Ndoto ya wengi ni Kazi, nyumba, Familia, mwisho Gari

Ndoto ya wengi ni Kazi, nyumba, Familia, mwisho Gari

mkuuu umepangilia hadi nimeogopa 😂😂😂😂
Kuna mambo ukiyatazama kwa utulivu unabaki kuguna tu moyoni maana ukifungua kinywa unaweza ukakufuru. Kuna watu wanazaliwa mpaka wanakuwa kitu kinachoitwa shida au umaskini wanausoma kwenye Nyambari Nyangwine tu.

Ni watu ambao uthubutu wao uko close to perfect na chochote atachofanya atafanikiwa tu maana resources zote ako nazo from the start. Hata akianzisha usindikaji wa asali leo hii ataipromote na atauza tu na kuwa tajiri mkubwa ndani ya miaka michache.
 
Wahindi ni Matajiri wakubwa lakini wanaishi nyumba za kupanga na Wana Magari mazuri sana na Maisha mazuri sana wengine wanakaa Kwa wazazi Wao Wala hamna shida .Waswahili ndio tuna shida .Waaarabu na wapemba Matajiri sana lakini unakuta watoto wao wanaishi na wazazi Wala hakuna shida na hakuna anayelalamika

Cha msingi uchangiaji bajeti hapo nyumba
uzuri hakuna sheria inayosema lazima kila mtu atoke nyumbani akaishi mwenyewe 😃
 
Utaanzaje kuwaza kuwa na Kiwanda ikiwa umezaliwa nyumba ya kupanga mpaka unakuwa ni kulala kwenye makochi huku wenzio wanazaliwa baba mkubwa anamiliki Kiwanda cha nondo na mabomba, baba ni contractor mkubwa anaekula tender za serekali kila mwaka. Baba mdogo ana kampuni ya Transport and Logistics malori ni kibao yanaenda Transit Congo, Mengine Zambia. Mjomba ni Waziri wa viwanda na uchukuzi. Hapo kuwa maskini ni kupenda wewe tu.
Sure .Connection zote izi hapa.
 
Sure mzee.maana back up anayo pia ana stress na vitu vidgo vidgo.
Kuna mambo ukiyatazama kwa utulivu unabaki kuguna tu moyoni maana ukifungua kinywa unaweza ukakufuru. Kuna watu wanazaliwa mpaka wanakuwa kitu kinachoitwa shida au umaskini wanausoma kwenye Nyambari Nyangwine tu.

Ni watu ambao uthubutu wao uko close to perfect na chochote atachofanya atafanikiwa tu maana resources zote ako nazo from the start. Hata akianzisha usindikaji wa asali leo hii ataipromote na atauza tu na kuwa tajiri mkubwa ndani ya miaka michache.
 
Kuna mambo ukiyatazama kwa utulivu unabaki kuguna tu moyoni maana ukifungua kinywa unaweza ukakufuru. Kuna watu wanazaliwa mpaka wanakuwa kitu kinachoitwa shida au umaskini wanausoma kwenye Nyambari Nyangwine tu.

Ni watu ambao uthubutu wao uko close to perfect na chochote atachofanya atafanikiwa tu maana resources zote ako nazo from the start. Hata akianzisha usindikaji wa asali leo hii ataipromote na atauza tu na kuwa tajiri mkubwa ndani ya miaka michache.
Mfano mtu ni graduate ni jobless miaka zaid ya 5 unafkr atakuwa na ndoto kubwa.
 
uzuri hakuna sheria inayosema lazima kila mtu atoke nyumbani akaishi mwenyewe 😃
mkuu ukiona mtu mazingira yanamlazimu kutoka home basi asilimia kubwa home hakuna cha kufanya inaumiza sana moyo... imagine mtu anakua anakuta home miradi ipo ya hela ndefu huyo hata wazazi wake watamkazia abaki home asimamie miradi mbali na hapo labda kama kijana hajielewi na hakuna raha kama kukaa home unaona mambo yanavyokwenda ukitaka kuanzisha kitu una full support kuanguka ni ngumu sana
 
Wahindi ni Matajiri wakubwa lakini wanaishi nyumba za kupanga na Wana Magari mazuri sana na Maisha mazuri sana wengine wanakaa Kwa wazazi Wao Wala hamna shida .Waswahili ndio tuna shida .Waaarabu na wapemba Matajiri sana lakini unakuta watoto wao wanaishi na wazazi Wala hakuna shida na hakuna anayelalamika

Cha msingi uchangiaji bajeti hapo nyumba
ngozi nyeusi tulilaaniwa na mizimu 😂😂 unakuta mtu anaweza kuendeleza vya home ila kwulimbukeni na ubinafsi anakwenda kusota ili aseme alikomaa akapata kitu fulani wakati hicho hicho angelata akiwa home na mambo yakanyooka....
 
