Ndoto ya wengi ni Kazi, nyumba, Familia, mwisho Gari

Ndoto ya wengi ni Kazi, nyumba, Familia, mwisho Gari

Ili uje ulete mabadiliko chanya nchini? Hizi ndio ndoto. Sio kuota kununua Crown. Wtf
Wewe unaweza ona ni vitu average sababu umepita huko. Kuwa na gari ni moja ya ndoto ya binadamu hata kama analo tayari bado huwa wanakua na dream car. Na sio wabongo hata wazungu saizi wengi ukiwaskia dream zao ni kuwa na magari yanayotumia umeme na wengine ndoto kubwa ni kununua Tesla na yale ma cybertruck.
So usione ndoto za mtu kununua crown bongo kama ni ufala..ni levels tu za maisha
 
Kwema!

Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.

Imeisha hiyo
Ndio hivyo, hayo ndio mahitaji makuu ya binadamu. Kwanza neno 'kibongobongo' liondoe hapo. Hayo ni mahitaji ya dunia nzima. Kwani wewe ulitaka nini cha zaidi? Au ulitaka ujiongeze uwe shoga?
 
Wewe unaweza ona ni vitu average sababu umepita huko. Kuwa na gari ni moja ya ndoto ya binadamu hata kama analo tayari bado huwa wanakua na dream car. Na sio wabongo hata wazungu saizi wengi ukiwaskia dream zao ni kuwa na magari yanayotumia umeme na wengine ndoto kubwa ni kununua Tesla na yale ma cybertruck.
So usione ndoto za mtu kununua crown bongo kama ni ufala..ni levels tu za maisha
Gari,nyumba ni basic needs. Mleta mada hajazungumzia Bugatti au nyumba kama ya Rick Ross. Kasema kagari ka kiushkaji hata nyumba kasema ukiweza hata kupanga. Hizi ni basics.
 
Gari,nyumba ni basic needs. Mleta mada hajazungumzia Bugatti au nyumba kama ya Rick Ross. Kasema kagari ka kiushkaji hata nyumba kasema ukiweza hata kupanga. Hizi ni basics.
Ni basics ndio ila sio wote wako blessed nazo, na wanatamani siku wazitimize ili waonekane nao wanaishi. Kuna watu wanajenga nyumba inaisha upande mmoja anahamia na bado watu wanamtamani...😊
Unamjua huyu mwanariadha wa Kenya anaitwa Kiptum alovunja rekodi ya mbio za km 42 na alipanga awe mtu wa kwanza kukimbia chini ya masaa mawili kwenye marathon ya April? Kafariki kwenye ajali ya gari juzi na kocha wake..ndoto yake ilikua kujengea familia yake nyumba na amefariki kabla hata hajajenga na sasa familia inahaha serikali iwasaidie. Kaacha legacy kubwa kwenye mbio na dunia inamtambua maana vyombo vyote vikubwa vya habari duniani vimetangaza habari ya kifo chake,lakini pamoja na hiyo achievement kaiacha familia kwenye hali mbaya. Tusidharau ndoto za basic needs.
 
Kwema!

Kibongobongo wengi ndoto yao ni kupata kazi, kisha nyumba( inaweza kuwa uwezo wa kulipia apartment), Familia(mke au mume na watoto) alafu mwisho usafiri kama kagari Fulani hivi kakishkaji.

Imeisha hiyo
Bora uishie kuota hivo kuliko kuuota utajiri maana ni mateso na mahangaiko makali japo tumepata baadhi ya vitu
 
Ni basics ndio ila sio wote wako blessed nazo, na wanatamani siku wazitimize ili waonekane nao wanaishi. Kuna watu wanajenga nyumba inaisha upande mmoja anahamia na bado watu wanamtamani...😊
Unamjua huyu mwanariadha wa Kenya anaitwa Kiptum alovunja rekodi ya mbio za km 42 na alipanga awe mtu wa kwanza kukimbia chini ya masaa mawili kwenye marathon ya April? Kafariki kwenye ajali ya gari juzi na kocha wake..ndoto yake ilikua kujengea familia yake nyumba na amefariki kabla hata hajajenga na sasa familia inahaha serikali iwasaidie. Kaacha legacy kubwa kwenye mbio na dunia inamtambua maana vyombo vyote vikubwa vya habari duniani vimetangaza habari ya kifo chake,lakini pamoja na hiyo achievement kaiacha familia kwenye hali mbaya. Tusidharau ndoto za basic needs.
Tunaongea lugha tofauti.
 
Kweli hata mimi hiyo ndio ndoto yangu, cha muhimu niwe na furaha. Mali na vinginevyo ni ubatili mtupu na kujilisha upepo. Sitaki stress ya kutafuta makubwa mwisho nije niingie kwenye biashara haramu. Makubwa yakija nitamshukuru Mungu, yasipokuja nitamshukuru pia, mwisho wa siku sisi ni mavumbi tu, na hatujui tunakufa lini. Mahangaiko mengi ya nini?
 
Back
Top Bottom