Ndugai: Nasisitiza hakuna cha bure lazima tuvuje jasho

Ndugai: Nasisitiza hakuna cha bure lazima tuvuje jasho

Hawa wazee walikuwa sahihi kabisa.
Matamko yao yalikuwa sahihi lakini katika kutekeleza yale wanayoyaamini hapo ndipo kwenye shughuli pevu !! Mali za umma zinaliwa mno unategemea nchi ipate maendeleo ?? Ufujaji wa mali za umma ni mkubwa sana na sheria zetu sio Kali sana kwa wanaohujumu mali za umma !!!
 
ZILIPENDWA!
Nikukumbuka vile alivyojikomba kuomba msamaha!
Ayubu namuona Ka soli ya malapa ya maliwatoni huko guest bubu!
 
Mi nilidhani kayazungumzia bungeni, kumbe ni huko uchochoroni?
Hopeless kabisa.

Anashindwa nini kusimama na kuzungumza aliyonayo moyoni watu wamuelewe!
Kwani yale maneno yaliowafanya kuhara vile na kumnyang'anya uspika wake aliongelea wapi mbona vchwa vyenu nyie viroboto vimejaa udongo
 
With all due respect, yeye mbona anashindwa kujitegemea, kachota pesa za "WANYONGE" kujitibu India.

Ikiwa yeye binafsi anashindwa kujitegemea basi na serikali (yake) itaachaje omba omba. Hakuna kitu kama hicho kujitegemea huo ni msemo tu ukiwa na maana usikae ukategemea kitakuja bila ya kuvuja jasho. Kitafute kwa nguvu zako zote, palipobakia utaomba ujaliziwe!
Mbona mnaharisha ivo yeye kasema kanisa lake nyie huku matumbo yanaanza kuvurugwa vp nyie VIROBOTO jamaa anawatisha ee
 
Dawa alishaipata cku mingi. Hana tena kanguvu yuko km msukuma
 
Huyu mzee anasema hagombei tena ubunge 2025 ila anabaki siasani, maana yake anautaka urais au nini? Au ndio mwenyekiti wa Umoja Party.
Hata angegmbea CCM wasingepitisha jina lake kwa sababu hajapeleka maji jimboni kwake.
The most unpopular speaker in East and Central Africa.
 
Kwani yale maneno yaliowafanya kuhara vile na kumnyang'anya uspika wake aliongelea wapi mbona vchwa vyenu nyie viroboto vimejaa udongo
Wewe ni pimbi tu, sina sababu ya kujihangaisha nawe.
 
Alikosea pale alipoomba msamaha; angekomaa na akajiuzuru kwa kusimamia hoja yake tungemuelewa
 
Mbona mnaharisha ivo yeye kasema kanisa lake nyie huku matumbo yanaanza kuvurugwa vp nyie VIROBOTO jamaa anawatisha ee
Whats that all about? Amtishe nani huyo toes-less Kunta Kinte walking like toothless whipp abuser!
 
Back
Top Bottom