Ndugu yangu alishinda betting milioni 7 na laki 4 mwezi wa kwanza, kwa sasa anatia huruma, hii michezo ina maendeleo kweli?

Mkuu tumia kiswahili tu!
 
Kuna somo nilipewa, kwamba(ukiwa wa, kiwango Fulani cha pesa,mathalani, we ni wa vilaki laki tu, ukipata milioni,akili inaacha kufanya kazi, mpaka uzitumie zikifika kile kiwango, ambacho ndio hadhi yako, una bumburuka kama zuzu nakujiuliza umetumia vipi pesa!),
Na wataalamu wanasema kuna tofauti ya, kuwa milionea na kumiriki ma milioni ya pesa,
Milionea, inaanzia kwenye state of mind, hata kama huna hayo ma pesa, We ni milionea hatq kama mfukoni huna shilingi!
 
Ana mbwembewe tu na ulimbukene, chunguza sentensi zake nyingi zina broken English
No superior command of English at all. Comment zipo grammatically wrong na tense/tune.

Wengi English inatupiga chenga ila atleast ukisoma sentesi haitakiwi kuwa na ukakasi wa wazi kama kutokujua wapi pa kuweka is vs are....

Sasa mshahauri mbongo aibuke na debe la mitusi.
 
Ni huzuni kwa kweli
 
The Chance are ,is to save young generations to abstain gambling there's a lot of ways to earn clean money .

If 99% gamblers are end up being broke , means this way is tough and tough
Aint gambling money a clean money?
 
Kuna raia humu wanakicharaza kikristo!

Kuna maskini mmoja humu yeye anajikuta anaifahamu mno pesa hata kuiita milioni 1 ni pesa ndogo. Wewe jamaa sio kila mtu ni zuzu kama ulivyo wewe. Milioni moja ni pesa nyingi mno kama una adabu.
 
Kwanini kamari ni haram?
Kwa sababu unapata hela ambayo hujaifanyia kazi na sio halali yako n kama umempora mtu huwez weka 1000/= uje upate milion 10 kama ni biashara n biashara ya aina gani ndo mana tunasema kamari haram na hata ukipata iyo hela ndo hayo yanakuja kutokea tunayoyazungumza mtu unapiga milion 40 ila baada ya mda unakuja kuokota makopo mtaani huku ila kama n hela halali haiwez tokea ilo suala
 
Wewe ulikuwa wapi Hadi anafanya ufujaji awa pesa zote hzo
 
[emoji23][emoji23][emoji23] acha uongo bhna
 

Mwenyezi Mungu alishaharamisha kamari
 
Mkuu wewe ulitaka afanye nini?Milioni saba ya kubeti mbona hela ndogo sana.Tena kajitahidi sana.Wapo wanaoshindaga Milioni nyingi sana na bado wanarudi pale pale.Utajiri SIO mrahsi hivyo boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…