Ndugu zangu upande wa baba wanainua vita kali juu yangu

Huyu kayakanyaga Mwenyewe kwa sababu ianonekana anapenda kurushiana nao maneno lazima wamvuruge tu. Mpaka anakuja humu washamvuruga abadirike aache kujibizana nao hiyo ndio last solution's
Kabisa yani! Kama mimi huwa sitakagi maneno mengi wala kelele kabisa ikitokea suala la familia natulia bila kelele naact afu sina muda wa kupigizana kelele.


Cc Smart911
 
Muamini Mungu na mtegemee yeye pekee ili akuvushe kwenye hii Vita.
 
Mkuu nilikuwa ninasubiria comment yako sana.

Ninakushukuru mno.
Nitafanya kilichosahihi.ubarikiwe🫶🫶🫶


Uki -Practice utafanikiwa kuwa na Amani Sana na familia na ukoo wako wataishi vizuri Sana.

Hiyo hali Kama yako wanapitia watu wengi , Ila unabidi kujua huwezi kuondoa Giza kwa kuweka Giza.

Hivyo ili uondoe Giza unabidi wewe kuwa mwanga.

Ukiwa positive Sana utaanza kupata Kitu kinaitwa Enlightenment macho ya yatafunguka Sana na kuanza kuona badala ya kutazama.


Kila MTU ni muhimu ,God never make no Junk and God never made a poor

Hivyo usijitenge na watu Ila watenganishe watu na siri zako

Play low key maintain be a commoner vaa vizuri pendeza Ila usipende kutaka kila MTU ajue Una nini au unamiliki nini.

Na elewa umasikini wa uchumi unatokana na
Umasikini wa fikra
Umasikini wa roho na baadae hufata umasikini wa fedha.

So don't hate anybody and Enjoy ur life to the fullest
 
😁😁😁

Asante kwa ushauri mkuu🫶

Sio Tajiri wala sina cha maana zaidi ya kujichanga tu.

😁😁hashtaglowkey
 
Wewe ni dhahabu, ishi nao kwa akili.Tumia mdaa mwingi kufikilia mambo Yako ya familia Yako! Ndugu zako ni wazazi wako na wanao!
 
Usiwasikilize sana hao ndugu uchwara fanya unachoona sahihi kwako mkuu na c lazma Kila mtu akupende..

Mm na ndugu yangu Mzee alimsomesha Kwa tabu sana Kwa kuuza kahawa na ndizi kipindi hcho bb mkubwa kasepa ,Mzee Kuna kipindi alikosa kbs Hela ya kulipia malipo ya shulee akaamua kuuza na shamba lenyewe Ili bro asomee ,km unavyojua ndugu jamaa na marafiki walimsema sana Mzee na kumcheka ety anauza shamba kisa mtt asomee ss atakufa njaa maana Hana pakulima tenaa,,

Leo hii bro alishamaliza chuo na kujiajiri ktk fani ya engineering anapigaa Hela na kununua mashamba km yt wale wale ndugu wameanziasha maneno bro n jambazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee,hvyo ubinadamu n kazi mkuu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…