Ndugai: Nasisitiza hakuna cha bure lazima tuvuje jasho

Ndugai: Nasisitiza hakuna cha bure lazima tuvuje jasho

Taso

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2010
Posts
2,507
Reaction score
2,412
Inaonekana Ndugai aliamini alichokisema pale alipopinga sera za taifa kuishi kwa kuomba omba misaada na kupelekea kujiuzulu uspika kwa shinikizo... amelirudia tena jambo lile kwa angle nyingine...

Hili dhahiri ni jiwe limerushwa Ikulu, na natumaini wakubwa watapata ujumbe kwamba kuna sehemu ya Watanzania hawaamini katika maendeleo kuletwa kwa kukinga mabakuli ambayo ndio imegeuka sera rasmi ya awamu ya sita...
 
Si Kina Lema na wikiliks walisema kafichwa? Hizi mambo za ndani ziache zilivyo kuna watu wanahangaika sana kudanganya Umma!!!!!

Kaeni Kwa kutulia ya Mkutano wa CHADEMA yatawashangaza ninyi Wafuasi wake humu

Britanicca
 
Inaonekana Ndugai aliamini alichokisema pale alipopinga sera za taifa kuishi kwa kuomba omba misaada na kupelekea kujiuzulu uspika kwa shinikizo... amelirudia tena jambo lile kwa angle nyingine...

Hili dhahiri ni jiwe limerushwa Ikulu, na natumaini wakubwa watapata ujumbe kwamba kuna sehemu ya Watanzania hawaamini katika maendeleo kuletwa kwa kukinga mabakuli ambayo ndio imegeuka sera rasmi ya awamu ya sita...

Siyo yeye tu ambaye anaamini kujitegemea ndiyo suluhisho la maendeleo ya mtu binafsi, Jamii au Taifa
20220509_174758.jpg
 
Si Kina Lema na wikiliks walisema kafichwa? Hizi mambo za ndani ziache zilivyo kuna watu wanahangaika sana kudanganya Umma!!!!!

Kaeni Kwa kutulia ya Mkutano wa CHADEMA yatawashangaza ninyi Wafuasi wake humu

Britanicca
Sasa aliyoyasema Ndugai na mkutano wa Chadema, kuna uhusiano gani wewe mzee.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania amesisitiza kauli yake ya lazima tuwe watu wa kujitafutia kwa kujibana wenyewe kwa sababu hayupo jirani,ndugu ama shangazi wa kutupa vya bure.

Amesema hayo aliposhiriki Ibada ya ubarikio wa gari la Kanisa mojawapo la Anglikana huko mkoani Dodoma.
 
Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania amesisitiza kauli yake ya lazima tuwe watu wa kujitafutia kwa kujibana wenyewe kwa sababu hayupo jirani, ndugu ama shangazi wa kutupa vya bure.

Amesema hayo aliposhiriki Ibada ya ubarikio wa gari la Kanisa mojawapo la Anglikana huko mkoani Dodoma.
 
Si Kina Lema na wikiliks walisema kafichwa? Hizi mambo za ndani ziache zilivyo kuna watu wanahangaika sana kudanganya Umma!!!!!

Kaeni Kwa kutulia ya Mkutano wa CHADEMA yatawashangaza ninyi Wafuasi wake humu

Britanicca
Nilikuwa nakuaminia sana mzee mwenzangu lakini kwa sasa nimekuacha tu Umpepee Zelensky.
 
Back
Top Bottom