutag somo la malango
Hayo maneno mene mene tekeli na peresi unayapata daniel 5:25
Soma tano yote ( daniel 5 yote)
Huyu mfalme Beltshaza alitumia vyombo vya hekalun vibaya na kuisifu miungu yao bila kujal kuwa wanatumia vyombo vitakatifu vya Mungu
Hayo maneno ukisoma ktk Biblia
Mene=Mungu ameuhesabia ufalme wako na kuukomesha.
27 TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka
28 PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi
## baada ya kuambiwa hayo maneno huyo mfalme usiku aliuawa.
# ni kuwa mtu mwenye cheo au mamlaka anavuliwa mamlaka yake yote na wanapewa watu wengine
Umeweza kuwa ww ni kiongozi halafu uvuliwe madaraka.
*** ukitaka kuomba kama eneo lina shida nilifundishwa hichi kitu
Kama wachawi wanakusumbua / waganga ktk eneo . omba toba vizur baadaye tamka au andika ktk ardhi waganga wotee au wachaw wote MENE MENE TEKELI NA PERESI
Inamaana umeandika kuwa hawatomiliki hapo hawata tawala na hawawez kulala hapo lazima wahame( ukiwa na imani. Maandiko yanasema sawa sawa na imani yako pokea)
Bt lazima uombe toba vzr ya hilo eneo na ardhi.
## turud ktk ndoto hayo maneno uliyaona ktk mazingira gani nashindwa kufafanua kwa upande wako sababu ndoto lazima iwe na mwanzo.
Lakin natumain umepata kitu kidogo.
Tuje hiyo ya vitani
Kiongozi lazima awe mstar wa mbele kuongoza kundi katika vita au amani
Tuangalie Yoshua 8:1-19( soma upate kitu cha kukuvusha)
Kisha BWANA akamwambia Yoshua, Usiache, wala usifadhaike, wachukue watu wote wa vita waende pamoja nawe, nanyi inukeni, mwende Ai, angalia, mimi nimemtia mkononi mwako huyo mfalme wa Ai, na watu wake, na mji wake, na nchi yake, ...
## hiyo ni Yosh 8:1
Unaona alikua kiongozi hivyo ukiwa kiongoz vita huwez kuviepuka vya kiroho au kimwili
Lakini lazima ujifunze kuwa Vita ni Bwana yeye ndiye anayetupigania vita na si kwaakil zetu
Ktk ndoto yako hiyo vita unashinda au hushindi?
Kama hushindi rud kwa Mungu mwambie kama ulivyo mshindia vita Daudi na mimi naomba nishindie
1Samwel17:47
Nao jamii ya watu wote pia wajue ya kwamba BWANA haokoi kwa upanga wala kwa mkuki, maana vita ni vya BWANA, naye atawatia ninyi mikononi mwetu.
Mungu ni BWANA WA MAJESHI( ndiye anayeongoza vita)
## kuna kitu ndani cha uongozi lakin lazima ukae ktk mapenz ya Mungu ilo uvuke
Muulize Mungu mapenzi yako ni yepi kwangu. Atakuambia
Naendelea...
Kama anamsingi wa Neno japo kidogo tu ni rahisi kukuelewa, maana unafafanua vizuri sana sitegemei kusikia kuna mtu hayaelewi maelezo ya majibu yakoNdoto No 8 na 4 ni ndoto moja ila imekuja kwa aina tofauti ila ina maana moja.
Nitakuelezea ila neno linasema tumeketishwa pamoja na Kristo .
Na Kristo ameketi juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia
22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwaajili ya kanisa ambalo ..23 mwili wake, ...
