Ndugai: Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL inapata hasara, je tuendelee kununua nyingine?

Hahahaaa madege waliyapokea naye akiwepo mstari wambele na ngonjera bungeni za kumpongeza aliyenunua,Leo imekuwa hasara tupu!! Bora yangenunuliwa kwa mkopo!! Sasa wanataka kustop kuleta nyingine nao walishalipia??
Hayati alisema tusibinafsishe vitu muhimu ikiwemo treni zetu Leo hayupo wanataka binafsisha kijanja janja kujidai PPR...mbona ndege hamkutaka PPR mpaka fastjet ikapotea?
Bunge lililopita litaingia kwenye rekodi kama bnge dhaifu lakini hili linaweza ingia kama bnge ondoa dhai weka m kabisa!! Na spwika huyu akiwa kinara wa kuliangamiza!
Siku zote "Haramu haizai halali" tusiweke vitu haramu kwenye bunge tena linaloanza na sala alafu tukategemea matokeo mazuri Abadan!!
 
Kweli ofisi ya ndugai inabidi ikaguliwe
 
Duh Kazi kuliko hii...

Kwahio alidhani huwa tunapiga faida ?

Na kuwashauri hao wabunge wawe wawekezaji wa hayo mabehewa n.k. (isije ikawa mtunga sheria akajitungia ya kujinufaisha mwenyewe) Au tunawalipa pesa nyingi sana tuwapunguzie?

Sioni ubaya wa mfanyabiashara akiwa mbunge ila kuna ukukasi ya wabunge wakiwa wafanyabiashara (self interest might take its cause)
 
Good points
 
Utaugua bure maradhi yasioambukiza.
Enenda ukatubu na ujitoe kutoka waliokuwa wanaishi kwa kumuimbia shetani mapambio, itakusaidia.
Ukimaliza yafaa ushiriki katika kumtaka Ndugai na wanafiki wengine waanze kujiuzulu kwa hiyari.
 
Hajasema wapinzani wamewachelewesha?
 
sasa mtu akishanunua mabehewa ayapeleke wapi wakati hana train za kuendeshea, si ndio ataishia kuyakodisha TRC na kubadilisha business model yao
Kampuni ya usafirishaji binafsi inaweza kutumia mabehewa kwa shughuli zake binafsi mbadala wa malori.Rejea kitu anachokifanya bakhresa na shirika la reli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…