Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Watu wako serious kufuatilia kesi ya ngono ya binti wa yombo na kudadavua vipengele husika vya hiyo kesi utafikiri wote mawakili. Utasikia kosa la mtandao la kusambaza ngono, kumuingilia kinyume na maumbile, n.k. lakini kwenye mikataba mibovu ya kuuza ardhi na rasilimali za nchi au kusoma katiba akhaaaa! Tunahitaji deliverance! Watu wanapenda na kufuatilia ngono kuliko hata Mungu
Mwambie mama aiweke wazi hiyo mikataba ikiwamo ya kuhamisha Wamasai uone kama nchi hii haina wasomi, sasa kama mkataba unajaziwa chooni kisha unaingia kwenye dream liner usiku wa manane na kusafirishwa hadi Dubai unataka wanasheria waote ndoto kwamba kuna mkataba wa hivyo? Vile tukisema katiba ibadilishwe muwe mnaelewa na pia siyo kwamba watz wanatetea ngono ila clip imevuja binti akifanyiwa ukatili na inaonekana lile tukio halijakugusa kwakuwa siyo dada yako
 
Tatizo la nchi hii watu ni wabinafsi sana ,wanajifanya wanauchungu wakiwa nje ya mfumo .Haya yangekuwa na Maana kama angeyasema kipindi ni speaker wa bunge , vinginevyo tunaweza sema ni wivu tu ,yeye mbona amen'gan'gania ubunge miaka na miaka kwani huko chemba hakuna vijana damu changa wanaoweza kuliwakilisha hili jimbo mpaka yeye tu au kwanini yeye amekuwa akipinga vyama vingine vya siasa vyenye mawazo mapya mpaka visishike nafasi yeyote ya uongozi nchini mpakaimepelekea CCM imekuwa kama empire watu wote wenye ideas zakuongoza nchi Kwa kukata tamaa wameamua kujiunga na chama hicho ili tu ndoto zao zitimie. Kama ana Manisha alicho kisema tu isiwe Kwa makataba kupewa vijana wenye uelewa Mpana bali hata katika nafasi za uongozi ndani ya chama chake awe anatoa matamko kama haya ,na yeye akiachia nafasi Kwa vijana itakuwa mfamo mzuri.
Hayo yote aliyasema akiwa spika na ndio sababu ya yeye kuachiwa ngazi baada ya kusakamwa sana na chura kiziwi akisaidiwa na watz wapumbavu huku wakimshanhilia chura kiziwi kwamba anaupiga mwingi
 
MAZEE YALIYOJICHOKEA ndio yanatuwakilisha sisi vijana ngangari (Vibrant) huku yakiwa yanatiririsha udenda na kusubiri POSHO

Yakifika huko yanapigwa KATAFUNUA na kuchumishwa mboga yanarudi yako hoi, mikataba yote imesombwa na MABEBERU.

Samia aniteue nimuoneshe vile nchi inanyooshwa.

Anicheki hapa @bichwakomwe@gmail.com

Cc: Lucas Mwashambwa Poor Brain cocastic Lamomy Confession
 
MAZEE YALIYOJICHOKEA ndio yanatuwakilisha sisi vijana ngangari (Vibrant) huku yakiwa yanatiririsha udenda na kusubiri POSHO

Yakifika huko yanapigwa KATAFUNUA na kuchumishwa mboga yanarudi yako hoi, mikataba yote imesombwa na MABEBERU.

Samia aniteua nimuoneshe vile nchi inanyooshwa.

Anicheki hapa @bichwakomwe@gmail.com

Cc: Lucas Mwashambwa Poor Brain cocastic Lamomy Confession
Bichwa kila comment yako kuna kitu kipya nagundua an..

Sasa wewe mi naenda kuku report wallah tena 😂😂😂😂😂
 
Ndugai alikuwa mbele ya muda!

Nilishangaa sana watz kuungana na chura kiziwi kumzodoa Ndugai eti ili kumkomoa marehemu Magu!

Kauli zile zilipaswa zitushtue watz maana zimetolewa na spika wa bunge ambae anajua karibu kila kitu kwenye nchi. Badala yake tukaungana na chura kiziwi kumtukana Ndugai.

Pale ndio nikaona watz ni wapumbavu sana.
Hii nchi ukipata nafasi piga ondoka, maana watu hawajielewi.

Sisi watz tunachoweza ni
. Ngono
. Uchawi
. Na Majungu tu basi
Nae wale wale enzi za utawala hakuna wakufanya km mimi alikua mieyusho sana akishiriki hujuma tofauti tofauti na kuwaminya upinzani mwache ateseke tu. The angel lies atulie
 
Ndugai bhana!!
Haya ilibidi ayafanye yeye na wenzie akiwa kiongozi wa muhimili unaojitegemea.
Sasa sahivi hata akisema, nani atamuelewa? Hivi kumbe viongozi wa nchi hii akili zao zinarudi wakishakua nje ya madaraka. Lol
CCM.
 
