Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha?Acha kupotosha ndoto zote zina maana husika
Duh!!!Punguza michepuko, mkeo akichoka atakuacha na hataondoka na mtoto (utamng'ang'ania). Mwanamke mwingine hatakua mzuri kwako.
bro katka vitu mungu huzitumia kutuma ujumbe ni ndoto. pia shetani hutumia hio hio nafas kukutisha. kwa ndoto km hizo inahusiana tu na ulozi wa kawaidaUsiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo nimeshindwa kuitafsiri kabisa, picha linaanza ilikua usiku, niko mimi, wife na mwanangu mdogo wa miaka miwili maeneo ya Kamata DSM kama unatokea Posta kuelekea mataa ya Kamata.
Baada ya kuvuka reli kabla ya mataa nakutana na mdada amevaa jezi ya yanga ile ya njano.....ananiuliza nimuelekeze mtaa wenye mafundi...nami namuelekeza mtaa wa Makamba, tukaendelea mbele na wife,wkt huo mwanang nimembeba kifuani nikiwa nimemkumbatia(ndo style nnayopenda kumbeba tukiwa matembezini)...
daah kweli brofanya Toba na usali kwa iman soma vtabu vtkatifu sana hizo n maroho machafu tu
kuua nyoka imekua mtihani mara nyingi hua tunapishanaHakikisha uko uko ndotoni unaua hayo majoka yakikushindana uko ata duniani yatakushinda
KeshoThibitisha?
Mmh- Ndoto haina maana yeyote maana inatengenezwa na akili (subconscious) yako mwenyewe.
- Subconsciously inawezekana una ile wanasaikolojia wanaita GUILT CONSCIENCE. [emoji1][emoji1]
- Achana na makandokando, kama unamawazo au umeshafanya matendo ya usaliti muombe Mungu akuongoze, la sivyo wasiwasi wako wa kuitenganisha familia utatimia.
Unaota ukiwa wapi,yaani eneo gani? Nyumbani,kazini...niHabari wana JF, pamoja na shughuli zote salamu muipokee.
Kiukweli nimekua na mfululizo wa ndoto za kutisha, naota majoka ya kila aina makubwa ya kila rangi hadi kufikia kukata tamaa hadi ndotoni
Msaada hapa wataalam wenye experience na hizi mambo.
Nawasilisha[emoji29]