Mwambie mama aiweke wazi hiyo mikataba ikiwamo ya kuhamisha Wamasai uone kama nchi hii haina wasomi, sasa kama mkataba unajaziwa chooni kisha unaingia kwenye dream liner usiku wa manane na kusafirishwa hadi Dubai unataka wanasheria waote ndoto kwamba kuna mkataba wa hivyo? Vile tukisema katiba ibadilishwe muwe mnaelewa na pia siyo kwamba watz wanatetea ngono ila clip imevuja binti akifanyiwa ukatili na inaonekana lile tukio halijakugusa kwakuwa siyo dada yakoWatu wako serious kufuatilia kesi ya ngono ya binti wa yombo na kudadavua vipengele husika vya hiyo kesi utafikiri wote mawakili. Utasikia kosa la mtandao la kusambaza ngono, kumuingilia kinyume na maumbile, n.k. lakini kwenye mikataba mibovu ya kuuza ardhi na rasilimali za nchi au kusoma katiba akhaaaa! Tunahitaji deliverance! Watu wanapenda na kufuatilia ngono kuliko hata Mungu