worms
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 978
- 911
Nashukuru ndugu. UbarikiweNi ishara ya wewe kuwa sehemu ya baraka kwa wengine (kujiona unawagawa wengine matunda).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru ndugu. UbarikiweNi ishara ya wewe kuwa sehemu ya baraka kwa wengine (kujiona unawagawa wengine matunda).
Hope unakaribia kupata kazi ya ukondakta[emoji87]Habari zenu wanajamii, naimani mko salama,
Mwenzenu ninaota aina moja ya ndoto tokea 2009, haipiti siku tatu sijaota nasafiri au nagombania usafiri au nahangaika stand ya mabasi. Tafadhali mwenye uelewa anifafanulie ndoto hii tafadhali,. Naamini kuna watu humu wanauelewa na wanaweza saidia kutafakari.
Natanguliza shukrani.
Habari ndugu!! Nimeota naendesha gari nimempa lift mke wa jirani yangu mara ikatupita gari ndogo salon nyuma wamejificha wahuni wakatusimamisha na kuanza kutupiga wakitaka tuwepe fedhaNi ishara ya wewe kuwa sehemu ya baraka kwa wengine (kujiona unawagawa wengine matunda).
Ni ishara nzuri lakini inahitaji tahadhari mno.Habari Mlapanya....hii ndoto aliota dada yangu. Aliota ana drive gari zuri tu saloon. Anatoka barabara ndogo. Anaingia barabara kubwa. Yaani main Road. Na hiyo ya road anayoingia ni kubwa sana. Barabara nzuri kama za ulaya. Akaangalia vizuri kwa makini akaingia. Aka drive akafika sehemu akapaki wakaja watu wa ku service gari wanaume wa 4. Wakamfanyi service gari. Wakamwambia tumebadillisha engine oil ya gari . Halafu walivyomaliza service . Ku mwanaume mmoja akapanda katika gari. . Huyo mwanaum sio katika wale waliomfany service. . Akadrive n kuendelea n safari
Ni ishara ya uwepo wa hila juu yako zilizopangwa na watu wa karibu yako. Hila hizo zitakuwa operated much na mwanamke si huyo wa ndotoni. Unashauriwa kuwa mtu wa sala na kuwa makini.Habari ndugu!! Nimeota naendesha gari nimempa lift mke wa jirani yangu mara ikatupita gari ndogo salon nyuma wamejificha wahuni wakatusimamisha na kuanza kutupiga wakitaka tuwepe fedha
Ni ishara ya kuwa unafanya mambo yako kiuzembe yamepitwa na wakati hivyo you have to update your mipango iende na wakati. Acha kungangania mambo yale yale (kujiona uko level ambayo in fact ulishaipita.Shalom wapendwa. Mungu awabariki wote wanaouliza na wanaotoa tafsiri. Ndoto yangu, miaka kadhaa nimekuwa naota niko darasani nasoma au nafanya mtihan au nimechelewa chumba cha mtihani, wakati nilishamaliza zamani. Juzi na jana nimeota nimemaliza chuo. nikawa nimeondoka kidogo kabla ya kukabidhi chumba, chumban niliacha begi na godoro. Nikiwa nje mitaani nikakumbuka kuwa nimesahau kukabidhi chumba kwa wahusika wa hizo hostel lakini pia sijachukua begi na godoro langu. Niliporudi chuoni sikuweza kukumbuka namba ya chumba changu hivyo sikuchukua vitu vyangu. Ndoto hii imejirudia siku mbili mfululizo.
Asante sana ndugu Mlapanya. Ila hapa iko hivi yaani wakati ana drive gari ile Gari n walipokuja kumfanyia service wale wanaume. Walikuwa 4. Lakini walipomaliza kumfanyia service wakati anaondoka pale akaingia Mwanaume kwenye gari. Na huyo mwanaume aliyeingia sio katika wale walio 4 waliomfanyia service . Na huyo aliyeingia katika gari hakuendesha gari , ila alikaa katika kiti cha abiria , na yule dada akaendelea na safari huku huyo mwanaume akiwa pembeniNi ishara nzuri lakini inahitaji tahadhari mno.
Mungu ameruhusu kutoa mafanikio maishani mwake kutoka ktk hali finyu ya maisha kwenda hali boresho zaidi maishani(kuona anadrive gari from laugh road to tamarroad).
Ktk mafanikio hayo yatakayomfurahisha atakuja kuharibiwa na wanaume watakaojifanya kumsaidia ktk mambo fulani hivyo kumtia majonzi (kuona gari yaendeshwa na mwingine baada ya service).
Amuombe Mungu amuepushe na hayo ya mbele.
Still the beginning entepretation is true to him.Ni tahadhari kwake juu ya hilo.Asante sana ndugu Mlapanya. Ila hapa iko hivi yaani wakati ana drive gari ile Gari n walipokuja kumfanyia service wale wanaume. Walikuwa 4. Lakini walipomaliza kumfanyia service wakati anaondoka pale akaingia Mwanaume kwenye gari. Na huyo mwanaume aliyeingia sio katika wale walio 4 waliomfanyia service . Na huyo aliyeingia katika gari hakuendesha gari , ila alikaa katika kiti cha abiria , na yule dada akaendelea na safari huku huyo mwanaume akiwa pembeni
Asante sana mapito anayopitia n kuwa aliachishwa kazi. Ila kwa sasa amefanya interview kampuni kadhaa na Dalili za mafanikio zipo. Sasa Sijui kama ina relate to hii ndoto.Still the beginning entepretation is true to him.Ni tahadhari kwake juu ya hilo.