Efeso 1:20-23
## kanisa ni sisi
Sisi ni mwil wa KRISTO ndio maana anasema tutoe miili yetu iwe dhabihu timilifu
Ufunuo 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika chake cha enzi
Kama Kristo yupo juu hata sisi tunatawala pamoja naye
Lakini lazima ushinde ndipo utaketi
Sijui nikueelezee vip
Ila ni aina ya ndoto kuwa upo juu ya wa wengine
Naweza unganisha pia na ndoto ya uongozi.( ukijichunguza angalia watu wanakuchukuliaje na kama haupo hivyo)
Turudi ktk ndoto ya hiyi ng'ombe
Ng'ombe ni miungu .
Turud kipindi cha Musa wakat Musa yupo mlimani( Sinai). Haruni na wengine walitengeneza mungu kwa muundo wa ndama
Kutoka 32:1-8( soma)
2 Haruni akawaambia zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu mkaniletee.
4b akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha, nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israel, iliyo kutoa katika nchi ya Misri
Ndama( ng'ombe) ni miungu/ mizimu
Sijajua kuna nini lakini rudi nyuma angalia familia ukute kuna maagano
Ndio maana unakwama mahali hata Mungu akitaka kuongea kuna vitu vingone hasemi sababu kuna miungu mingine( inahitajika toba ili Mungu akae katika nafasi yake. Toba inampa Mungu uhalali wa kumiliki familia au eneo kwa nguvu zaidi)
Soma habar yote ya Musa sura ya 32 yote
** samaki sijaua. Huyo samaki umeota kwa kivipi wanafanyaje
Nyoka. Nyoka turejee mwazo
Nyoka ni Ibilisi, nyoka anatumiwa na shetani au watu wa nguvu za giza
Nyoka ni sumu kila mara unapoota nyoka ujue kuna vita unavyo hivyo lazima ujue kuomba maombi ya vita ili Mungu akushindie
Soma ufunuo 12 Yote.( Mungu akufungue macho ya kuomba viziuri tumia Neno ili kufanya maombi kuhusu kuhusu huyo nyoka
Mungu aingilie kati Mikael malaika waingilie kati kupigana na huyo nyoka
Na Mwana Kondoo wa Mungu akushindie.
Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana Kondoo ufunuo 12:11
Tumia damu Ya Yesu kuomba pia
Nielezee vizur hiyo kucheza mpira imekuwaje?
Sijui umepata kitu hapo.
Palipo pungua Roho Mtakatifu akuongezee zaid
Yaani vita ipo wazi hapo mpendwa, hata ukirejea moja ya jibu kuhusu ng'ombe unaona wazi ni mizimu na pia wachawi wanakutafuta. Uzuri neema Ya Mungu imekufunika.Dada divine naomba uiangalie hii na nitakuja PM pia.
Nimeota mara nyingin nakimbizwa na n'gombe mweusi mkubwa sana ana pembe Kali mno.
Mara nyingi nimekuwa nikimkimbia sana sana na pia siku moja aligeuka na kuwa kijana wa kiume simfahamu akaanza kunirushia mishale mikali mingi sana lakini haukunipata hata mmoja yani. Alirusha mara nyingi sana approximately mara 20 kisha akaja bibi mmoja rafiki yake na bibi yangu akasimama akamuangalia akaacha kurusha mishale akapotea .(mazingira ni kwetu kijijini)
Mara nyingine nimeota ng'ombe hiyo akitaka kuniingilia ( mazingira hapa sijajui)
Baada ya kuota mara nyingi juzi nimemuota huyo ng'ombe mweusi amekuja akiwa anajipanga kuanza kunikimbiza nikachukua fimbo ya ufagio nikampiga hadi akatoka kichwa minofu inadondoka chini.
Ndoto nyingine naota nakimbizwa na nyoka
Mszingira siyafahamu kabisa
Kuna siku mtoto wangu alikuwa amekaa ghafla nikaona nyoka mdogo kaja nikamkata yule nyoka!
Tena nikaona nyoka mwingine amekomaa hadi ana manyoya anapita pale pale nikataka kumzuru kwani mwanangu yuko pale ila akapita, wkt name gang as nikaona nyoka mwingine amejibanza pembeni nikamuangalia tu..
