Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #141
What is your advice?
Watu waendelee kupigania kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is your advice?
Thanks mkuu[emoji817] ndoto yako ni nzuri sana mkuu
Ale unga, avute bangi na kubwia mipombe kama kwao zipo zipo tu, hizo starehe zote kama huna hela unaishia pabaya.Kuna vichwa vya watoto wa kitajiri vimeshindikana labda tu hujapata bahati kujuana nao au kuwasikia.
Kuna wengine wanakula unga, kuna wengi wanaiba wanakimbilia nje, wengine walevi na hawana time ya kufanya kazi
Ila kimoja ulichosema. Mtoto ambaye kwao kuna connection hata akiwa na ubongo wa kusoma nusu kijiko na akatoboa hadi chuo. Kufanikiwa ni nje nje
Alikua anasema za mzee ni zakwake acha nitafute zangu kwa haso zangu, maisha yakamwambia we mbwa tutakuua na jua lilivyo kali akaona bora arudishe mpira kwa kipa.Hahahahaha si dogo alitaka aonekane hero 😂😂😂 atakuwa kajifunza kitu
maisha ya kibongo bongo hayataki mbwembwe...Ukienda kinyume na mfumo tu lazma utubu!!!Alikua anasema za mzee ni zakwake acha nitafute zangu kwa haso zangu, maisha yakamwambia we mbwa tutakuua na jua lilivyo kali akaona bora arudishe mpira kwa kipa.
Ukitaka uyashangaze hayo ndio yanakushangaza.maisha ya kibongo bongo hayataki mbwembwe...Ukienda kinyume na mfumo tu lazma utubu!!!
Vibaya mnoUkitaka uyashangaze hayo ndio yanakushangaza.
Eeh robo tatu ya wabongo hawafikii hayo malengoMtu aliyefanikisha hayo kwa tanzania sio masikini, kimsingi zaidi ya nusu na robo ya sisi watanzania hivyo vitu hatuna
A.K.A THE ENDKwema!
Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.
Imeisha hiyo
ForeverMy dream is to be happy
Na ikawe hivyoMie ndoto yangu ni kuja kupata moja kati ya vyeo 4 vikubwa katika Nchi Rais,Makamu,Waziri Mkuu au Spika.
Tutakutana huko juu na pia nina mpango uwe rafiki yangu yaani tuitawale Tanzania mpaka ijulikane ni nchi yetuMie ndoto yangu ni kuja kupata moja kati ya vyeo 4 vikubwa katika Nchi Rais,Makamu,Waziri Mkuu au Spika.
Mtu aliyefanikisha hayo kwa tanzania sio masikini, kimsingi zaidi ya nusu na robo ya sisi watanzania hivyo vitu hatuna
Wale wanaojiona ni vijana wa kisasa zaidi wao wanawaza kununua benz c-class(W-203) au bmw 3 series(E90-E93) shughuli imeisha.
[emoji16][emoji16]Halafu watu hawajielewi kwasababu ya tamaa zao.
Matajiri wengi walianzia kwenye msingi mzuri.
Unakuta baba au babu yako alianzia sehemu akafikia stage fulani ya maisha na wewe unaanzia hapo.
Sisi kila anayezaliwa anaanza upya.
Tena unazaliwa unakuta baba yako bado amepanga chumba kimoja Kwa Aziz Ally.
Maana yake, ndogo zako lazime ziwe kuboresha Maisha yako yasiwe Kama ya wazazi wako pamoja na kuboresha Maisha ya kwenu ukiweza.
Unless uwe na talent ikuoe booster.
Lakini wengi wetu tunaotegemea Ualimu au ujasiriamali wa duka la mangi au kuchoma chipsi, ndogo kubwa utabebeshwa sembe, utafirwa au utatembea sana kwa waganga na kila siku utawaza stori za paka mweupe na rupiah za wahindi.
[emoji16][emoji16][emoji16]maisha ya kibongo bongo hayataki mbwembwe...Ukienda kinyume na mfumo tu lazma utubu!!!
Mkuu hio dp yako imenikumbusha kuna bar niliingia sinza nikakuta vijana wote wana mandevu nikajua nimepotea njia 🤣🤣Watu waendelee kupigania kombe