Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Nimeota nimelala kitandani na kuna wachawi wawili wamekaa kitandani kwangu, mmoja kafunikwa usoni kidogo na kanga. Nikajitahidi kuomba ila wap, ghafla nikamwona mdada amekaa juu ya kitanda nae amenyoosha mikono Kama anasali ila kimya kimya. Wale wachawi wakapotea nikaamka. Kuangalia saa ni saa 5 na dk 34 usiku. Sijapata usingizi mpaka sasa. Inaweza kuwa na maana yyte hii ndoto?
 
Mcheza Karate mimi nina ttz na kuota ndoto kuhusu vifo tu, huwa sioti mara kwa mara ila siku nikiota nitaota tu kuhusu kifo na maeneo ya wafu mfano mortuary au makaburini au nipo msibani au chochote kuhusu kifo ni mida mrefu sana toka 2005 kama sikosei, nitafrai ukinipa muongozo sijui Kuna tatizo gani hapo. Please help!
 
Mcheza Karate mimi nina ttz na kuota ndoto kuhusu vifo tu, huwa sioti mara kwa mara ila siku nikiota nitaota tu kuhusu kifo na maeneo ya wafu mfano mortuary au makaburini au nipo msibani au chochote kuhusu kifo ni mida mrefu sana toka 2005 kama sikosei, nitafrai ukinipa muongozo sijui kuna tatizi gani hapo. Please help!
Ndoto yako inamaanisha unatumiwa na wachawi
 
Hivi ikiwa nimeota nakimbiza bata nina maana ya bata co tafsiri nyengne ,wakati namkimbiza huwa najitahidi sana kumkaribia lakini simpati na nguvu ya mm kukimbia inapungua sana jee hii ina maana gani
Bata ni roho ya ufiraji, jichunguze yawezekana unapenda au kuvutiwa na kula tigo
 
Mcheza Karate mimi nina ttz na kuota ndoto kuhusu vifo tu, huwa sioti mara kwa mara ila siku nikiota nitaota tu kuhusu kifo na maeneo ya wafu mfano mortuary au makaburini au nipo msibani au chochote kuhusu kifo ni mida mrefu sana toka 2005 kama sikosei, nitafrai ukinipa muongozo sijui Kuna ttz gani hapo...ps help!!
kuna dhana mbili hapo, ila kwa kuwa hujafafanua nashindwa kukueleza kwa kina,
1. eneo unaloishi kuna sehemu inafanyika kutaniko la kichawi, ktk vikao vyao.
2. kuna kundi la wachawi wanaendesha mkakati wa kukudhuru, ila inawapa wakati mgumu kufanikiwa,

karibu tena mama.
 
Naota sana kuhusu watoto mapacha. ..Juzi niliota tena. .Pacha mmoja amezaliwa very weak tukamweka kwenye beseni lenye maji ili ashtuke. Na huyo pacha weak ana alama nyeusi mguu wa kushoto (birthmark ).
Maana yake nini?
pole sana marejesho kwa kusubiri kwa saa 17, nashukuru kwa uvumilivu wako,

ni ndoto fikirishi yenye maana kubwa ktk maono.
 
kuna dhana mbili hapo, ila kwa kuwa hujafafanua nashindwa kukueleza kwa kina,
1. eneo unaloishi kuna sehemu inafanyika kutaniko la kichawi, ktk vikao vyao.
2. kuna kundi la wachawi wanaendesha mkakati wa kukudhuru, ila inawapa wakati mgumu kufanikiwa,

karibu tena mama.



Dah nimepata shock kwakweli, nashkuru sana kwa ufafanuzi.. Sasa nifanye nn exactly maana hizi ndoto sizipendi kbsa
 
Mimi naomba uniambie. Nililala mahala pa juu kama gorofa. Mara likadondoka halafu katika kuanguka nikadondokea kichwa ila cha kushangaza Sikuumia Kabisa. Naikainuka nikarudi kule kule juu kuchukua vitu vyangu nikaondoka zangu. Inamaana gani hii mkuu?
 
kuna dhana mbili hapo, ila kwa kuwa hujafafanua nashindwa kukueleza kwa kina,
1. eneo unaloishi kuna sehemu inafanyika kutaniko la kichawi, ktk vikao vyao.
2. kuna kundi la wachawi wanaendesha mkakati wa kukudhuru, ila inawapa wakati mgumu kufanikiwa,

karibu tena mama.