Vipi kuota marehemu mzazi kbs anaumwa sana yupo hoi alafu usafiri wa kumfikisha hospitali ni changamoto?
Mara marehemu anelala nyumbani anaumwa
Mara nyingine naota MTU ambae bado hajafa namuota amekufa
Kuna siku nimeota kuwa binti yangu amekufa kwa kuangushwa chini na dada wa kazi na nilipomuuliza akawa kiburi tu kujibu ndio hataki.
Naota nakula minyama mimi na binti yangu..
Naomba unitafsirie kwa uwezo ulionao. Najua nipo vitani na nine shanks finish a YESU awe bwana wa jeshi langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ijapokuwa ni Imani tofauti na Mkuu DIVINE lakini namwelewa vizuri sana.Kama anamsingi wa Neno japo kidogo tu ni rahisi kukuelewa, maana unafafanua vizuri sana sitegemei kusikia kuna mtu hayaelewi maelezo ya majibu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nianze na hiyo kula chakulaDada divine naomba uiangalie hii na nitakuja PM pia.
Nimeota mara nyingin nakimbizwa na n'gombe mweusi mkubwa sana ana pembe Kali mno.
Mara nyingi nimekuwa nikimkimbia sana sana na pia siku moja aligeuka na kuwa kijana wa kiume simfahamu akaanza kunirushia mishale mikali mingi sana lakini haukunipata hata mmoja yani. Alirusha mara nyingi sana approximately mara 20 kisha akaja bibi mmoja rafiki yake na bibi yangu akasimama akamuangalia akaacha kurusha mishale akapotea .(mazingira ni kwetu kijijini)
Mara nyingine nimeota ng'ombe hiyo akitaka kuniingilia ( mazingira hapa sijajui)
Baada ya kuota mara nyingi juzi nimemuota huyo ng'ombe mweusi amekuja akiwa anajipanga kuanza kunikimbiza nikachukua fimbo ya ufagio nikampiga hadi akatoka kichwa minofu inadondoka chini.
Ndoto nyingine naota nakimbizwa na nyoka
Mszingira siyafahamu kabisa
Kuna siku mtoto wangu alikuwa amekaa ghafla nikaona nyoka mdogo kaja nikamkata yule nyoka!
Tena nikaona nyoka mwingine amekomaa hadi ana manyoya anapita pale pale nikataka kumzuru kwani mwanangu yuko pale ila akapita, wkt name gang as nikaona nyoka mwingine amejibanza pembeni nikamuangalia tu..
Vipi kuota marehemu mzazi kbs anaumwa sana yupo hoi alafu usafiri wa kumfikisha hospitali ni changamoto?
Mara marehemu anelala nyumbani anaumwa
Mara nyingine naota MTU ambae bado hajafa namuota amekufa
Kuna siku nimeota kuwa binti yangu amekufa kwa kuangushwa chini na dada wa kazi na nilipomuuliza akawa kiburi tu kujibu ndio hataki.
Naota nakula minyama mimi na binti yangu..
Naomba unitafsirie kwa uwezo ulionao. Najua nipo vitani na nine shanks finish a YESU awe bwana wa jeshi langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana, ukiwa mtu wa imani na unayependa kujifunza hautajiwekea kikomoIjapokuwa ni Imani tofauti na Mkuu DIVINE lakini namwelewa vizuri sana.
Kwani muda mwingi huwa napenda kuunganisha dot za vitabu vya dini mbalimbali.
Ndoto ya kuota unapanda basi, gari ni ishara ya kuwa na muungano na Mungu au kufanikisha jambo fulani lakini maelezo ya Divine post ya 2 yanajitosheleza vizuri. Endelea kuomba Mungu na uwe mwaminifu lipo jambo la kutengeneza maishani mwako.Habari zenu wanajamii, naimani mko salama,
Mwenzenu ninaota aina moja ya ndoto tokea 2009, haipiti siku tatu sijaota nasafiri au nagombania usafiri au nahangaika stand ya mabasi. Tafadhali mwenye uelewa anifafanulie ndoto hii tafadhali,. Naamini kuna watu humu wanauelewa na wanaweza saidia kutafakari.
