Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Aisee kumbe huu mji ni wa kukaa kikamanda, japo naona Wana lazimisha wani pokee vitu vyangu.
🤣 usijichanganye ukawapa watu hela ya kula , huo mji ni hatari ukiuliza uelekezwe njia tu unaliipia, kwa mama ntilie maji unanunua , maziwa fresh ni kipengele wanaozungusha mitaani ujue yamejazwa maji , ndizi moja jero sasa ni mji jehannam hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…