Kuna kitu watu nadhani bado hawajajua hasa kwa watoto wa kike.. Raha ninayoipata ya kuishi nyumbani nikipata changamoto yoyote ile kazini au hata kwenye biashara family members ndo wanakua watu wa kwanza kuwashirikisha na always they come up with ideas and support kuhakikisha nanyanyuka tena na tena… Kama mapenzi yasingekuwepo basi ningekua naishi bila stress hata moja😃😃
hapo kwenye mapenzi hahahaha mkuu nimecheka sana
 
Kuna mambo ukiyatazama kwa utulivu unabaki kuguna tu moyoni maana ukifungua kinywa unaweza ukakufuru. Kuna watu wanazaliwa mpaka wanakuwa kitu kinachoitwa shida au umaskini wanausoma kwenye Nyambari Nyangwine tu.

Ni watu ambao uthubutu wao uko close to perfect na chochote atachofanya atafanikiwa tu maana resources zote ako nazo from the start. Hata akianzisha usindikaji wa asali leo hii ataipromote na atauza tu na kuwa tajiri mkubwa ndani ya miaka michache.
Mfano halisi ni vibiashara vya Azam Pesa na Sarafu, vimejiegesha kwenye BRAND kubwa ya Azam.

Lakini ukifuatilia waanzilishi wa hizo kampuni siyo hata Bakhresa, Wala watoto wake.
 
Si lazima uzaliwe kwenye circle hiyo. Maana hata hao walioko kwenye huzo circle mostly they were not born from in there.
They paved a way. And this is the hardest part of the story. Ndio maana njia rahis ni kupambania daily bread tu.
Ingawa kwa namna moja nyingine nakubaliana na wewe, moat of us mazingira yametushape kuwaza hivyo.

Wamasema experience is the best teacher..but sometimes it can be the worst curse of ur future
Nazani elimu inayotolewa haifiti kwa maisha ya sasa wenzetu huko ulaya vijana wao wakihimu makampuni kibao yanawataka sisi huku kwetu ni changamoto sana
 
Wahindi ni Matajiri wakubwa lakini wanaishi nyumba za kupanga na Wana Magari mazuri sana na Maisha mazuri sana wengine wanakaa Kwa wazazi Wao Wala hamna shida .Waswahili ndio tuna shida .Waaarabu na wapemba Matajiri sana lakini unakuta watoto wao wanaishi na wazazi Wala hakuna shida na hakuna anayelalamika

Cha msingi uchangiaji bajeti hapo nyumba
Kujilinganisha na Wahindi ni UZUZU mwingine.

Mhindi Kwanza hahitaji mtaji kuanzisha biashara hata kubwa kunwa.

Mhindi akiweza kulipa Kodi ya frame, mzigo anaweza kuchukua Sayona, Metl, Murzal au Jambo.

Anachofanya ni kuuza na kuchukua faida tu baada ya mauzo.

Wewe takataka hakuna anayekwamini kwanza
 
Kuna lengo la maisha, halafu kuna mambo ambayo yanakusaidia kulifikia lengo.

Hapo kwenye lengo ndio kuna maana ya maisha yenyewe,ambapo watu wanatofautina mitazamo na malengo ya maisha.
Lakini msingi mkuu wa hii mitazamo ni kile anachokiitakidi mtu baada ya yeye kuondoka hapa duniani.

Kuishi maisha bora ni jambo lenye kuhitajika kwa kila mwanaadamu, haijalishi wewe uanayatafsiri vipi maisha bora.

Ila waliokosa maarifa wameyafanya yale mambo ya kuwasaidia kufikia lengo la maisha, kuwa ndio lengo la maisha yenyewe.
 
Ni kweli ila sio kila mtu ana guts za kupata hivyo vitu maishani. Njia halali kufikia ndoto zetu imekuwa ni ngumu sana kwenye corrupt country kama yetu hii na ikiwa huna mtaji wala connection.
Mtaji sio tatizo sababu mtaji wa kwanza ni wewe mwenyewe kuwa mzima wa afya

Hii nchi kwa sasa shida ipo kwenye elimu inayotolewa mashuleni haiendani na kasi ya ukuaji wa technologia dunia kwa sasa inahitaji watu wanaotumia zaidi maarifa kuliko nguvu

Wenzetu wanaandaa mpango kupunguza masaa ya kufanya kazi sababu wameshagundua kufanya kazi masaa mengi hakuleti matokeo makubwa
 
Kuna lengo la maisha, halafu kuna mambo ambayo yanakusaidia kulifikia lengo.

Hapo kwenye lengo ndio kuna maana ya maisha yenyewe,ambapo watu wanatofautina mitazamo na malengo ya maisha.
Lakini msingi mkuu wa hii mitazamo ni kile anachokiitakidi mtu baada ya yeye kuondoka hapa duniani.

Kuishi maisha bora ni jambo lenye kuhitajika kwa kila mwanaadamu, haijalishi wewe uanayatafsiri vipi maisha bora.

Ila waliokosa maarifa wameyafanya yale mambo ya kuwasaidia kufikia lengo la maisha, kuwa ndio lengo la maisha yenyewe.
Kimsingi kuna watu wameamua kuchagua kupata matokeo kabla ya kufikiria kufikia malengo sio kosa lao kufikia malengo kunahitaji watu wenye maarifa na elimu
 
Back
Top Bottom