Aiseee.Mkuu naomba dalili za kujua ninao tafadhali????? Kabla atujaenda huko hospital
Asante kwa huu mrejesho mzuri toka kwako MkuuNina condition moja wanaita INNATE RESISTANCE TO HIV(IRH) hii inatokana na mimi kukosa receptor protein ijulikanayo kama CCR5-delta 32 kwenye seli hai nyeupe ambayo ndo huwa inatumika kama kihisishi cha magonjwa na pia ndiyo njia ambayo HIV anatumia kuingia ndani ya seli hai nyeupe na kuzidhuru mimi kutokuwa nayo ina maana hakuna njia ya kirusi kuingia ndani ya seli hai nyeupe hivyo napata virusi kwa muda kisha vinaondoka pindi seli zikimaliza mzunguko wake .Kiufupi HIV HANIDHURU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimcheke bhan anahitaji faraja MsweetTehe.... Utapata presha bure..... Jiandae kisaikolojia.... Nenda kapime.
Dah...Ila unaweza kudhuru wengine?Nina condition moja wanaita INNATE RESISTANCE TO HIV(IRH) hii inatokana na mimi kukosa receptor protein ijulikanayo kama CCR5-delta 32 kwenye seli hai nyeupe ambayo ndo huwa inatumika kama kihisishi cha magonjwa na pia ndiyo njia ambayo HIV anatumia kuingia ndani ya seli hai nyeupe na kuzidhuru mimi kutokuwa nayo ina maana hakuna njia ya kirusi kuingia ndani ya seli hai nyeupe hivyo napata virusi kwa muda kisha vinaondoka pindi seli zikimaliza mzunguko wake .Kiufupi HIV HANIDHURU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu watu Kama Sisi hatuwezi kudhuru wengine maana virusi havikai kwetu.. tunavi resist. Yani ile uume ukiingia kwenye Uke wenye HIV tayari mwili unaproduce Kinga iliyotukuka Hadi kwenye Kichwa Cha uume ambapo vinadedia hapo hapo!Dah...Ila unaweza kudhuru wengine?
Sent using Beretta ARX 160
Mkuu watu Kama Sisi hatuwezi kudhuru weng Iine maana virusi havikai kwetu.. tunavi resist. Yani ile uume ukiingia kwenye Uke wenye HIV tayari mwili unaproduce Kinga iliyotukuka Hadi kwenye Kichwa Cha uume ambapo vinadedia hapo hapo!Dah...Ila unaweza kudhuru wengine?
Sent using Beretta ARX 160
Kwahiyo mwanzo mwa matumizi hakuna ndoto?Hizo ulizotaja ni side effects za dawa ambapo hiyo kuota mandoto mabaya ni hallucinations inayotokana baada ya kunywa dawa side effects au adverse effects ziko nyingi sana.
Hakuwa akitumia dawa?Ukimwi upo na unaua juzi nimezika brother angu.....japo alisumbua kunywa dawa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Weeee sio chai hiiMkuu watu Kama Sisi hatuwezi kudhuru weng Iine maana virusi havikai kwetu.. tunavi resist. Yani ile uume ukiingia kwenye Uke wenye HIV tayari mwili unaproduce Kinga iliyotukuka Hadi kwenye Kichwa Cha uume ambapo vinadedia hapo hapo!
kapime tena baada ya miezi mitatu,majibu utakayopata utalazimika usubiri tena miezi mitatu na kama utakua salama basi mshukuru Mwenyezi Mungu.Ukimwi usikie tu kwa watu... lisikukute
Kuna wakati fulani, miaka kadhaa nyuma, kipindi cha utawala wa mkwere awamu ya pili, nikiwa na miaka 18 Tu... sintokuja sahau maishani kwangu
Nakumbuka ile siku, kuna bimkubwa mmoja nilimtania tu kuhusu game...mimi nikijua n utani kumbe kwa bimkubwa alidhan nilimaanisha, muda tulio kubaliana akafika eneo la tukio.. sina hili wala lile naelekea zangu ghetto mara huyu hapa... kile kiwewe, ndio first time ilikua, ghetto kuna condom box zima wajomba walinunua, nikaogopa kuchua hata ka pact kamoja.. nikaenda mchampa peku viwil... first time experience, nikatoka pale mwepes
