ndoto hiyo inakuhusu wewe mwenyewe, maisha ya mwanadamu hapa duniani ni safari yake tangu anazaliwa hadi anakufa! hiyo ndoto inahusu maisha yako! jaribu kukaa chini , andika mipango yako yote ya maisha , mipango ya muda mfupi kama mwaka mmoja na mipango ya muda mrefu miaka mitano na kuendelea, andika nini unakitaka katika maisha yako na hujakipata mf mke mzuri, gari zuri , kazi nzuri, nyumba nzuri ,watoto wazuri, pesa za maana na tafakari namna utaifanikisha hiyo mipango, kisha andika kina nani watakusaidia kuifanikisha uwagande kiakili bila wao kujua na andika kina nani wanakukwamisha ( watu unaogambania nao usafiri) na kukukatisha tamaa uanze kukata mazoea nao hata kama ni marafiki zako na unawapenda sana! kisha angalia nyenzo (bus) unazohitaji kuwin na unazipataje, na angalia changamoto ( watu unaogambania nao usafiri in dream means changamoto) zote na utafakari utazikwamuaje! kumbuka hutakiwi kushare na mtu yoyote mambo haya utakayoandika! ni siri yako tu!