Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Hata ile somo la historia John Pombe Joseph Magufuli ataongelewa ukura mmoja, kwenye orodha ya marais.

Magufuli alikuwa dikteta sana.

Mwaka 2000 alimteka mgombea wa cuf ili asimpinge jimboni.

Mwaka 2005 alimteka Dr Sende, akazizuia boti zake kufanya usafirisha na akamteka na kumzuia asigombee ubunge.

2010 alipingwa na Dr Lukanima, mkufunzi wa uchumi Mzumbe, alifukuzwa kazi na akakimbilia uhamishoni Chile Magu alipokuwa Rais, kuna kijana mwingine alimpinga mwaka huo, baadae huyo kijana anaitwa Deusdedit, akapigwa uhujumu uchumi hadi leo yupo lupango. Alikuwa mtumishi NEMC.

Idara ya usalama, msijaribu kuruhusu mtu type yake kuwa Rais au makamu.

Tumshukuru sana Mungu.
Nimekusikia na kukusoma leo mkuu 'NONIYANG'WAKA' -(kitu kama ndege wa mwaka?)!

Huu utekaji kumbe unayo historia ya siku nyingi? - 2000, 2005....!

Huyo Dr Lukanima ajihesabu kuwa na bahati sana, vinginevyo naye angekuwa ni historia wakati huu, kama ilivyo kwa akina Ben Saanane?

Lakini nimekusoama, na pengine nitaendelea kukusoma zaidi huko mbeleni.
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
weeeh! Jpm wakushauriwa au aliusoma mkataba.
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Huu uzi wako umekaa kichonganishi na kinafiki unaleta habari za miaka ya nyuma hapa
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Duh!! Aayaaa bwana inanibidi nicheke tu sa nitafanyaje ndugu zanguu
 
Lakini inapaswa tuwaze mbali, kwa faida ya vizazi vijavyo

 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Kula like boss Leo umetema madini Sana.
 
Yetu macho na masikio
Ohoo, yenu macho na masikio? Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki kwenye kutoa maoni na ikibidi kushinikiza kujua faida na hasara za miradi kama hii. Ukiwa mtazamaji hasara ni yako.
 
Mara Paap Magufuli anafufuka kama Yesu, Mzee Mantonya (aka Ndugai) ataficha wapi sura yake?
 
Hilo ndilo tatizo lingine kubwa la nchi hii. Kukosekana kwa bunge huru.
Mkuu Yoda,

Naomba nami nipandie kwenye hoja yako hii ya "kutokuwa na Bunge Huru."

Naomba sasa tushirikiane kuwastua hawa wabunge wa CCM waliomo kwenye Bunge hilo.

Mfadhiri wao mkuu, KAONDOKA; hakuna tena anayewashikilia wasiweze kulifanyia haki taifa hili.

Kitu cha kwanza wanachopaswa kukifanya ni kusafisha takataka zilizoko huko Bungeni kwao kwa kuwaondoa katika ngazi za uongozi wapuuzi kama huyu Ndugai.

Ndugai bila ya mbeleko wa mtu mwingine (kama Magufuli), hana nguvu ya kumuyumbisha mtu yeyote. Huyu wamkatae asiwaongoze, wamwondoe haraka.

Wakishafanya hivyo, hapo ndipo itatakiwa wafanye kazi za wananchi ambao kiuhakika hawakuwachagua kwa hiari zao. Hapo watakuwa wamelifanyia taifa lao haki, na wartastahili kupewa heshima.
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Thank you
 
Nimecheka spika alichoongea Ndugai kwenye Clip anasema ukiangalia presentation waliyotufanyia wachina kule kwao ule mradi ni mzuri sana!!!

Nimweleweshe mradi mzuri huuangalii kwenye presentation nenda kwenye mkataba huko ndiko utajua ni mzuri au la
Tuonyesheni mkataba

Pili anasena ni kosa kuanza kujenga reli kabla ya bandari!!! kwa hiyo unaanza kujenga stendi ya mabasi kabla ya barabara? Mfano hakuna barabara hata moja ya kutoka Dar kwenda mkoa wowote kwa hiyo wewe cha kwanza utaanza kujenga stendi ya ubungo wakati huna hata barabara moja?

Bandari sisi tunayo tayari hilo la kusema tumetanguliza mkokoteni mbele ya punda anayetakiwa yeye kuwa mbele na mkokoteni nyuma sio kweli .Sisi bandari tunayo tayari huo mfano hautuhusu walitakiwa wawajibu hivyo hao wachinadio tu ku swallow everything!

Naanza kunusa harufu ya rushwa Ndugai na kundi lake China walipoenda kuna kitu waliahidiwa au walikula rushwa!!
Huwezi kuukubali mradi kwa ka kipresentation tu kadogio ka dakika chache ka power point bila kuona mkataba
Hawa si ni ''wachapa kazi '' wa Magufuli lakini? Si ndio alikuwa anawaamini na kusema wana uzalendo? Maskini mzee wa watu hakujua alikuwa amezungungukwa na mbwa mwitu. Alidhani kina Lissu ndiyo maadui zake kumbe walikuwa wazalendo na hawa kina Ndungai ndiyo maadui wa Taifa.
 
Back
Top Bottom