Duuh kweli na imetokea kweli Asante sana!!! Je hii ndoto inayonitokea mara kwa mara nakunywa maji ina maana ganiNi ishara ya uwepo wa hila juu yako zilizopangwa na watu wa karibu yako. Hila hizo zitakuwa operated much na mwanamke si huyo wa ndotoni. Unashauriwa kuwa mtu wa sala na kuwa makini.
tayari ukiona manyoya ujue kaliwaaaaaaaaamimi yangu hii hapa nimerudi nyumbani kutoka kazini nimekaa sebuleni na mke wangu pembeni yetu amekaa rafiki wa mke wangu wanapiga stori baadae kidogo anatokea mwanaume anaingia ndani na anakwenda moja kwa moja chumbani kwetu tunakolala,mke wangu ananyanyuka na kuongea na yule mwanaume pale chumbani na sekunde chache huyu mwanaume anaondoka mimi nikawanimepigwa na butwaa huyu amepitiliza hadi chumbani?Nikaamka!!sasa naomba tafsiri asante
Habari Ndugu zangu.
Naomba tafsiri ya hii ndoto aliota dada yangu.
Aliota kuwa kuna nyoka mkubwa mno na mrefu mno amekatiza mto, huo mto ulikuwa upo karibu (nje ) na nyumbani kwetu (kiuhalisia hamna mto karibu sana na nyumba yetu) basi akaniita mimi na mama akitaka tuje kumuona huyo nyoka. Nyoka alikuwa mrefu sana na mkubwa haonekani mwisho wake ... nilipofika mimi niliita na watu wengine ambao walikuja kumshangaa pia... na kuna mtu akasema wanasema nyoka huyo urefu wake umeanzia chanzo cha maji ambacho kiko mbali na hapo....
Hadi dada anaondoka eneo la tukio hakuona mwisho wa huyo nyoka. Nyoka alikuwa mrefu kama barabara haonekani ameanzia wapi na anaishia wapi na alikuwa na rangi nyeusi flani hivi.
Naomba tafsiri ya hii ndoto ndugu zangu maana ilimtisha mno dadaangu
Hilo ni jaribu kwake.Habari Ndugu zangu.
Naomba tafsiri ya hii ndoto aliota dada yangu.
Aliota kuwa kuna nyoka mkubwa mno na mrefu mno amekatiza mto, huo mto ulikuwa upo karibu (nje ) na nyumbani kwetu (kiuhalisia hamna mto karibu sana na nyumba yetu) basi akaniita mimi na mama akitaka tuje kumuona huyo nyoka. Nyoka alikuwa mrefu sana na mkubwa haonekani mwisho wake ... nilipofika mimi niliita na watu wengine ambao walikuja kumshangaa pia... na kuna mtu akasema wanasema nyoka huyo urefu wake umeanzia chanzo cha maji ambacho kiko mbali na hapo....
Hadi dada anaondoka eneo la tukio hakuona mwisho wa huyo nyoka. Nyoka alikuwa mrefu kama barabara haonekani ameanzia wapi na anaishia wapi na alikuwa na rangi nyeusi flani hivi.
Naomba tafsiri ya hii ndoto ndugu zangu maana ilimtisha mno dadaangu
Unayo mawazo na mipango ambayo umedumu nayo muda mrefu (kuona unapanda ndege na kusafiri nayo).Mheshimiw Mlapanya naomb nitafsirie hii. Nimeota nipo ndani ya ndege emirate si uhakika nilikuwa natokea wapi . Ila baada ya kutua ikaonyesha ile barabara ndefu sana ile barabara ya kutua ndege air strip ambayo ndege inazunguka ili ikapaki. Basi tukazunguka sana. Abiria tukawa hatupendi ule mzunguko mrefu......na ile barabara ilikuwa ni kama mpya na changarawe au kokoto zake bado bado hazijashikana na lami yaani zipo lose . Na wakati tunazunguka kwa pembeni ikawa kama kuna pikipiki inatupita kwa kasi mtu anaendesha . Na ilivyofika mbele kidogo pikipiki ikayumba ikadondoka. Tukawa tunaiangalia J anavyoanguk , pikipiki. Lakini na sisi tulivyoipita kidogo ile pikipiki kuna kona ndege ikaseleleka ikakaa upande. Kama inaanguka. Abiria tukapanic. Tukawa tunahangaika kufungua milango maana tunaogopa ndege isije ikalipuka. . . . na mimi nilikuwa pale kwenye mlango wa dharura nikafanikiwa kufungua mlango nikatoka na abiria wengine nao wakatoka. Tukawa nje. Wengine wakawa wametoka na mizigo yao na wengine wakawa wanatoa mizigo kwenye ndege. Nikakumbuka sijatoa bag langu. So nikawa nafanya utaratibu wa kujua lilipo bag langu . I ndege haikulipuka nikaamka
Nashukuru kwa tafsiri ndugu. UbarikiweHilo ni jaribu kwake.
Mungu kamwekea msaada karibu yake (huo mto ni kimbilio lake). Amepangwa adui mkubwa ambaye ataharibu mengi kwake na hatakuwa dhahiri ajulikane(kutoona kichwa cha nyoka). Awe mtu wa sala kuharibu hayo maana si mepesi kwake.