Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Naona makamba amewakumbuka vijana wenzie.Hao Mafuru na Mchechu ni CEOs waliong'ara sana na kuleta mapinduzi kwenye taasisi walizo wahi kuendesha. Sema siasa pia iliwaingilia mno kiasi wakashindwa kuhimili,na kuathiriwa na uadirifu
Dah... Waliong'ara ? ....Dah 😂😂😂🤭
 
Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
Gachuma ni tajiri mkubwa ana njaa gani?,maajar ni wakili mkubwa sana na mwenye kipato kikubwa ana njaa gani?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Enzi za msoga dynasty Hadi mtu Kama mwakyembe alishaanza kutengeneza kampuni yake ya mfuko ya kufua umeme wa nguvu za upepo sijui aliishia wapi nayo[emoji1][emoji1787]
Hahahahahah jamaa aligunduliwa ni mkolomije ila Tapeli tu 😅
 
Mkuuu tatzo wizi nao kwenye sanduku la kura ?
 
Rudi shule bata mzinga ww cyo kugomboni ni KIGAMBONI
OVA
 
Kwamba Tanzania haina watu wengine zaidi ya hao. Wameshatolewa kwa ubadhirifu wanarudi tena. Nchi hii mbovu sana na inakera sana. Rais ajue anatengeneza hasira sana kwenye mioyo ya watu hajui tu.
Wametolewa kwa ubadhirifu gani? Weka ushahidi hapa wa Mahakama iliyowahukumu kwa huo ubadhirifu.

Acheni chuki wana chato!
 
Dili gani walipiga? Mbona hamkuwapeleka Mahakamani Kama mlikuwa na ushahidi?

Acheni chuki zenu
 
Wataje hao watu wenye exposure na elimu kubwa ili wazingatiwe. Kama unaishia kubwabwaja na wewe ni wale wale tu!
 
Hii reshuffle na sura zinazoingia dhamiri yangu inaniambia kitu kingine kabisa.

After six months kuna kampuni mpya inayojihusisha na Nishati huenda ikasajiliwa au itapata tender TANESCO.
Shamba la Bibi.. Most likely hiyo kampuni itakuwa ya SSB... Kuishi kwingi ni kuona mengi.. Kazi iendelee
 
Hahahahah jiandaeni na powercuts kwa kununua majenereta kabla nchi haijaanza kukaukiwa na mabwawa ya Mtera na Kidatu kama ilivyokuwa 2009-2011 😅
Naona unapiga ramli sio! Hakuna cha Mtao wa umeme wala nini! Nyie mlipoanza kukata umeme hovyo ili kumfanya Mama aoneoane hafai ilikuwa nini ile? Mmegunduliwa na kutolewa Nishati na Tanesco ndo mnaanza maneno! Hamna akili nyie mmejaa ushamba na chuki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…