sasa kimbembe kama masaa mawili baada ya tukio, alinipiga simu akaniuliza "Hivi Dan ulivyokua unafanya vile ulikua unategemea nini" moyo ukapiga paa.. nikauliza, G, unamaanisha nini, wacha anipe jibu konki "Subiri muda ukifika utanielewa" akakata simu akazima... mai weee, nikajua nimeenda na maji... yaan mara moja tu nakufa hivi hivi... Dan Pol nimekufa kizembe namna hii, kweli mgambo n mgambo... nililia acha tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nilisoma kila kitu kuhusu ukimwi, nikasubir muda ukafika(miez mitatu) kwenda kupima naogopa, huku na huko nikapata demu, condom hataki, nikiwa nafikiria cha kumjibu akaniambia unafikiria nn, kwa lugha nyingne namaanisha tukapime... maiweeee, nilikua mdogo ghafla, ilikua jumapili, akasema twende juma nne nikasema hapana twende alhamis, lengo nipate mda wa kuji cancel kidogo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] achana na hii kitu bana
siku imefika, kutoka hospital ilipo na nilipokua na naishi ni mwendo wa dakika 10.. it was the longest journey of my life, nikifika tukauliza sehemu ya kupima, tukapelekwa kwenye chumba namba 10....ilikua jua la utosi ila nilikua nina vibrate balaa.. mbaya zaid nilikaa usawa wa dirisha la dawa, nilipoona watu wanaokuja kuchukua dawa... nilihisi kufa kufa tu, hawafanani hata kidogo na waathirika... muda ukawadia tukapima, ile hali niliyokua nayo ilikua haielezek, yaan kama mtu angenishtua kwa kupiga tu hata makofi, nahisi ningekufa
Neno nalokumbuka kutoka kwa yule nesi kauli yake yake ya KWASASA NYIE WOTE NI WAZIMA, akashaur shaur pale sikusikia neno hata moja ... ile tumeruhusiwa kutoka tu nilimshika mkono dem wangu mbio, kama kakosea asijesema rudin hapa nimekosea kusoma
Tokea siku hiyo mpaka leo hii, hata mwanamke awe mzuri vipi, kama sina condom na hatujapima, simgus kwa namna yeyote ile, hata nikilala kitanda kimoja na avue nguo zote.. sigusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hofu ni kubwa afadhali ukaacha kabisa kufanya zinaa kwasababu condom nazo kuna muda zinapasukaga. Bahati mbaya imepasuka mwendo ukiwa mkali nadhani hapo ni hadi mwisho wa safari. Sijui kama uzima utakuwepo hapo
Huyu ni nani?
Hakika mkuu,wanaume tukiwa tunahitaji pampuchi huwa tuko wapole sana,anaweza kukuagiza mahali na ukaenda mbio,siku umegegeda sasa hiiiiiiiiiiiii(in jiwe voice)Hata mimi niwapongeze sana sana wadada wa hivi,,Mkuu kama kuna uwezekano hii comment yako ingekuwa Instagram ndo ingesomwa sana sana na wadada kwani wadada wana nafasi kubwa sana sana ya kutulinda kwasababu unapomtongoza mdada unaomba mahusiano nae hivyo unakuwa Mpole akikuambia mpaka tukapime kwanza kwanini ukatatae wakati unahitaji papuchi,tena anakuwa na ujasiri wa kukuambia ili nikukubali lazima tukapime kwanza tofauti na mwanaume unaweza kuhisi nikimwambia tukapime wakati hajanikubalia anaweza kunihisi nimemuona malaya na anaweza kuninyima.Ila kwa mwwanamke ni tofauti anakuwa na nguvu ya kusema hili na lile mwanzoni kabisa...
Tufanye kweli basi
Mistari si miwili hii?[emoji134]Huyu nae..... " teyari"View attachment 1065350
Like serious?...Basi una bahati sana[emoji1690]Mimi sintosahau nilivyokoswa koswa na Ngoma. Kuna demu nilimtokea mlokole kweli kweli, tongoza nawewe tongoza, mpk akakubali. Siku ya mechi tukapanga, nkaingia gheto na vipimo vya HIV, na condom. Hlf nilikuwa na nyegezi kinoma, nikajiambia huu muda wa kupima wkt nimemtoa mbali kutongoza naupata wapi, nikachukua ndomu kuanza show ya kibabe, piga na wewe. Baada ya kupita km SAA 2 nkajiambia ni muda wa kupiga kavu, nkaona nimpime kwanza. Kumpima kipimo kikasoma positive nilichanganyikiwa, nkaangalia kondomu nilizotumia zikawa zinadamu, yaani msuguo mpk damu zikawa zinatoka ukitoa kondomu. Nilichoamua nkamwambia demu nna dharula job, we sepa. Alivyosepa nkalala kuvuta pumzi kuanza fikiria jeneza, nkaona isiwe tabu nkatafta PEP fasta nilikuwa nazo krb nkaanza dozi, ilikuwa 2017 sintosahau. Miezi 6 kupima negative, mpk Leo tangu siku ile nimeacha uhuni nakumjudge mtu kisa mwenye dini
Sent using Jamii Forums mobile app