Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Hii ni kuwabana kabisa watanzania maana inaonekana bado kuna baadhi bado wana nyuso za furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo serikali ya JIWE imeagiza mpaka UFOWatakutumia Unidentified Moving Objects (UMO)
Jiwe anataka akihuzunika na vivo vya majizi wenzake watz wote wahuzunikeHii ni kuwabana kabisa watanzania maana inaonekana bado kuna baadhi bado wana nyuso za furaha
Nimekupa like bila kuwa na uhakika kama taarifa hii ni ya kweli au lahasha!😅Watakutumia Unidentified Moving Objects (UMO)
Tofauti na UMO, UFOs zinaruka...Kwahiyo serikali ya JIWE imeagiza mpaka UFO
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimekupa like bila kuwa na uhakika kama taarifa hii ni ya kweli au lahasha![emoji28]
Everyday is Saturday................................😎
Tulimsifu sana kwa msimamo wake lakini sasa anaanza kuwa kiazi.Mbona sijamuelewa waziri.
Kucomment huwa ni positive au negative sasa kwanini unakataza?
Mkuu wewe kila taarifa una uhakika nazo... Ninawasiwasi na uraia wako [emoji1787]Kula like!
Halafu sina uhakika na taarifa za ulichopost kama ni za kweli au la. [emoji23] [emoji28]
Everyday is Saturday................................😎
Serikali haina kazi za kufanya ndiyo maana inatumia muda mwingi kufanya upuuziWaziri aache ujinga kupambana na wananchi wanao eleweka wanataka nini.
Wao viongozi ndiyo hawaeleweki kila anayesimama anasema la kwake juu ya korona na vifo vya watanzania.
Kama wao wamepata chanjo basi wawaache watanzania nao washee taarifa zitakazowasaidia kuchukua tahadhari
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
.....
Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.
.....
Kama nilivyofanya sio? Ambia difenda iniwahi chaapKuna wengine kazi yao ni ku-dislike kila ninachoandika humu jukwaani. Hao nao yapaswa washughulikiwe.
Hapo wanatafutwa wanyonge tu mkuuMbona Maaskofu wapo " Live" na story za moto kabisa TAARIFA si aanzie huko.
Hakuna cha kufuatilia labda story za akina Gig , Diamond,Alikiba n.k
Hakuna jipya
Ngoja Ni like comment yako ili wanifunge.Hawa wanaolike ovyo ovyo,,dawa ni kuwafunga tu,,kwa ushauri wangu
Mie ni mnyarubanja tokea Ngoni migration, tulikaa Misri utumwani sasa tuko Kanani nchi ya asali na maziwa!Mkuu wewe kila taarifa una uhakika nazo... Ninawasiwasi na uraia wako [emoji1787]
Mmmhhh!!!!,We Jamaa,jina la kilugha, comment ya kilugha,Sasa sisi tusiojua lugha yako tutapataje ujumbe wako??.Yakebhono likangi kabhisa