Dah... Waliong'ara ? ....Dah 😂😂😂🤭Naona makamba amewakumbuka vijana wenzie.Hao Mafuru na Mchechu ni CEOs waliong'ara sana na kuleta mapinduzi kwenye taasisi walizo wahi kuendesha. Sema siasa pia iliwaingilia mno kiasi wakashindwa kuhimili,na kuathiriwa na uadirifu
Sasa hivi CV ndo zinaongea. Mambo ya kupewa cheo kisa una kadi ya chama yanafifia. Huyo Nehemiah Mchechu alikuta benki ya NCBA inatengeneza hasara akaifanya mpaka kaanza kutengeneza faida.
Kwamba Tanzania haina watu wengine zaidi ya hao. Wameshatolewa kwa ubadhirifu wanarudi tena. Nchi hii mbovu sana na inakera sana. Rais ajue anatengeneza hasira sana kwenye mioyo ya watu hajui tu.Tupambane jamani
Watu wanarudi wale wale kama vile watu hawapo
Gachuma ni tajiri mkubwa ana njaa gani?,maajar ni wakili mkubwa sana na mwenye kipato kikubwa ana njaa gani?Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
Kwani hakuna vijana wengine wenyeuwezo na hizo kazi?Hakika ....
Mchechu na Mafuru ni vijana wazalendo wenye weledi mno....
MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI
Hahahahahah jamaa aligunduliwa ni mkolomije ila Tapeli tu 😅Enzi za msoga dynasty Hadi mtu Kama mwakyembe alishaanza kutengeneza kampuni yake ya mfuko ya kufua umeme wa nguvu za upepo sijui aliishia wapi nayo[emoji1][emoji1787]
Mkuuu tatzo wizi nao kwenye sanduku la kura ?Mama alipohamua kumteua January kuongoza wizara nyeti na ya kimkakati kama ya NISHATI ametoa boko kubwa mno!![emoji34][emoji34][emoji34][emoji22][emoji22][emoji22].
Mama tuonee huruma watanganyika ingawa wewe huna cha kupoteza huku bara.
Katiba mpya muhimu sasa kuliko wakati mwingine wowote .
#FreeMbowe japo anaitaka katiba mpya kwa maslahi yake binafsi.
Uchaguzi wa 2025 CCM lazima tuiondoe mama wa kizenji arudi nchini kwao kula mafao ya kustaafu.
Akina mama wa kitanganyika chagueni kutetea jinsia huku mkiwaachia nchi ya taabu na dhiki kuu watoto waliotoka matumboni mwenu au chagueni raisi bila kujali jinsia. Yaani raisi atakaye waandalia watoto wenu maisha bora yasiyo na mateso.
Wanalipwa vikao wanavyohudhuriaHivi wajumbe wa bodi wanalipwa mshahara kila mwezi au hua inakuaje?
Balozi USAhuyu ndiye nani na alikuwa nani?
Rudi shule bata mzinga ww cyo kugomboni ni KIGAMBONIAcha kujiaibisha na chuki zako kwa kikwete! Na Ndo mana mnazidi kuonekana washamba! Kazi kudharau tu wanawake! Mnamdharau Samia kana kwamba yeye hana akili au hawezi kuongoza wajinga nyie.
Samia anachagua timu yake yeye anayoona inafaa kwa utashi wake na ushauri anaopewa na vyombo!
Huyo Magufuli unayemsifu hapa ndo ameiua National Housing. Tangu aingie miradi yote ya kawe, Morroco na kugamboni ilisimama na kufa kisa chuki zake na kijana mchechu!
Yeye alipenda kujenga na kupeleka miradi chato tena bila bajeti! Hela alikuwa anataka kuchukua kwenye mashirika na Ndo mana hakuendana na watu wenye misimamo na akili Kama Prof Assad, Nehemia Mchechu na Mafuru!
Safi Sana ,tunataka watu wenye connection na Dunia ya biashara sio blaa blaa.
Amepiga dili gani? Amehukumiwa na Mahakama gani?Hakuna CV yoyote inayoongea ni connections tu ndizo zinaongea na Mchechu ni mpiga dili tu.
Wametolewa kwa ubadhirifu gani? Weka ushahidi hapa wa Mahakama iliyowahukumu kwa huo ubadhirifu.Kwamba Tanzania haina watu wengine zaidi ya hao. Wameshatolewa kwa ubadhirifu wanarudi tena. Nchi hii mbovu sana na inakera sana. Rais ajue anatengeneza hasira sana kwenye mioyo ya watu hajui tu.
Dili gani walipiga? Mbona hamkuwapeleka Mahakamani Kama mlikuwa na ushahidi?Hahahahahaha yani safu ya wapiga dili imerudi mchezoni kwa aina yake 😅 hapo Makamba anaenda kupiga hela ndefu sana ndani ya muda mchache mno!
Hawa watu huwa wana circulate tu kama vile hakuna watu wengine wenye akili zaidi yao nchini! Leo NHC mara katumbuliwa kesho yupo NSSF mara kachomolewa keshokutwa yuko TPA mara kang’olewa anakuja kuibukia TANESCO! Je, hawa watu ni miungu ama? Don’t we have any new heads za management humu nchini ni lazma wawe hao hao akina Dau, Mchechu?
Wataje hao watu wenye exposure na elimu kubwa ili wazingatiwe. Kama unaishia kubwabwaja na wewe ni wale wale tu!Acha upumbavu wewe, ina maana hao jamaa pekee ndio wanaojua management sana kuliko wengine? Mbona kuna watu wako exposed na wana ma elimu makubwa tu ni Diaspora kwanini wasitafutwe hao kama hatuviamini vichwa vyetu vya UDSM?
Kiufupi hapo kitakachofata ni upigaji tu sawa na mbwa kumteua fisi na simba kukabidhiwa ulinzi wa bucha! Subirieni mgao na bei ya luku kupanda kwa sababu za ajabu ajabu. Sahizi wameanza na kisingizio cha kuweka nguzo za zege najua tutafikia ambako umeme unakatwa tu kwa kisingizio mabwawa yamekauka hayana maji y kutosha wakati mvua zilikuwa nyingi tu ili watu wauze majenereta na kukaribisha kampuni za mfukoni za kufua umeme.
Shamba la Bibi.. Most likely hiyo kampuni itakuwa ya SSB... Kuishi kwingi ni kuona mengi.. Kazi iendeleeHii reshuffle na sura zinazoingia dhamiri yangu inaniambia kitu kingine kabisa.
After six months kuna kampuni mpya inayojihusisha na Nishati huenda ikasajiliwa au itapata tender TANESCO.
Naona unapiga ramli sio! Hakuna cha Mtao wa umeme wala nini! Nyie mlipoanza kukata umeme hovyo ili kumfanya Mama aoneoane hafai ilikuwa nini ile? Mmegunduliwa na kutolewa Nishati na Tanesco ndo mnaanza maneno! Hamna akili nyie mmejaa ushamba na chuki tuHahahahah jiandaeni na powercuts kwa kununua majenereta kabla nchi haijaanza kukaukiwa na mabwawa ya Mtera na Kidatu kama ilivyokuwa 2009-2011 😅
Wizi uendeleeShamba la Bibi.. Most likely hiyo kampuni itakuwa ya SSB... Kuishi kwingi ni kuona mengi.. Kazi iendelee