Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Mnhhh... Hii nchi hii!!nhh.

CCM tuachieni Nchi Yetu
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
Kabla hata hatujamaliza siku 21 za maombolezo naona NDAGU imeanza kujibu.

Watajitokeza wenyewe na ikibidi watatajana ambao hawakuiimba Tanzania mioyoni mwao wakati wa JPM
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha


Mpaka Mwili wake ukianza kuwa Mbolea ( Kuoza ) huko Udongoni aliko si tu kwamba tutawajua Wanafiki pekee kwa idadi yao kama huyu Spika Ndugai, bali na hata waliokuwa Wakimuogopa utadhani alikuwa ni Mungu Mtu Tanzania nzima tutawajua pia.
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Why saying this now.
It's a bit difficult to buy this.
He should have said this at the time JPM was still around.
 


Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.


Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
 
Bagamoyo ipo karibu na ulaya kuliko dar.
Sioni sababu ya kujenga bandari ya bagamoyo wakati ya Dar haijafanya kazi at full capacity na bado inaweza kupanuliwa...otherwise hiyo bandari iwe ni long term project ambapo tutatumia pesa za ndani......tumeshachoka na mikataba ya kiwizi.
 
Kweli ni ngumu kuwaelewa wanasisa
Ila kuna mengine inatakiwa akili ya ziada au kuyachambua mambo kwa umakini tu
Kama walikuwa wanaogopa kumshauri Ina maana hawakuweza impeachment?
Aidha sasa ndio wanataka kupiga zaidi au kuna walengwa au wanufaika nyuma
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizazi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuliopo hatutakuwepo duniani tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuongelea vitu tu gizani si sahihi sasa tutasemaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi

Yani mataga mmepoteana kabisa.
 
Haileti maana kuwa na bandari mbili kubwa zinazofuatana yaani kwa umbali mfupi namna hiyo.

Dar yanyewe bado haijatengamaa halafu tuongeze nyingine??

Hivi tukianza kuhisi otherwise tutakua tunakosea??

Ndugai must resign.
 
Nimecheka spika alichoongea Ndugai kwenye Clip anasema ukiangalia presentation waliyotufanyia wachina kule kwao ule mradi ni mzuri sana!!!

Nimweleweshe mradi mzuri huuangalii kwenye presentation nenda kwenye mkataba huko ndiko utajua ni mzuri au la
Tuonyesheni mkataba

Pili anasena ni kosa kuanza kujenga reli kabla ya bandari!!! kwa hiyo unaanza kujenga stendi ya mabasi kabla ya barabara? Mfano hakuna barabara hata moja ya kutoka Dar kwenda mkoa wowote kwa hiyo wewe cha kwanza utaanza kujenga stendi ya ubungo wakati huna hata barabara moja?

Bandari sisi tunayo tayari hilo la kusema tumetanguliza mkokoteni mbele ya punda anayetakiwa yeye kuwa mbele na mkokoteni nyuma sio kweli .Sisi bandari tunayo tayari huo mfano hautuhusu walitakiwa wawajibu hivyo hao wachinadio tu ku swallow everything!

Naanza kunusa harufu ya rushwa Ndugai na kundi lake China walipoenda kuna kitu waliahidiwa au walikula rushwa!!
Huwezi kuukubali mradi kwa ka kapresentation tu kadogo ka dakika chache ka power point bila kuona mkataba!!!
Mkuu niunge mkono hoja

Mama awe makini saana na watu wa namna hii

Alienda kivipi huko makao makuu?

Usikute kila mtuu sasa hivi anatafuta namna ya kupiga.

Waweke mkataba ili sote tuone.



Hapa utagundua hapo hakuna mwenye nia njema na nchi hii.

Naanza kumuelewa Magufuli kwamba alijitoa maisha yake. Kweli alizungukwa saana tushukuru hata haka ka muda alikotumikia.

Sikuamini kama nchi inawatu wa namna hii.
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Ndugai unageuka nyuma na kujikataa mwenyewe? Bora kipindi kile ungekaa kimya. Sisi tukuaminije sasa unachosema una maanisha?
 
HII HABARI YA BUNGE LILILOPITA UKISIKILIZA UTASIKIA JINA LA MHE ALLY KESSY.


MHE KESSY HAJARUDI BUNGE HILI


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
TUMENG'AMUA NI TANGOOOO...
 
Back
Top Bottom