Dah nimepata shock kwakweli, nashkuru sana kwa ufafanuzi.. Sasa nifanye nn exactly maana hizi ndoto sizipendi kbsa
 
Mimi naomba uniambie. Nililala mahala pa juu kama gorofa. Mara likadondoka halafu katika kuanguka nikadondokea kichwa ila cha kushangaza Sikuumia Kabisa. Naikainuka nikarudi kule kule juu kuchukua vitu vyangu nikaondoka zangu. Inamaana gani hii mkuu?
utapata tatizo(kuanguka) lakini hautoyumba(umeamka) utaimarika tena kama kawaida, haina athari sana ndugu yangu, jitahidi kuwa makini tu,
 
Nimeota nimelala kitandani na kuna wachawi wawili wamekaa kitandani kwangu, mmoja kafunikwa usoni kidogo na kanga. Nikajitahidi kuomba ila wap, ghafla nikamwona mdada amekaa juu ya kitanda nae amenyoosha mikono Kama anasali ila kimya kimya. Wale wachawi wakapotea nikaamka. Kuangalia saa ni saa 5 na dk 34 usiku. Sijapata usingizi mpaka sasa. Inaweza kuwa na maana yyte hii ndoto?
ni kundi la wachawi walikuja kukudhuru ila walikushindwa, na hakuwa mwanamke, ni mwanaume, ktk ndoto za namna hvyo huwa unaona opposite, natumai umenielewa, karibu
 
Mi nimeota nilikuwa na shamba kubwa la mpunga then gafla likaungua moto, tena moto wa kasi kama wa petroli huku mpunga ukiwa umefikia kuvunwa....nini maana ya ndoto hii?
kama si wewe basi ni ndugu yako wa karibu atakumbwa na kesi, ugonjwa au dhoruba yoyote.
 
na mimi naomba unitafsirie ndoto yangu
Ndoto iko hivi..Naota naruka juu angani kisha natua then naruka tena huku nikifurai sana
bado una siku nyingi za kuishi, ni ndoto njema sana, ila usimsimulie mtu ndoto ya aina hyo
 
Mie mke wangu aliota anasex na jamaa mwingine yaan mpaka wakapasua vyombo ndani afu et nikawafumania kwenye ndoto.japo huyo mtu aliyekuwa anasex naesimjui. Sasa je ina maana gani?
 
Mi niliota eti kuna sehemu nilikuta shilingi mia mia nyingi nikaanza kuokota hadi nikajaza mfuko, yaani nikitembea kidogo naona sh. Mia naiokota. Hii ndoto ina maana gani?
 
Saafi...
Mara nyingi sana naota napaa kama ndege muda ungine nakua nakimbizwa nikianza kukimbizwa tu napaa au hata muda ungine bila kukimbizwa najikuta napaa kama nimeota mbawa hii ina maana gani wandugu...
 
Ingine hii hapa
Naota napanda mlima mrefu kwa shida sana kama nataka kuanguka yaani nipo hatarini kweli kweli nikiangalia chini mbalii mala ghafra naamka huku moyo ukienda mbio sana ...nisaidieni tafsiri yake wandugu..
 
Ingine hii hapa
Naota napanda mlima mrefu kwa shida sana kama nataka kuanguka yaani nipo hatarini kweli kweli nikiangalia chini mbalii mala ghafra naamka huku moyo ukienda mbio sana ...nisaidieni tafsiri yake wandugu..
Mimi naomba kusaidiwa tafsiri ya ndoto hizi maana zimekuwa zikijirudia nmara kwa mara ndoto moja huwa naota nipo mazingira ya chuo either darasani au hostel nawakati nilishamaliza chuo kitambo tu.
ya pili naota nyumba yaani nimejenga nyumba ila haijaisha kwa ktk ndoto zingine nilikuwa nikipotea wakati naelekea huko site nazunguka kweli mwisho ndio napaona juzi nimeota sasa nimeshahamia kwenye nyumba yangu japo haijaisha vizuri. nini maana ya hizi ndoto.
Habarini wakuu,

kwa siku za karibuni nimeona thread nyingi humu watu wakiwa na kiu ya kutaka kujua maana ya ndoto mbalimbali, lakini imekuwa ngumu kwao.

Wengi wamekimbilia kutisha wakiamini kuwa ndoto zote zina uhusiano wa uchawi, mashetani na ulozi, jambo ambalo si kweli.


Leo nataka nitoe somo la bure hapa. Ila kwa kuwa ndoto ziko nyingi nami nimeona kila mwenye uhitaji aniulize nami nitamjibu ktk thread hii hii.

Asanteni na karibuni sana.[/QUOTE]
Habarini wakuu,

kwa siku za karibuni nimeona thread nyingi humu watu wakiwa na kiu ya kutaka kujua maana ya ndoto mbalimbali, lakini imekuwa ngumu kwao.

Wengi wamekimbilia kutisha wakiamini kuwa ndoto zote zina uhusiano wa uchawi, mashetani na ulozi, jambo ambalo si kweli.


Leo nataka nitoe somo la bure hapa. Ila kwa kuwa ndoto ziko nyingi nami nimeona kila mwenye uhitaji aniulize nami nitamjibu ktk thread hii hii.

Asanteni na karibuni sana.
 
Mkuu mke wangu yupo Chuo amepanga chumba. Majuzi kaota ametoka Chuo ile anafungua kitasa akaona ghafla mlango unafunguliwa na mwanaume hamjui alikuwa ndani, ghafla mwanaume yule akapotea. Ila pia mara nyingi huota anaoga na mwanaume asiyemfahamu
 
Back
Top Bottom