Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hili swali sijategemea kama ungeuliza
Je,mgombea anaweza kuwa kwenye timu ya kampeni ya mgombea mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je,mgombea anaweza kuwa kwenye timu ya kampeni ya mgombea mwingine?
Kwa hiyo wenye shida na rais nao wasemeje?Naam sisi wenye shida naye ofisini tunashindwa kumuona kupata ufumbuzi wa matatizo yetu kwa sababu yuko kwenye kampeni kumpigania mtu mwingine.
Kila tukienda tunaambiwa subiri waziri mkuu arudi ofisini, yuko kwenye kampeni za kumnadi Magufuli
Walikuwa wapi kipindi chote wasitoe ufafanuzi?
Je Waziri mkuu anamfanyia kampeni rais na kutoa ahadi za kuagiza utekelezaji kama nai maana huku anatajwa kama mjumbe wa kamati ya kampeni na si waziri mkuu?
Je sheria inamruhusu mjumbe kufanya kampeni eneo ambalo mgombea hayupo, na kama ndivyo, je ratiba si zitaingiliana na wagombea wengine?
Je huyo waziri hakuwa na mpinzani kule ruangwa?
Watu wasiozidi 50, sasa bwana Jiwe mbona anatembea na 100+ ?
Je, mgombea anaruhusiwa kuwa kwa kamati ya mgombea mwingine?
Na je waziri mkuu sheria inasemaje?
Kwa hiyo wenye shida na rais nao wasemeje?
Hawajajibu waziri mkuu anafanya kampeni za urais kwa kifungu gani cha sheria.
UmeerewaaaIna maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.
Weka hapa hiyo sheria,Sheria hazimruhusu waziri, mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kupiga kampeni kwa chama chochote.
Tuliza kichwa utaelewa.
Waziri mkuu ni mgombea ubunge kule kwake!Rais yeye ni mgombea anatafuta kura zake, na kanuni zimempa leeway kubwa kuliko mawaziri, wakuu wa mikoa na watendaji wengine wa serikali
Sanduku la kura litatoa majibu, maana kama kuna wapiga kura 700, na alitegemea 600 baada ya kuwa peke yake, basi atapata 100, hapo ndo ajiulize kama anapendwa hizo 600 zilienda wapi.Walimteka ili apite bila kupingwa
Kama ni timu na iliwasilishwa tume siku 2 kabla ya uteuzi, kwa nini haikuwekwa kwenye ratiba ya Tume? Na kwa sasa hiyo timu inatumia ratiba gani?Swali la kipumbavu sana hilo!
Unaweza kuwek kifungu cha sheria anayokiuk waziri mkuu?Kama ni timu na iliwasilishwa tume siku 2 kabla ya uteuzi, kwa nini haikuwekwa kwenye ratiba ya Tume? Na kwa sasa hiyo timu inatumia ratiba gani?
Team maana yake ni kuwa pamoja, uliona Wapi Kagere, Chama, Boko na wachezaji wingine wa Simba Wakicheza kivyao, mfano ratiba ya ligi kuu ni mchezo kati ya Simba vs Ruvu JKT uwanja wa Taifa halafu wachezaji hao peke yao bila hata kocha wao wakacheza na Kagera Sugar Kaitaba Bukoba kwa muda ule ule kwa jina la Simba? Kama Majaliwa yuko kwenye team ya Magufuli ni lazima aambatane naye kwenye msafara, siyo Mmoja anaendesha kampeni Dodoma, Mwingine RuvumaSo
Si umeambiwa ni timu ya kampeni au hjaelewa
timu ya kampeni hata ndugai ruksa mbowe nae angehitajika ruksa,Hoja ni sheria inasemaje kuhusu Waziri Mkuu?
Wewe lala tu maana hata uwezo wa kuelewa kinacholalamikiwa, huna.Ina maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.
Team maana yake ni kuwa pamoja, uliona Wapi Kagere, Chama, Boko na wachezaji wingine wa Simba Wakicheza kivyao, mfano ratiba ya ligi kuu ni mchezo kati ya Simba vs Ruvu JKT uwanja wa Taifa halafu wachezaji hao peke yao bila hata kocha wao wakacheza na Kagera Sugar Kaitaba Bukoba kwa muda ule ule kwa jina la Simba? Kama Majaliwa yuko kwenye team ya Magufuli ni lazima aambatane naye kwenye msafara, siyo Mmoja anaendesha kampeni Dodoma, Mwingine RuvumaNEC: TIMU ZA KAMPENI
Timu ya kampeni ni kundi la watu lililoundwa na mgombea wakati wa mchakato wa uteuzi au uchaguzi kwa lengo la kumnadi na kumsaidia mgombea huyo katika kampeni za uchaguzi (Kifungu 7(3).
Mgombea atakayekuwa na timu ya kampeni anapaswa kuwasilisha majina ya watu wanaounda timu yake ya kampeni siku mbili kabla ya kuanza kwa mchakato wa uteuzi au siku saba baada ya uteuzi, kama ifuatavyo:
1. Mgombea Urais anapaswa kuwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa timu yake ya kampeni yenye watu wasiozidi hamsini (50). (Kanuni 17(1)(a)
2. Mgombea ubunge katika eneo la Tanzania Bara anapaswa kuwasilisha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri husika timu yake ya kampeni yenye watu wasiozidi ishirini (20). (Kanuni 17(1) (b);
Waziri mkuu ni mgombea ubunge kule kwake!
Sasa huko kukosekana kwake ofisini kunakuwepo akiwa kwenye majimbo mengine tu?
Alafu unaposema waziri anakosekana ofisini si kuna wasaidizi? Suala linalohitaji maamuzi yake si simu zipo au unafikiri bado tupo miaka ya 1930?
Hukuona kipindi cha corona watu wanafanyia kazi majumbani? Na nchi nyingine mpaka leo watu wanafanyia kazi nyumbani. Waziri mkuu popote anapokuwa ni ofisi.
Masikini yani hata hujaelewa alihoji nini, unakurupuka tuuIna maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.
Mbona watu wanalazimisha kwamba tuamini Lissu anajua sheria zote! Hii mbona hakuijua? Au alikuwa busy (bize)! Au hazijui sheria ipasavyo.NEC: TIMU ZA KAMPENI
Timu ya kampeni ni kundi la watu lililoundwa na mgombea wakati wa mchakato wa uteuzi au uchaguzi kwa lengo la kumnadi na kumsaidia mgombea huyo katika kampeni za uchaguzi (Kifungu 7(3).
Mgombea atakayekuwa na timu ya kampeni anapaswa kuwasilisha majina ya watu wanaounda timu yake ya kampeni siku mbili kabla ya kuanza kwa mchakato wa uteuzi au siku saba baada ya uteuzi, kama ifuatavyo:
1. Mgombea Urais anapaswa kuwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa timu yake ya kampeni yenye watu wasiozidi hamsini (50). (Kanuni 17(1)(a)
2. Mgombea ubunge katika eneo la Tanzania Bara anapaswa kuwasilisha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri husika timu yake ya kampeni yenye watu wasiozidi ishirini (20). (Kanuni 17(1) (b);
Tundu ni wa kukurupukaIna maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.
Japo mengi mnakosa kuelewa hadi hapo unashindwa kuelewa? Je majaliwa ni mgombea ubunge nani amemruhusu azunguke majimbo ya wenzake ?Ina maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.