Mikataba ni uzoefu , hizo A unazitoa wapi ? yaani kijana atoke chuo tu na A umpeleke kweny mikataba kweli?
Mkuu experience is best teacher,Mfano Julius Kambarage Nyerere aka Dr,aka Mwalimu Nyerere kapewa nchi with no professional administration experience except school teacher basics tu. Akalikologa,Nationalization,Vijiji vya ujamaa, muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Vita vya Ukombozi kusini mwa Africa, Vita vya Biafra,Vita ya Kagera,Tazara,Tanzaphilia.Ndio sababu iliofanya Nyerere aganganie 27 years in power kwa sababu hakuwa anefanikiwa in Bold.
 
Aliachia au aliachishwaa? Nweiiii.
Wakati akiwa huko jikoni, alitakiwa kutenda na sio kukemea.
Lilikuwa linaonga madem UDOM hadi dollars 10 nakuwaachia ngwengwe kumbuka wakati huo dollar elfu 10 kodi zetu. Siyo wakumkumbuka tena walimuonya huruma tu kwa mlazimisha ajiuzulu jamaa mwizi. Halafu ndio yeye miongoni hii mikataba yote ya unyonyaji ilipitia Kwame wapinzani kina Mbowe Lissu wakipinga anatoa nje.

King Kong III
 
Mkuu experience is best teacher,Mfano Julius Kambarage Nyerere aka Dr,aka Mwalimu Nyerere kapewa nchi with no professional administration experience except school teacher basics tu. Akalikologa,Nationalization,Vijiji vya ujamaa, muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Vita vya Ukombozi kusini mwa Africa, Vita vya Biafra,Vita ya Kagera,Tazara,Tanzaphilia.Ndio sababu iliofanya Nyerere aganganie 27 years in power kwa sababu hakuwa anefanikiwa in Bold.
Si hio tu huyo mchonga meno aka Mwalimu Nyerere licha ya kudhubutu lakini kwa fani za undugu wa wananchi aliuuwa uwezo wa mtu na mtu asikike yeye tu.Ukimleta Tutemeke Sanga Myaru na Elimu ya Nyerere nani alikuwa na elimu sahihi ya kuongoza nchi?
Kwa kifupi Kiongozi?
Majibu ni obvious Mwalimu hakuwa na uwezo kielimu ukilinganisha na mwamba Tutemeke Sanga ikibadi awekwe under village arrest.
Germany know how anamshinda bibi yetu Mwingireza.
 
That why always African people/county we're underdevelopment
 
Mkuu experience is best teacher,Mfano Julius Kambarage Nyerere aka Dr,aka Mwalimu Nyerere kapewa nchi with no professional administration experience except school teacher basics tu. Akalikologa,Nationalization,Vijiji vya ujamaa, muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Vita vya Ukombozi kusini mwa Africa, Vita vya Biafra,Vita ya Kagera,Tazara,Tanzaphilia.Ndio sababu iliofanya Nyerere aganganie 27 years in power kwa sababu hakuwa anefanikiwa in Bold.
Hivi vielimu mnavyovipata kwa mjomba UK HAMJUI NI FAKE AND STUPID INCOMPETENT EDUCATION?
NDIO SABABU HAVIWEZESHI KITU.KASOME UPYA HATUTAKI
NONSENSE KNOWHOW.
AKILI NI MALI.
Tujipange upya kama kwenda Israel, China,Germany, Japan na kwinginepo.
 
"Hata saa mbovu kuna muda hua inasema kweli" wale waliompinga kipindi kile sasa hivi sijui wataweka wapi sura zao, atusamehe Sana sisi wakosaji tumekosa Sana tumekosa sisi 😆😆
 
Ndugai bhana!!
Haya ilibidi ayafanye yeye na wenzie akiwa kiongozi wa muhimili unaojitegemea.
Sasa sahivi hata akisema, nani atamuelewa? Hivi kumbe viongozi wa nchi hii akili zao zinarudi wakishakua nje ya madaraka. Lol

Ogopa MTU mnafiki.
Siô Kwamba Hawana Akili Ila NI wanafiki
 
Kuwa na A ni jambo moja, imepatikanaje na inatumikaje ni jambo jingine. Jambo la msingi, kama taifa yatupasa tuwe na timu nzuri ya mawakili wazalendo, wenye uzoefu na wenye weledi katika mambo ya sheria.
Watapatikanaje watu wa hivyo wkt wanasiasa na siasa ndo kila kitu
 
Kwani jobu akili zake ziko timamu?ni kijana gani wa kitanzania anayeweza ku negotiate mikataba ya kimataifa kwa elimu gani? hii elimu ya shule za kata ambazo hata miundo mbinu ni mibovu!itakuwa ni kichekesho.vijana ambao hata elimu ya kupambania nchi yao imewashinda.labda mwashambwa na akina sufian
Kwani kuna uhusiano wa uzee na kujaza mikataba kwa maslahi!? Ile ni wepesi wa kufikiria na uzalendo jambo ambalo kwa vijana wanaweza sana kuliko wazee
 
Back
Top Bottom