Natanguliza shukrani.
Amina mtumishi wa bwana.Safari ni hatua ya kwenda mahali fulani.
Muombe Mungu akuongoze
Kutoka13:20
Nao wakasafiri kutoka Sukothi, wakapiga kambi Ethamu, kwenye mpka wa ile jangwa
21 Bwana naye akawatangulia mchana nndani ya wingu mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru, wapate kusafiri mchana na usiku,
22 ile nguzo ya wingu haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku, mbele ya hao watu
## unaona hapo juu hao wana wa Israel walikua na safari
Lakin aliye kuwa anawaongoza Mungu mwenyewe kupitia hizo nguzo mbili
Sasa ukiwa unaomba mwambie Mungu kama alivyo waongoza safar hao wana wa Israel na ww akuongoze
Akupitishe ktk njia ambayo aliyo kuandalia
Ukisoma vizuri hiyo kutoka 14 yote
Utakuta farao aliwafuatia hao wana wa Yakobo
Lakin Mungu aliwafanya wamezwe na maji
Mwambie Mungu nipitapo ktk hii safari wamezwe hao wanaotaka kunikwamisha
Waaibishwe wale wasio taka niifikie kanan yangu
Omba sababu Mungu anatumia Neno kukuvusha
Wakat unaomba kuwa na Imani na Mungu sababu hakuna cha kumshinda
Na kama kuna mtu yeyote aliye pamoja nami ktk safar ambaye ananifanya nisifike.
Mungu shughulika nao kama ulivyo shughulika na Farao na jeshi lake
## sababu naona hapo kuna watu wanajaribu kukurudisha nyuma
Na omba Mungu awe dereva ktk hilo gari ili ufike ktk destination iliyo pangwa
Mungu akiwa dereva huwez ishia njian
Ndoto ya kuota mambo yaliyopita ilhali ulishavuka stage hiyo ni ishara kwako kuwa mambo ufanyayo sasa yamepitwa na wakati yamezoeleka update yaani hama kimtazamo ili uweze kufanikiwa.Mimi huwa naota nipo shule nafanya mtihani au nipo nawahi mtihani nakimbia sana au nipo nasoma katika mazingira magum katika hofu ya kufeli mtihani hyo ndoto huwa inajirudia toka 2014 na mim shule nilsha maliza muda mrefu sana
Yakobo ndiye aliyeota ndoto mithili ya hiyo na ninakushauri uongeze zaidi bidii ktk uaminifu wako Mungu anataka kukutumia. Yajue yaliyo mapenzi ya Mungu uyatende.Divine, Mimi niliota nimeitwa Usiku nikiwa nimelala, kwenda kupokea wageni. Nilipoenda nje (gizani ktk ndoto) nikaelekezwa mahali ambapo kulikuwa na ngazi ndefu kuanzia chini duniani hadi mbinguni. Ilikuwa nzuri sana ya mg'ao wa dhahabu na Mwanga mzuri uliimulika ngazi ile tokea mbinguni. Nikasimama pale chini ya hiyo ngazi, na tazama nikaona watu wanapanda na kushuka kwenye ile ngazi! Nikafurahi sana huku nikiendelea kusubiria wageni wangu wafike. Kwa mbali kidogo nikaona ngazi nyingine kama hiyo lakini kwenye hiyo sikuona watu wakipanda na kushuka. Wakati nashangaa hiyo ngazi nyingine, nikaskia sauti ikinisemesha, ndipo nikageuka kuangalia nikaona mtu aliyevalia vizuri mavazi ya dhahabu akinitazama. Alipoona nimemuona akaendelea na safari kupanda juu akiwa amebeba kitu kama kikapu.
