Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Mahari sio mahali huwa hailipwi yote, tunapunguza tu maisha yanaendelea tunamaliza mahari ikitokea mke kafariki tu otherwise hadi maisha yanaisha bado tunatunza deni ili kuwe na sababu ya kuwasiliana na wakwe! Kama mke ndo anashinikiza yasiyomuhusu kuna tatizo hapo na huenda ana cha juu
 
Naandika ushauri huu kwa uchungu sana.

KWANZA, Kupangiwa mahali nje ya uwezo wako wa kawaida ni kukosa utu, wazazi wenye akili ya maisha na wanaojua ndoa ni nini huwa wanampa ruhusa binti apange mahali kwasababu binti ndiye anajua maisha halisi ya mume wake mtarajiwa.

PILI, Kama mwanamke amedai muachane kwasababu hauna Mil. 2 au bajeti yako hairuhusu, mimi nakushauri ni heri uachane naye kweli na utafute maisha mengine kwa hasira. Utapata wa kukuelewa. Wapo mabinti wengi ambao ni waelewa sana na wanatafuta wanaume wa maisha.

TATU, Kama unampenda kweli itakutesa sana kwasababu ushauri tutakaokupa utaona kama haukufai na utaamua uamuzi wako. Ila ni heri uachane naye kabla hajakuambia mengine yatakayokushinda huku ukiwa tayari umeshatoa hela yako ya mahali.
 
Kwa kauli hiyo kimbia mbio sana, Mungu anakupenda na amekufunulia signal kwamba huyo unayedhani anafaa kuwa mke ni hafai. Yatakukuta yaliomkuta MC Pilipili ndani ya mwaka mmoja na nusu.

Jiongeze, mwanamke akipenda huwa ni mtiifu na muelewa kwa mwanaume wake. Hawi mbinafsi na hampelekeshi mwanaume wake ila kwa upendo na heshima anampa nafasi ya kutoa mawazo mazuri kwa manufaa ya wote sababu ndio mtaishi pamoja. Pia anakuwa tayari hata kujinyima furaha ili tu ahakikishe wewe unaridhika kwanza hii kitaalamu inaitwa "submission".

Hio element ikikosekana ndio mwanamke hatawaliki. Anakuwa ana kiburi, dharau za wazi wazi tafsiri yake ni kwamba hakupendi na wala hajali lolote kuhusu wewe.
 
Ila Binti ana dharau, imagine anamwambia jamaa amwambie mama ake amtafutie mke 😂😂😂. Jamaa Kai hukulia poa hii kauli ila ni nzito saana
Sijui hata akili ya kuanzisha uzi kaitoa wapi!! Hiyo ni bonge ya red flag 🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Sawa mkuu shukrani Tayari nimepiga chini takataka hii
Hongera sana kama umefikia uamuzi huo,ameonyesha redflag mapema mno,tatizo huwa tunadharau kufuatilia hizi ishara

Nilifikir ungekamatika na bikira kama baadhi ya wajinga humu wanavyoziabudu,,haya umemtoa bikira na bado anataka muachane,je hapo bikira yake ina manufaa gani?

Mwanamke akikupenda atakuwa wa kwanza kukutafutia unafuu wewe mwanaume wake ili mtimize lengo lenu,lkn huyo ndio kwanza anakuwa kikwazo kwako

Halafu ogopa mwanamke anayeweka demand ili umfanyie jambo fulani,basi tambua ungetimiza hili takwa lake,ungekutana na demand nyingine nyingi tu

Kwanini baadhi ya wanaume wanapoteza mamlaka kwa wake zao? Ni kutokana na mambo kama haya,leo atataka hili kesho lile na mwisho wa siku yeye ndio anakuwa juu yako

Kama kweli umempiga chini hongera ila kama unatuongopea ili uonekane una msimamo hapa juu ya jukwaa,hilo ni tatizo lako na utajifunza in a hard way
 
Hongera sana kama umefikia uamuzi huo,ameonyesha redflag mapema mno,tatizo huwa tunadharau kufuatilia hizi ishara

Nilifikir ungekamatika na bikira kama baadhi ya wajinga humu wanavyoziabudu,,haya umemtoa bikira na bado anataka muachane,je hapo bikira yake ina manufaa gani?

