Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Labda,ila utoke uspika,ubunge ukagombee tena uenyekiti Chama mkoa au wilaya,mbona kama ni kurudi chini?Anaweza akagombea uwenyekiti wa ccm mkoa au hata wilaya. Huko nako ni siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda,ila utoke uspika,ubunge ukagombee tena uenyekiti Chama mkoa au wilaya,mbona kama ni kurudi chini?Anaweza akagombea uwenyekiti wa ccm mkoa au hata wilaya. Huko nako ni siasa.
Aaah wapi, kwani shida yake nini hapo Alichoongea!?Angetulia alinde heshima yake ndogo alionayo
Ni kwa sababu mods wamebadilisha clip nilivyoiweka awali, ambapo ilikuwa inaanzia hapo hapo kwenye mada husika... mods hawajui watu hawana bundle wala muda wa kusikiliza video yote kwa yaliyo nje ya mada...Sijaona alipotaja siasa
Mi nilidhani kayazungumzia bungeni, kumbe ni huko uchochoroni?Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania amesisitiza kauli yake ya lazima tuwe watu wa kujitafutia kwa kujibana wenyewe kwa sababu hayupo jirani, ndugu ama shangazi wa kutupa vya bure.
Amesema hayo aliposhiriki Ibada ya ubarikio wa gari la Kanisa mojawapo la Anglikana huko mkoani Dodoma.
Hawa wanasiasa wote ni wanafiki na wa binafsi. Ndugai alikwenda India na mabillioni ya fedha za wananchi je hayo yalikuwa matumizi mazuri ya fedha za umma.?Kufanya kazi na kuheshimu matumizi mabaya ya pesa ni kitu muhimu sana katika maisha, Ndugai yupo sahihi hoja yake kwa level zote induvidually, nationally and internationally.
Kwamba inakosa ubingwa mwaka huu? Mzee kawa mkweli kabisa!Amenifurahisha alipoitaja Simba Sc
Eti usumbufu wa mkewe wakati akiangalia mechi ndiyo umepelekea na ubingwa muukose,ahahahaAmenifurahisha alipoitaja Simba Sc
Ya JK na JPM zipo wapi?Siyo yeye tu ambaye anaamini kujitegemea ndiyo suluhisho la maendeleo ya mtu binafsi, Jamii au TaifaView attachment 2218848
Labda anajua anaweza akatimuliwa na kukosa marupurupu yake !!Awe muwazi, anajifichaficha kitu gani sasa, si yupo huru wakati huu, au bado anategemea kuteuliwa?
Amlinde mtu mjinga?Akome paka huyo.Mungu akulinde baba Ndugai kwa kuwa mkweli
Duh !!Kama nawaona wana CCM (wenye nchi yao) wanajadili namna watakavyo mteka na kumng'oa makucha na meno kisha kumtupa bahari ya Hindi akiwa kwenye kiroba😱 CCM daima haipendi kuambiwa ukweli, wanataka kuboronga tu na kuliibia taifa, ukiwakosoa wanakuandalia magunia ya kukutupia baharini.
Unashangaa?Duh !!
Ndugai angelikuwa anayasema haya na yeye angekuwa anasota kama tunavyo sota sie ningemuelewa ila yeye yupo kivulini ananyofoa mapaja ya kuku anatuchora tu atuache kwanzaSiyo yeye tu ambaye anaamini kujitegemea ndiyo suluhisho la maendeleo ya mtu binafsi, Jamii au TaifaView attachment 2218848