[emoji1787] mpaka wewe mkuu umetoa ushauri itabidi ambwage tena kabla jua halijazama leoMkuu. Achana nae uyo. Tena muache kuanzia leo.
Mi uwa sitoi ushauri wa mapenzi, ila this one seems seriously.
Piga chini mbuzi iyo.
Kasongo tena 😂Ifike hatua hata wadada waone aibu kuolewa kwa mahari maana ni kama unanunuliwa ati!, ila ndo kwanza wameshupaza shingo wanajipangia mahari kubwa!.
Mkuu achana na huyo kasongo, kwanza umekosea sana hata kuja kutuomba ushauri huyo ilitakiwa unamuacha tu hakuna kuuliza.
Hata kama umeitoa wewe isiwe sababu ya kutaka kukomaa na mtu asiekupenda.Nimemkuta bikra na nimeshaitoa mwaka sasa
Unasubiria nini kumwavha?Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Atakuletea rangi zote ukimuoaAna 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yake
Hiyo dharau haivumiliki. Piga chini mapemaMzazi wangu kuwa nikitaka mke nimwambie mzazi wangu
A save hiyo hela miaka kadhaa badaye itatosha kununua Tesla Modal YMkuu. Achana nae uyo. Tena muache kuanzia leo.
Mi uwa sitoi ushauri wa mapenzi, ila this one seems seriously.
Piga chini mbuzi iyo.
sio dharau tu, anaonekana ana sauti kwa jamaa, yaani jamaa ameonyesha kuwa anampenda sana, ndio maana anamjambisha et tuachane kah! mil 2.6 ndogo? wakat kuna wenzake huwa wanaanza kuishi kwanza na wanazaa kabisa ndio mahari zinaenda
Nashukuru sana mkuuHamna mke hapo mkuu. Jikite na biashara
alaah.! hamna mke garasa hilo muache haraka..kama anakwambia 1m sio thamani yake kwahoyo hio m 2.6 ndio thamani yake..sasa ukishamuoa na thamani yake ameiweka kwenye pesa vp akitokea tajiri mwenye pesa kukuzidi akamuhonga japo milion 5 au akihongwa nyumba,gari na pesa amzalie mtu hakatai huyo..mwanamke anapenda maisha ya juu na kutrend na kufuja pesa atakutia umaskini tu mbaya zaidi hizo ndoa zenu za kanisani hata ukiingia chaka kuivunja kwa maumivu na gharama kubwa ..achana na kupe hiloAna 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yake
Mahali au Mahari? Anakupenda wakati kakwambia kama Vipi muachane? Muache hutakufaWakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Ikitokea na ww umejipangia mahari utaweka ngpi😁Hupendwi 😅watu wanaolewa kwa Msaafu.
Kenge huyo...aende zake. Mbususu zipo nyingiWakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
HahahahaKenge huyo...aende zake. Mbususu zipo nyingi