Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Kwa hiyi kigogo ndie adui yetuUhakika upi aliowahi kusema kigogo?
Haya mambo yote yaenfanayo na Sheria za uhalifu mtandao ya 2015 hayatekelezeki. Hiki alichoongea Dr Ndugulile ndiyo hakiwezekani kabisa Ila ni tisha toto tu.Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Nafikili Kama kinachofanyika huko hawapendi kuona au kusikia, wafunge account zao,Kama mh president Kinyatta,vinginevyo kitakua kituko kingineWale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Nani kakwambia hivyo? Huyo yupo kma Mange tu enzi zileKwa hiyi kigogo ndie adui yetu
Kama ni hivyo sasa sheria kandamizi za nini ?Nani kakwambia hivyo? Huyo yupo kma Mange tu enzi zile
Atapiga kelele wee mwisho wa siku ata nyamaza tu huku ccm ikiendelea kuwa ile ile na chadema vile vile
Kashindwa kupambana na makampuni ya simu, kabaki kubweka tuu kama kafungiwa gatiniWale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Mambo yao ya kisfnge tu deileviongozi wa hii nchi ni wa kipekee sana kmmmk... 😂 😂 😂 😂🙌
Tulieni mtaelewa.Mbona sijamuelewa waziri.
Kucomment huwa ni positive au negative sasa kwanini unakataza?
Mjinga sana huyu Ndugulile.Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Sheria ya matumizi ya mtandao iko wazi. Anayesambaza na ku like habari za upuuzi, jeshi la polisi litamkamata na kumfikisha mahakamani ambako atahukumiwa kwenda kunyea debe miaka mitano. Dr Ndungulile anawakumbusha kutii hiyo sheria. Kama unabisha jeshi la polisi litaanza na wewe pamoja na wachache wanao ku support ili uwe mfano kwa wengine.Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Kiufupi,,keep kwayatsasa kama sina uhakika nisicomment kuuliza swali ili labda ndio nipate uhakika..., Hata hii sina uhakika nayo je kama nimecomment nikidhani ni ya uhakika kumbe sio yan uhakika kwanini niwajibishwe ?
Tatizo kubwa ni Taasisi zinazotakiwa kutoa habari ya kudhibitisha haziaminiki..., hence ndio kupelekea watu kutafuta habari kwenye njia nyingine..., Wakitaka kuondoa hayo wawe Transparent, Open na sio watu wa kuficha ficha...
Kazi ipo !Tumeshakuwa North Korea, itafuata CCTV na camera kibao kupachikwa ktk kila mkutano, maandamano, hafla n.k kuona sura za hadhira za mtu mmoja mmoja kama je unafurahia hotuba, unapiga makofi, unagonga meza n.k na kama hatufanyi hivyo tutanyakuliwa haraka haraka kuwa ni wapinga juhudi, si wazalendo, tunachelewesha maendeleo, ni vibaraka hatari wa mabeberu n.k
Taratibu tunaelekea huko walikofika North Korea. Nchi ya kusifu, kushangilia, kulia machozi kwa Umoja na mfumo wa utawala usio na ukomo wa madaraka kwa wanasiasa.
Source : ABC news
Wewe ni wa kuhurumiwa tuSheria ya matumizi ya mtandao iko wazi. Anayesambaza na ku like habari za upuuzi, jeshi la polisi litamkamata na kumfikisha mahakamani ambako atahukumiwa kwenda kunyea debe miaka mitano. Dr Ndungulile anawakumbusha kutii hiyo sheria. Kama unabisha jeshi la polisi litaanza na wewe pamoja na wachache wanao ku support ili uwe mfano kwa wengine.
Kazi ipo !
Mwisho wa ubaya ni aibu, Ndugulile anatapatapa tu.Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote