Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
ndugu yangu. utapatwa na wakati mgumu sana kiuchumi, ukiona unaokota sarafu(sio noti), ni ishara kuwa utapitia kipindi kigumu kiuchumi, na mambo yako mengi hayatoendaMi niliota eti kuna sehemu nilikuta shilingi mia mia nyingi nikaanza kuokota hadi nikajaza mfuko, yaani nikitembea kidogo naona sh. Mia naiokota. Hii ndoto ina maana gani?