Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni


Wale waache wauane weee, mpaka wenyewe waseme basi.
 
Aise kweli hizi dini zitatupeleka pabaya tusipojitafakari.
 
Uislamu ni janga la Dunia
 
Utakufika wewe sio mimi
Shindwa ulegee

كُلُّ نَفْسٍ ذَائِقَةُ الْمَوْتِ ۖ ثُمَّ إِلَيْنَا تُرْجَعُونَ
Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu.
57 Al-'Ankabut (The Spider)

وَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَنُبَوِّئَنَّهُمْ مِنَ الْجَنَّةِ غُرَفًا تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا ۚ نِعْمَ أَجْرُ الْعَامِلِينَ
Na ambao wameamini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawaweka katika maghorofa ya Peponi yenye kupitiwa chini yake mito, wakidumu humo. Ni mwema ulioje huo ujira wa watendao,
58 Al-'Ankabut (The Spider)
 
Kwahiyo nisiumie mdogo wangu Clement kuuawa kikatili namna ile na maarabu.....
Au kwakua sisi sio waislamu ndio mnashabikia kifo cha mdogo wetu...????
UDINI MZIGO WA MAVI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…