mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Ndivyo walivyo huwa wanaoneana wivu wao kwa wao maana wanajuana nani anakula zaidi na zaidi !! Sio kwamba huwa wanaihurumia Nchi na watu wake !! Never Ever !! Wanasihasa wetu ni shida, !!!
Hawa wanasiasa wote ni wanafiki na wa binafsi. Ndugai alikwenda India na mabillioni ya fedha za wananchi je hayo yalikuwa matumizi mazuri ya fedha za umma.?
Wanasema tu lakini hawaishi yale wanayohubiri!!