New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,333
- 2,484
1.FamiliaAnza ivi,
1.Familia
2.Nyumba
3.Gari
2.gari
3.nyumba
4. Wekeza
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.FamiliaAnza ivi,
1.Familia
2.Nyumba
3.Gari
😂 uwezi fukuzwa muda utaamua kwani Yesu alifukuzwa?Bado nyumba na gari, ila nataka nianze na gari😃😃,.. Nyumba nitaishi nyumbani labda wanifukuze
Mm nipo tofauti.
Tatizo sio kuendeleza vya home ila unaendeleza na nani. Wakati wenzetu wakiweka mipango kuendeleza generational wealth, huku kwetu bado tuna mentality ya baba akifariki kila mtu aondoke na chake. Hivyo ni bora upush cha nyumbani ila usisahau kuwa na cha jasho lako maana ngozi nyeusi tunajijuangozi nyeusi tulilaaniwa na mizimu 😂😂 unakuta mtu anaweza kuendeleza vya home ila kwulimbukeni na ubinafsi anakwenda kusota ili aseme alikomaa akapata kitu fulani wakati hicho hicho angelata akiwa home na mambo yakanyooka....
Hata ukipenda kuwa maskini kwa hali hiyo ya kimaisha huwi, labda uwe chizi.Utaanzaje kuwaza kuwa na Kiwanda ikiwa umezaliwa nyumba ya kupanga mpaka unakuwa ni kulala kwenye makochi huku wenzio wanazaliwa baba mkubwa anamiliki Kiwanda cha nondo na mabomba, baba ni contractor mkubwa anaekula tender za serekali kila mwaka. Baba mdogo ana kampuni ya Transport and Logistics malori ni kibao yanaenda Transit Congo, Mengine Zambia. Mjomba ni Waziri wa viwanda na uchukuzi. Hapo kuwa maskini ni kupenda wewe tu.
Utalazimishwa kuwa kwenye mfumo tu. Ukionekana unasumbua unasukumiwa jeshini tuHata ukipenda kuwa maskini kwa hali hiyo ya kimaisha huwi, labda uwe chizi.
Hahahahahaha kumbe mtaji ni afya tu kiongozi. Unaonekana unatokea familia ya Msoga wewe.Mtaji sio tatizo sababu mtaji wa kwanza ni wewe mwenyewe kuwa mzima wa afya
Hii nchi kwa sasa shida ipo kwenye elimu inayotolewa mashuleni haiendani na kasi ya ukuaji wa technologia dunia kwa sasa inahitaji watu wanaotumia zaidi maarifa kuliko nguvu
Wenzetu wanaandaa mpango kupunguza masaa ya kufanya kazi sababu wameshagundua kufanya kazi masaa mengi hakuleti matokeo makubwa
Ukiwa USA hayo mambo yana mantiki sana ila sio Bongo. Huku hapafai kuishi kiutaratibu maana ukuaji wa maisha yetu yanategemea sana ujanja ujanja. Unaweza kuwa na elimu kubwa sana na usipate nafasi😂Kimsingi kuna watu wameamua kuchagua kupata matokeo kabla ya kufikiria kufikia malengo sio kosa lao kufikia malengo kunahitaji watu wenye maarifa na elimu
Sure mkuu.mazngra ndo yanatulimit malengoHii yote inasababishwa na misingi mibovu ya maisha tangu huko nyuma.
Mara zote msingi imara ndiyo kila kitu katika maisha haya.
Yee ukiwa na familia itakupngizia speed.Anza ivi,
1.Kazi
2.Familia
3.Nyumba
4.Gari
Ni ngumu sana kuwa masikini kwenye familia ya kitajiri kama ilivyo ngumu kwa masikini kuwa tajiri.Utalazimishwa kuwa kwenye mfumo tu. Ukionekana unasumbua unasukumiwa jeshini tu
😂😂😂😂😂😂Ni ngumu sana kuwa masikini kwenye familia ya kitajiri kama ilivyo ngumu kwa masikini kuwa tajiri.
What is your advice?Kwema!
Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.
Imeisha hiyo
Kuna watu milo mitatu hawamudu lakini hii haiondoi fact kuwa kula ni basic need.Kwa Tanzania sina uhakika kwamba kumiliki gari ni basic need, bado hatujafikia huko maana idadi ya watanzania wanaomiliki gari(gari za mtumba, maana mpya ni % ndogo wanaweza) ni ndogo sana.
Ni hatari nna classmate kazaliwa zipo ajira hataki licha ya connection ya uhakika alitaka akaze mwenyewe atoboe bila msaada wa nyumbani, akaenda kuajiriwa kwa mhindi mmoja akapigika mbaya baada ya kufanya kazi, mshahara miez 4 hajalipwa na ni kiduchu, mzee wake akawa anamzoom tu mwshowe jamaa akarudisha mpira kwa kipa akanyoosha mikono juu.😂😂😂😂😂😂
Hahahahaha si dogo alitaka aonekane hero 😂😂😂 atakuwa kajifunza kituNi hatari nna classmate kazaliwa zipo ajira hataki licha ya connection ya uhakika alitaka akaze mwenyewe atoboe bila msaada wa nyumbani, akaenda kuajiriwa kwa mhindi mmoja akapigika mbaya baada ya kufanya kazi, mshahara miez 4 hajalipwa na ni kiduchu, mzee wake akawa anamzoom tu mwshowe jamaa akarudisha mpira kwa kipa akanyoosha mikono juu.
Mzee akamfungulia biashara mtaji 50m, alikua anajilaum sana.
Unataka hustling wakati nyumbani mtaji upo, ni uchizi.
Kuna vichwa vya watoto wa kitajiri vimeshindikana labda tu hujapata bahati kujuana nao au kuwasikia.Ni ngumu sana kuwa masikini kwenye familia ya kitajiri kama ilivyo ngumu kwa masikini kuwa tajiri.
Inashangaza anahangaika kutafuta ajira wakati nyumbani kwake Unakuta Mzazi mswahiki ana Malori na mabosi kibao na biashara kibao anahangaika kuanza upya maisha kama mtoto wa maskini kutafuta ajirangozi nyeusi tulilaaniwa na mizimu 😂😂 unakuta mtu anaweza kuendeleza vya home ila kwulimbukeni na ubinafsi anakwenda kusota ili aseme alikomaa akapata kitu fulani wakati hicho hicho angelata akiwa home na mambo yakanyooka....
Maskini Huwa hawaaminiani Wala kukopeshana sema baadhi Mimi sitoki kundi la maskiniKujilinganisha na Wahindi ni UZUZU mwingine.
Mhindi Kwanza hahitaji mtaji kuanzisha biashara hata kubwa kunwa.
Mhindi akiweza kulipa Kodi ya frame, mzigo anaweza kuchukua Sayona, Metl, Murzal au Jambo.
Anachofanya ni kuuza na kuchukua faida tu baada ya mauzo.
Wewe takataka hakuna anayekwamini kwanza