#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

Bungeni hakujawahi hata kulazimika kuvaa barakoa au kujitenga kwa kukaa mbalimbali ili kuepusha maambukizi ila ajabu et wanafanya ulazima wa chanjo et ili wasiambukizane corona.
 
Huyu USSR Ni CCM labda Kama wewe Ni mgeni hapa JF..tena Ni wale CCM wa matusi
 
Safi sana ,chanjo ni hiyari kama hautaki kuchanja kaa nyumbani usijumuike na wengine kusambaza virusi.
 
Wewe ni miongoni mwa masikini walioshambulia Chadema kwa kujitenga baada ya wabunge kadhaa kupukutika kwa corona , eti leo unasapoti Chanjo ! ama kweli njaa haina baunsa .
 
Askofu Rashid na Comrade Polepole
 
Hili jukwaa kwa sasa lina mkono wa mabeberu na mawakala wao.

Nyuzi kama hizi zinazoleta taharuki ya corona ndizo zinazopendwa sana hata kama ni za kutunga.
Hii Vita Ni ya kiroho Sasa.Na Vita yetu so just ya damu na nyama no juu ya pepo wabaya Katika ulimwengu wa wa Roho .Wao wanatujia kwa jina La chanjo na jina La mzungu na vyeo sisi tutasimama na Mungu .Tuone Nani atashinda

Ninachojua wapinga Chanjo wataibuka washindi.muda si mrefu na dunia itashangaa

Mungu aliyetushindia kipindi Cha Magufuli kwenye hili la Corona atatushindia Tena na hao wazungu watajua Tanzania Ni nchi tofauti kuliko Nchi yeyote duniani pamoja na kuwa imo dunia hii hii.Watatutuamkia shikamoo.Tanzania sio ya kuyumbishwa na kitu kirogo Kama kichanjo pepo Cha Corona
 
Kwa sheria ipi? kinachotakiwa ni kupimwa pale langoni unapoingia mjengoni na si vinginevyo, kuchanja ni hiari.
 
Askofu rashidi achague moja, achanje aingie bungeni apate posho au asichanje abaki kwenye godown lake aendelee kufufua misukule.
 
H
Hawa mbona wanajichanganya tu! Chanjo ni hiari! Lazima wabaki wa dawa ikitokea wabunge wengine wanageuka mazombie😜!
Ndugai uzivuke mpaka, ohooh😡!
 
Askofu rashidi achague moja, achanje aingie bungeni apate posho au asichanje abaki kwenye godown lake aendelee kufufua misukule.
Acha upungu ww, hachanjwi na bungeni anaingia vilevile! Si wanakaaga 1m apart!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…