Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Pia kipindi cha umri kati ya miaka 17-18 kuna ndoto ambazo kusema kweli ninewahi kuziota zaidi ya mara 1
I. Kuangukia katika shimo refu ambalo siwezi kuona mwisho wake
II. Nakimbia ama kuendesha baiskeli na kujikuta nashtuka ghafla
III. Ndoto mbaya zinazoambatana na vitisho vikali vya madude ambayo sijawahi kuyaona zikiambatana na hisia kana kwamba napiga kelele lakini sauti haitoki ama hakuna anayezisikia kuja kunisaidia
IV.Kuota naokota maburungutu ya fedha lakini naambulia hasira za matongotongo pindi napoamka [emoji116][emoji116][emoji116]
Hizi zote ni ndoto zinazohusiana na makuzi lakini vile vile ni ndoto mshindo nyuma kutokana na harakati za siku nzima
Hizi ndoto za kuanguka kwenye shimo refu mara nyingi imethibitishwa ni denda linalotoka mdomoni ukilala mdomo wazi na ukiwa na uchovu mwingi
Ndoto za kutisha na majitu ya ajabu mara nyingi hutokana na akili ya mtoto mwenyewe kutengeneza mawazoni mwake hizi fikra mchana kutwa hivyo usiku huleta mshindo nyuma
Akili ya utotoni huwa very pure ikiwa bado haijawa contaminated na hizi changamoto za kila siku hivyo kuipa akili muda wa kutosha kufikiri vitu vya ziada
Jr[emoji769]
I. Kuangukia katika shimo refu ambalo siwezi kuona mwisho wake
II. Nakimbia ama kuendesha baiskeli na kujikuta nashtuka ghafla
III. Ndoto mbaya zinazoambatana na vitisho vikali vya madude ambayo sijawahi kuyaona zikiambatana na hisia kana kwamba napiga kelele lakini sauti haitoki ama hakuna anayezisikia kuja kunisaidia
IV.Kuota naokota maburungutu ya fedha lakini naambulia hasira za matongotongo pindi napoamka [emoji116][emoji116][emoji116]
Hizi zote ni ndoto zinazohusiana na makuzi lakini vile vile ni ndoto mshindo nyuma kutokana na harakati za siku nzima
Hizi ndoto za kuanguka kwenye shimo refu mara nyingi imethibitishwa ni denda linalotoka mdomoni ukilala mdomo wazi na ukiwa na uchovu mwingi
Ndoto za kutisha na majitu ya ajabu mara nyingi hutokana na akili ya mtoto mwenyewe kutengeneza mawazoni mwake hizi fikra mchana kutwa hivyo usiku huleta mshindo nyuma
Akili ya utotoni huwa very pure ikiwa bado haijawa contaminated na hizi changamoto za kila siku hivyo kuipa akili muda wa kutosha kufikiri vitu vya ziada
Salaam!!
Habari zenu bandugu,Niende moja kwa moja kwenye mada wakati fulani nikiwa na umri kati ya miaka 11 ama 12 mara nyingi nilikuwa naota ndoto kama hivi "Naona watu wakitembea kwa misafara ukutani na hata niliposhtuliwa wakati mwingine na kakangu niliyekuwa nalala nae hiyo incident inaendelea kwa muda fulani hadi nitapozonduka hata kama naamshwa
Pia kipindi cha umri kati ya miaka 17-18 kuna ndoto ambazo kusema kweli ninewahi kuziota zaidi ya mara 1
I. Kuangukia katika shimo refu ambalo siwezi kuona mwisho wake
II. Nakimbia ama kuendesha baiskeli na kujikuta nashtuka ghafla
III. Ndoto mbaya zinazoambatana na vitisho vikali vya madude ambayo sijawahi kuyaona zikiambatana na hisia kana kwamba napiga kelele lakini sauti haitoki ama hakuna anayezisikia kuja kunisaidia
IV.Kuota naokota maburungutu ya fedha lakini naambulia hasira za matongotongo pindi napoamka
Kwa mwenye uelewa juu ya ndoto msaada tafadhali maana nahisi kupitia mojawapo ya ndoto hizo kuna message fulani ambayo inahitaji kuwa decoded nipate maarifa
Karibuni
Jr[emoji769]