Mara wakafika wageni wangu kutoka juu kwenye ile ngazi (mbinguni), walikuwa wawili. Tukasalimiana kisha kwa kujua Mimi ndiyo mwenyeji nikataka niwaongoze lakini wao wakanishika mikononi mwao (mmoja kushoto, na mqingine kulia) wakanambia " haya twende". Tukaondoka pale kwenye hiyo nuru(kwenye ile ngazi) na kuelekea gizani maana ilikuwa Usiku.
Sijaelewa ni kitu gani hasa kimo ndani ya ndoto ile ingawa Nina amani sana na kila niikumbuka nasikia furaha sana ndani mwangu.
Kuua nyoka mweusi =ishara ya kuwa umemshinda adui yako mshrikina, hongera.Habari mkuu.
Waweza nisaidia ndoto hizi mkuu ambazo hujirudia kila mara.
1.Kucheza mpira na rafiki zako wa utotoni.
2.Kuwa darasani unasoma shule ya msingi
3.Kuua nyoka mweusi
4.Kuliona jina lako juu na kila mtu analishangaa
5.Kuwa mwanajeshi unayefunza watu mafunza jeshin au shuleni wakati mwingine unaongoza watu vitani.
6.Kuyaona maneno Mene Mene na Tekeri angani (hii ilitokea mara moja)
7.Kuwaona watu wawili ambao nafsi yako inaamini ni DAUD na YUSUFU wa katika biblia
8.Kusafiri kwa kupaa angani uku unafurahi
9.Kuwaona samaki au ng'ombe kila mara.
HIZI NDIO NDOTO AMBAZO KILA MARA NAOTESHWA ZINA MAANA GANI.
6,7,8 na 9 Mungu anahitaji kukutumia kama alivyowatumia mitume wake wote ili ukawe mwalimu uwafundishe wengine waelewe wapate kuwa wafuasi wa Mungu waondokane na hila za kidunia (mabaka ya kijeshi ni hila same applied na mabaka ya chatu).Habari mkuu.
Waweza nisaidia ndoto hizi mkuu ambazo hujirudia kila mara.
1.Kucheza mpira na rafiki zako wa utotoni.
2.Kuwa darasani unasoma shule ya msingi
3.Kuua nyoka mweusi
4.Kuliona jina lako juu na kila mtu analishangaa
5.Kuwa mwanajeshi unayefunza watu mafunza jeshin au shuleni wakati mwingine unaongoza watu vitani.
6.Kuyaona maneno Mene Mene na Tekeri angani (hii ilitokea mara moja)
7.Kuwaona watu wawili ambao nafsi yako inaamini ni DAUD na YUSUFU wa katika biblia
8.Kusafiri kwa kupaa angani uku unafurahi
9.Kuwaona samaki au ng'ombe kila mara.
HIZI NDIO NDOTO AMBAZO KILA MARA NAOTESHWA ZINA MAANA GANI.
Kusafiri huku ukipaa ni ishara ya ulinzi wa malaika dhidi ya maisha yako kwa achawi.Habari mkuu.
Waweza nisaidia ndoto hizi mkuu ambazo hujirudia kila mara.
1.Kucheza mpira na rafiki zako wa utotoni.
2.Kuwa darasani unasoma shule ya msingi
3.Kuua nyoka mweusi
4.Kuliona jina lako juu na kila mtu analishangaa
5.Kuwa mwanajeshi unayefunza watu mafunza jeshin au shuleni wakati mwingine unaongoza watu vitani.
6.Kuyaona maneno Mene Mene na Tekeri angani (hii ilitokea mara moja)
7.Kuwaona watu wawili ambao nafsi yako inaamini ni DAUD na YUSUFU wa katika biblia
8.Kusafiri kwa kupaa angani uku unafurahi
9.Kuwaona samaki au ng'ombe kila mara.
HIZI NDIO NDOTO AMBAZO KILA MARA NAOTESHWA ZINA MAANA GANI.