RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
It's sad. Unatakiwa uote zaidi. Unaona Diamond anavyotimiza ndoto zake? Kuna wenzio wenye ndoto za basic needs washachoka saa hizi.Wengi wanawaza basic needs maana maisha magumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's sad. Unatakiwa uote zaidi. Unaona Diamond anavyotimiza ndoto zake? Kuna wenzio wenye ndoto za basic needs washachoka saa hizi.Wengi wanawaza basic needs maana maisha magumu
It is important u start practising that system of life now..make urself qualifyMie ndoto yangu ni kuja kupata moja kati ya vyeo 4 vikubwa katika Nchi Rais,Makamu,Waziri Mkuu au Spika.
Ni kweli ila sio kila mtu ana guts za kupata hivyo vitu maishani. Njia halali kufikia ndoto zetu imekuwa ni ngumu sana kwenye corrupt country kama yetu hii na ikiwa huna mtaji wala connection.Huitaji kuwa mtoto wa kigogo kupata hivyo alivyoorodhesha. Aliesema average mindset namuunga mkono.
Kwahio una maana wengi wana ndoto ya kupata BASIC NEEDS? Tuna safari ndefu sana.
Sio kila mtu ana kipaji cha kuimbaIt's sad. Unatakiwa uote zaidi. Unaona Diamond anavyotimiza ndoto zake? Kuna wenzio wenye ndoto za basic needs washachoka saa hizi.
Amen!!!Robo tatu ya Watanzania hawapati hizo basic needs. Ndio maana ndoto yao ni kuzipata
Mie ambition yangu ni pamoja na hiii...yaani nifike miaka 75 nikiwa na afya ya kuweza kugegeda mrembo wa miaka 27 mwenye mtako mkubwaSiyo kuwa na demu mwenye makalio makubwa?
Unaanzia kwenye ndoto. Aim higher....kupata au kukosa ni matokeo huko mbeleni.Ni kweli ila sio kila mtu ana guts za kupata hivyo vitu maishani. Njia halali kufikia ndoto zetu imekuwa ni ngumu sana kwenye corrupt country kama yetu hii na ikiwa huna mtaji wala connection.
Hii ni kweli mtibeli halafu baada ya hapo ni kusubiri tu mafao ya uzeeni😄
Mie ndoto yangu ni kuja kupata moja kati ya vyeo 4 vikubwa katika Nchi Rais,Makamu,Waziri Mkuu au Spika.
Hiyo ndiyo ndoto ya ukweliMie ambition yangu ni pamoja na hiii...yaani nifike miaka 75 nikiwa na afya ya kuweza kugegeda mrembo wa miaka 27 mwenye mtako mkubwa
Tupe uzoefu wa Nchi nyingine...Kwema!
Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.
Imeisha hiyo
Tupe uzoefu wa Nchi nyingine...
Very true. Lakini hii sio sababu ya kukufanya uwe na ndoto basic. It's sad mpaka leo tuna dream basic needs.Robo tatu ya Watanzania hawapati hizo basic needs. Ndio maana ndoto yao ni kuzipata
Very true. Lakini hii sio sababu ya kukufanya uwe na ndoto basic. It's sad mpaka leo tuna dream basic needs.
Ukweli mtupuSi lazima uzaliwe kwenye circle hiyo. Maana hata hao walioko kwenye huzo circle mostly they were not born from in there.
They paved a way. And this is the hardest part of the story. Ndio maana njia rahis ni kupambania daily bread tu.
Ingawa kwa namna moja nyingine nakubaliana na wewe, moat of us mazingira yametushape kuwaza hivyo.
Wamasema experience is the best teacher..but sometimes it can be the worst curse of ur future
Mimi ndogo yangu ni kuja kupata something around 500lmn-1 bln hivi kwenye eneo langu la ekari 30 iliyopo Mjini.Kwema!
Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.
Imeisha hiyo
Diamond ni mfano. Haina maana yeye tu ndie aliefanikiwa au kila mtu aimbe. Aim higherSio kila mtu ana kipaji cha kuimba