Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hebu tuhabarishe zaidi kuhusu hiyo MEWAKA mkuu.Na ndiko tunakoelekea. Mpango wa MEWAKA (Mafunzo Endelevu kwa Walimu Kazini) utawaimarisha walimu katika eneo hili la lugha na ufundishaji.
Shule binafsi zijiandae miaka kumi ijayo wanaweza kukosa wanafunzi kama ilivyo katika vyuo vya ualimu vya binafsi. Iwapo lugha itakuwa ya Kiingereza Msingi, idadi ya wazazi watakaopeleka watoto wao huko itapungua.
Leo wazazi wengi waliosomesha watoto elimu ya msingi English Medium wanatafuta nafasi katika shule za boarding za serikali kwa sababu wanaamini mtoto akimasta lugha hiyo, ufaulu sekondari ni hakika.
Mitaala mibovu, we unalaumu Lugha🤣🤣Wizara ya elimu iamue shule zitumie lugha moja ya kufundishia kuanzia elimu ya msingi mpaka chuo kikuu. Hii ya kubadili gear angani ndio chanzo cha ubovu wa elimu yetu.
Yaja. Subiri ha ha ha 😂Hebu tuhabarishe zaidi kuhusu hiyo MEWAKA mkuu.
Hilo nalo ni miongoni mwa matatizo yaliyopo kwenye mfumo wetu wa elimu mkuu. Kuna mambo mengi yakurekebisha mimi nimegusia moja tu.Mitaala mibovu, we unalaumu Lugha🤣🤣
Binafsi bado sijashawishiwa na hizo sababu za kusitisha huo utaratibu, nilitamani wauboreshe badala ya kusitisha.
Kwanini, nasema hivyo. Sababu zangu ni hizi hapa.
1. Utaratibu ule uliongeza ushindani na kuchochea uwajibikaji miongoni mwa wamiliki, walimu na wanafunzi.
2. Ulichochea ubora katika utoaji wa elimu.
3. Uliwapa wahusika (serikali, taasisi binafsi, wazazi na wanafunzi) tathmini ya haraka na uhakika kujua walipotokea, walipo na wanapoelekea kielimu kulinganisha na wengine waliofanikiwa au kuanguka.
Kiujumla ule utaratibu ulikuwa unaleta Vibe ya kipekee katika masuala ya elimu.
SafiBaraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne
Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule
"Unamtaja mtu kwamba ameongoza katika kundi ambalo pamoja na kwamba wamefanya mtihani huo huo lakini hawakusoma katika mazingira yanayofanana, alafu sasa unampa sifa mtu mmoja"
Kuhusu kumtangaza mwanafunzi bora wa mtihani huo amesema hakuna tija katika hilo kwani hauwezi kumtangaza mwanafunzi mmoja katika ya wanafunzi wote Tanzania ambao huenda pia mazingira yao ya kusoma yalikuwa tofauti
Chanzo: EA Radio
Haya ni matokeo ya kuwa na viongozi wenye elimu ya kuungaunga. Shule nyingi zilizokuwa zikishika mkia zina uhusiano na walio madarakani hivyo wamefanya hivyo kwa lengo la ubaguzi hasa udiniBaraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne
Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule
"Unamtaja mtu kwamba ameongoza katika kundi ambalo pamoja na kwamba wamefanya mtihani huo huo lakini hawakusoma katika mazingira yanayofanana, alafu sasa unampa sifa mtu mmoja"
Kuhusu kumtangaza mwanafunzi bora wa mtihani huo amesema hakuna tija katika hilo kwani hauwezi kumtangaza mwanafunzi mmoja katika ya wanafunzi wote Tanzania ambao huenda pia mazingira yao ya kusoma yalikuwa tofauti
Chanzo: EA Radio
Unafikiri ni akili zao? hii ni kampeni ya muda mrefu ya HakielimuKumbe bado tuna viongozi wenye akili. Well done NeCTa
Wachache sana wanatambua hilo.Niligundua elimu ya Advance ni ujinga tuu bora ningeenda chuo baada ya form 4, ila ndio hivyo nikawa tayari nimedandia mtumbwi wa vibwengo
Hahahah ule utaratibu haukuwa Sahihi bhana, watu wanahangaika kupata mitihani ili wapate ufaulu wa juu na kukuza biashara.Kaingia Shekhe pale NECTA kaletewa Mkeka wa TO kaona ni majina ya VATICAN tupu ikabidi apige chini huo utaratibu. Shule zooote za Mwisho ni shule za Dini yake ataanzia wapi kuzitangaza ni ovyo.
Hio utaratibu ulileta hamasa ya watoto kusoma kwa bidii ili watambulike kama TO sidhan kama kulikua na ubaya wowote basi hatuna maono na vitu vya msingi
Exactly..upumbavu tu
kama unatambua watu wanatoka mazingira tofauti kwa nn uweke mtihani mmoja kwa wote
kama vp kila shule ipewe mtihani wake, unatoa mtihani alafu utaki sema ufaulu ukoje
ukweli utabaki shule za serikali ni tia maji tia maji
na wew mwanakibaha manAfadhali maana shule hii ingeingia top ten za mwisho [emoji23], headmaster atakuwa amefurahi sanaView attachment 2499154