Mwanamke akikupenda atakuwa wa kwanza kukutafutia unafuu wewe mwanaume wake ili mtimize lengo lenu,lkn huyo ndio kwanza anakuwa kikwazo kwako

Halafu ogopa mwanamke anayeweka demand ili umfanyie jambo fulani,basi tambua ungetimiza hili takwa lake,ungekutana na demand nyingine nyingi tu

Kwanini baadhi ya wanaume wanapoteza mamlaka kwa wake zao? Ni kutokana na mambo kama haya,leo atataka hili kesho lile na mwisho wa siku yeye ndio anakuwa juu yako

Kama kweli umempiga chini hongera ila kama unatuongopea ili uonekane una msimamo hapa juu ya jukwaa,hilo ni tatizo lako na utajifunza in a hard way
Shukran sana kamanda
 
Hongera sana kama umefikia uamuzi huo,ameonyesha redflag mapema mno,tatizo huwa tunadharau kufuatilia hizi ishara

Nilifikir ungekamatika na bikira kama baadhi ya wajinga humu wanavyoziabudu,,haya umemtoa bikira na bado anataka muachane,je hapo bikira yake ina manufaa gani?

Mwanamke akikupenda atakuwa wa kwanza kukutafutia unafuu wewe mwanaume wake ili mtimize lengo lenu,lkn huyo ndio kwanza anakuwa kikwazo kwako

Halafu ogopa mwanamke anayeweka demand ili umfanyie jambo fulani,basi tambua ungetimiza hili takwa lake,ungekutana na demand nyingine nyingi tu

Kwanini baadhi ya wanaume wanapoteza mamlaka kwa wake zao? Ni kutokana na mambo kama haya,leo atataka hili kesho lile na mwisho wa siku yeye ndio anakuwa juu yako

Kama kweli umempiga chini hongera ila kama unatuongopea ili uonekane una msimamo hapa juu ya jukwaa,hilo ni tatizo lako na utajifunza in a hard way
1000002129.jpg
 
Hongera sana expert wangu,,,,ebu chek jibu lake eti "sawa"

Angekuwa anakupenda kweli lazima angekuwa kwenye mshtuko baada ya hiyo text yako

Hongera sana kwa kuligundua hili mapema,hata akijirudi baada ya siku siku chache zijazo,huyu sio mtu wa kuanza nae maisha trust me

Utampata mwingine tu expert wangu
 
Iyo 1 milion subiri jumapili tafuta odds 10 i swear utakuja kunishukuru
Apo ushalipa mahali na mtaji milion 7 mfukoni
 
Hongera sana expert wangu,,,,ebu chek jibu lake eti "sawa"

Angekuwa anakupenda kweli lazima angekuwa kwenye mshtuko baada ya hiyo text yako

Hongera sana kwa kuligundua hili mapema,hata akijirudi baada ya siku siku chache zijazo,huyu sio mtu wa kuanza nae maisha trust me

Utampata mwingine tu expert wangu
Mkuu naomba kukuweka sawa.
Hiyo sms ndefu ni sms yake yeye baada ya mm kumuambia ukweli kuwa simuhitaji mana Kuna siku nilimwambia kama Mungu amepanga tuwe wote basi atatupa majibu yeye akajibu hiyo Mimi nikajibu sawa.
 
Mkuu naomba kukuweka sawa.
Hiyo sms ndefu ni sms yake yeye baada ya mm kumuambia ukweli kuwa simuhitaji mana Kuna siku nilimwambia kama Mungu amepanga tuwe wote basi atatupa majibu yeye akajibu hiyo Mimi nikajibu sawa.
Asante kwa kuniweka sawa,shukran
 
K
Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Kataa ndoa bro tafuta pesa hivyo viumbe havieleweki
 
Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.

Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??

Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
2.6 M ni fair sana!
 
Sioni future yoyote nzuri hapo, kama mwanaume niliyeona mengi nakushauri kaza moyo mwanangu huenda ukapata mtu sahihi mnaendana hapo baadae, nikushauri kitu, kitu chochote kinachohusiana na Mali au zawadi kama vile pesa nk ni vizuri kufungua milango yako yote ya fahamu kuweza kujua upande uliojificha wa mwenzako....mambo ya pesa yakiingia ni rahisi kujua usichokijua.
 
Back
Top Bottom