green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
NakaziaSiyo kuwa na demu mwenye makalio makubwa?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaSiyo kuwa na demu mwenye makalio makubwa?
Ntaleta posa nikutoe kwenuBado nyumba na gari, ila nataka nianze na gari[emoji2][emoji2],.. Nyumba nitaishi nyumbani labda wanifukuze
Basic Needs Zimekuwa Ndoto Za Watu?
Ndoto Inatakiwa Iwe Tofauti Na Mahitaji Ya Muhimu (Basic Needs) Maana Basic Needs Ni Lazima Uwe Navyo Kwanini Iwe Ndoto Tena Kuvipata.
Inabidi Tujitazame Vyema Tuone Tunakwama Wapi.
Bado nyumba na gari, ila nataka nianze na gari😃😃,.. Nyumba nitaishi nyumbani labda wanifukuze
Yeah àiming high is the best choiceDiamond ni mfano. Haina maana yeye tu ndie aliefanikiwa au kila mtu aimbe. Aim higher
Ndiyo Ukweli WenyeweKwema!
Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.
Imeisha hiyo
Unakula kwa shida.Kwema!
Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.
Imeisha hiyo
Huwezi ku-aim high wakati hata kula kwako ni shida, utaokota makopo.Yeah àiming high is the best choice
Huwezi kuwaza dreams wakati una struggle kwenye eneo basic la maisha yako.Ni basics ndio ila sio wote wako blessed nazo, na wanatamani siku wazitimize ili waonekane nao wanaishi. Kuna watu wanajenga nyumba inaisha upande mmoja anahamia na bado watu wanamtamani...😊
Unamjua huyu mwanariadha wa Kenya anaitwa Kiptum alovunja rekodi ya mbio za km 42 na alipanga awe mtu wa kwanza kukimbia chini ya masaa mawili kwenye marathon ya April? Kafariki kwenye ajali ya gari juzi na kocha wake..ndoto yake ilikua kujengea familia yake nyumba na amefariki kabla hata hajajenga na sasa familia inahaha serikali iwasaidie. Kaacha legacy kubwa kwenye mbio na dunia inamtambua maana vyombo vyote vikubwa vya habari duniani vimetangaza habari ya kifo chake,lakini pamoja na hiyo achievement kaiacha familia kwenye hali mbaya. Tusidharau ndoto za basic needs.
Huo ndio uhalisia mkuu, hata wenye vikubwa walianza from somewhere. Lazma uwe na pakushika kwanza ndio usogeeHuwezi ku-aim high wakati hata kula kwako ni shida, utaokota makopo.
Utajiri ni uwekezaji unaotokana na compounding. Na Huwezi kuwekeza pesa ya KULA.
Siku zote utawekeza SURPLUS, na surplus itapatikana kwa Kwanza unapomudu KULA, KULALA VIZURI na KUSAFIRI VIZURI itakavyowezekana
Kujituma kufikia ndoto ndio inakuwa kwa mfumo gani? Kama hujaandikiwa utajiri utasota sana tu ila utaishia kwenye msongo wa mawazo.Tatizo la weng Hatujitumi Ili kufikia ndoto. Ko tunaishi maisha ya kufikilika[emoji41]
Halafu watu hawajielewi kwasababu ya tamaa zao.Huo ndio uhalisia mkuu, hata wenye vikubwa walianza from somewhere. Lazma uwe na pakushika kwanza ndio usogee
Habari ya huyu mwanariadha Kiptum Cheruiyot imenisikitisha sana.Ni basics ndio ila sio wote wako blessed nazo, na wanatamani siku wazitimize ili waonekane nao wanaishi. Kuna watu wanajenga nyumba inaisha upande mmoja anahamia na bado watu wanamtamani...[emoji4]
Unamjua huyu mwanariadha wa Kenya anaitwa Kiptum alovunja rekodi ya mbio za km 42 na alipanga awe mtu wa kwanza kukimbia chini ya masaa mawili kwenye marathon ya April? Kafariki kwenye ajali ya gari juzi na kocha wake..ndoto yake ilikua kujengea familia yake nyumba na amefariki kabla hata hajajenga na sasa familia inahaha serikali iwasaidie. Kaacha legacy kubwa kwenye mbio na dunia inamtambua maana vyombo vyote vikubwa vya habari duniani vimetangaza habari ya kifo chake,lakini pamoja na hiyo achievement kaiacha familia kwenye hali mbaya. Tusidharau ndoto za basic needs.
You really have a calling in BROKEN English.. congratulations DrIt depend mkuu Exposure matter most
Bongo zozo anatakiwa awe role model wako..Ndoto yangu haihusu vyote ulivyotaja, napenda niweze kusafiri, sio ndani ya nchi kokote duniani niweze kufika, bado sijafanikiwa
Kwa sasa una cheo gani?Mie ndoto yangu ni kuja kupata moja kati ya vyeo 4 vikubwa katika Nchi Rais,Makamu,Waziri Mkuu au Spika.
nakubaliana na ww mkuu maana vikwazo vipi vingi wachache sana wamejitoaKama hauko fortunate kuzaliwa ndani ya circle ya vigogo wa CCM au ma Tycoon wenye biashara kubwa nchini lazma thinking yako itakuwa average tu.
Mwenza sio kipaumbele changu mkuu.. Application ipi hiyo 😃😃Kwa hiyo umeshapata mwenza?
Mimi Application yangu hukuipata au nilipewa link ya uongo
Karibu sana