NECTA yaacha Utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi bora na Shule bora kwa Kidato cha 4

🤣🤣🤣🤣 mimi binafsi maisha ya Advanced nili enjoy sana na PCM yangu, sikuwahi kuingia darasani isipokuwa siku za mitihani tu, Mtihani wa Mock nikalamba Sifuri safi, madogo wa form five wakaanza kunicheka sana, niliwaambia mimi natafuta div 3 tu ya point 13 nikasome zangu DIT, kama miujiza vile Necta form 6 nikapata 3.13 madogo walionicheka ndio wakawa wakwanza kunitumia matokeo
 
[emoji28][emoji28][emoji28] bahati yako uliipata credt za kwenda chuo.
 
Sio kuficha aibu ya Skuli zetu pendwa?
 
Hujamaliza story..ikawaje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…