Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kina Lema hata Mtoto wake wa kumzaa kasema Baba yake pia alizuiliwa Asiongee na Vyombo vya habariSi Kina Lema na wikiliks walisema kafichwa? Hizi mambo za ndani ziache zilivyo kuna watu wanahangaika sana kudanganya Umma!!!!!
Kaeni Kwa kutulia ya Mkutano wa CHADEMA yatawashangaza ninyi Wafuasi wake humu
Britanicca
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameanza kampeni za urais sasa ni zamu ya kanisa kwa kanisa
2024/2025 atakoma na manenoMbeleni kuna janga kubwa linakuja bibi mkubwa ajiandae kwa makombora ya hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaanza tena....!!
Safari hii akiendekeza watamfukuza chama.
Inaonekana Ndugai aliamini alichokisema pale alipopinga sera za taifa kuishi kwa kuomba omba misaada na kupelekea kujiuzulu uspika kwa shinikizo... amelirudia tena jambo lile kwa angle nyingine...
Hili dhahiri ni jiwe limerushwa Ikulu, na natumaini wakubwa watapata ujumbe kwamba kuna sehemu ya Watanzania hawaamini katika maendeleo kuletwa kwa kukinga mabakuli ambayo ndio imegeuka sera rasmi ya awamu ya sita...
Mgonjwa aghali zaidi kuliko wote AFRIKA, awe na kaaibu japo kidogo basi. ATUBUKufanya kazi na kuheshimu matumizi mabaya ya pesa ni kitu muhimu sana katika maisha, Ndugai yupo sahihi hoja yake kwa level zote induvidually, nationally and internationally.
Ndugai hana hiyo nguvu anayosema ni suala la muda tu, muda ukifika wote watatulia. Ukimwangalia mama anaonekana hana wasiwasi nao kabisa yeye na kundi lake kiufupi labda wajaribu 2030.Kwa kauli yake mwenyewe - kumbe swala la kustahafu ubunge 2025 lilishapangwa kabla na mikakati ya hatua inayo fuatia ilishapangwa pia. Mdogo mdogo mambo yanaanza kuwa hadharani juu ya taharuki iliyoibuka chamani mpaka kupelekea jamaa kuachia ngazi kwa kasi ya 5G na vijembe vya chifu Hangaya kuhusu kijani mwenzie na makundi 2025!
Inaonekana Ndugai aliamini alichokisema pale alipopinga sera za taifa kuishi kwa kuomba omba misaada na kupelekea kujiuzulu uspika kwa shinikizo... amelirudia tena jambo lile kwa angle nyingine...
Hili dhahiri ni jiwe limerushwa Ikulu, na natumaini wakubwa watapata ujumbe kwamba kuna sehemu ya Watanzania hawaamini katika maendeleo kuletwa kwa kukinga mabakuli ambayo ndio imegeuka sera rasmi ya awamu ya sita...
Siyo yeye tu ambaye anaamini kujitegemea ndiyo suluhisho la maendeleo ya mtu binafsi, Jamii au TaifaView attachment 2218848
Ameongea akiwa wapi?Kwa kauli yake mwenyewe - kumbe swala la kustahafu ubunge 2025 lilishapangwa kabla na mikakati ya hatua inayo fuatia ilishapangwa pia. Mdogo mdogo mambo yanaanza kuwa hadharani juu ya taharuki iliyoibuka chamani mpaka kupelekea jamaa kuachia ngazi kwa kasi ya 5G na vijembe vya chifu Hangaya kuhusu kijani mwenzie na makundi 2025!
😂😂😂😂MKuu,Una Chombo kweli?mbona Kama unawasnitch wenye vyombo?Watanzania wanapenda vya bure wanataka wapunguziwe mafuta hadi elfu moja kama vile wanayachimba wao
Unajua nguvu ya hela lakini? Watu wamepiga hela hawa na magu wake alafu zote ziko kambi yao wanajipanga tu utaskia.Ndugai hana hiyo nguvu anayosema ni suala la muda tu, muda ukifika wote watatulia. Ukimwangalia mama anaonekana hana wasiwasi nao kabisa yeye na kundi lake kiufupi labda wajaribu 2030.
Akili za Mataga hizo bila kuitaja Chadema wanawashwa mwili mzimaSasa aliyoyasema Ndugai na mkutano wa Chadema, kuna uhusiano gani wewe mzee.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza akagombea uwenyekiti wa ccm mkoa au hata wilaya. Huko nako ni siasa.Huyu mzee anasema hagombei tena ubunge 2025 ila anabaki siasani, maana yake anautaka urais au nini? Au ndio mwenyekiti wa Umoja Party.