Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
NakubaliNchi huliwa na wenye meno, sio vibogoyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakubaliNchi huliwa na wenye meno, sio vibogoyo.
Mafisadi mmetumana humu kufanya fitna pesa za kuwaibia wa Tz zitawatokea puaniNini alichokifanya Magufuli??
Kajenga Dodoma ambayo ilimshinda nyerere, kajenga Bwawa la kuzalisha umeme lililo shindikana tangu enzi za nyerere, kajenga Sgr tena kaanza na ela za ndani, Kikwete kitu ambacho kilimshinda Mpaka shirika lilikuwa limejifia,Kajenga masoko ya madini kila kanda pamoja na mitambo ya kuchenjua madini Kitu kilichozishinda serikali zilizopita,Kangalie stendi ya mbezi,angalia masoko ya kisasa yalivyojengwa kipindi cha Magufuri,hapo utujaenda kwenye miundombinu ya barabara na flyover,tena hiyo kazi kwa miaka 5 tu,ebu Wewe tueleze Kikwete kafanya nini kwa miaka kumi aliyokaa madarakaniUkitoa kufufua ATCL, Magufuli amefanya nini ambacho hakikuweza kufanywa na wengine??
Na ATCL yenyewe ni hasara tupu..
Kajenga nini Dodoma? Jengo la Bunge alijenga yeye? Majengo ya serikali yaliyokuwepo kabla yake alijenga yeye?Kajenga Dodoma ambayo ilimshinda nyerere, kajenga Bwawa la kuzalisha umeme lililo shindikana tangu enzi za nyerere, kajenga Sgr tena kaanza na ela za ndani, Kikwete kitu ambacho kilimshinda Mpaka shirika lilikuwa limejifia,Kajenga masoko ya madini kila kanda pamoja na mitambo ya kuchenjua madini Kitu kilichozishinda serikali zilizopita,Kangalie stendi ya mbezi,angalia masoko ya kisasa yalivyojengwa kipindi cha Magufuri,hapo utujaenda kwenye miundombinu ya barabara na flyover,tena hiyo kazi kwa miaka 5 tu,ebu Wewe tueleze Kikwete kafanya nini kwa miaka kumi aliyokaa madarakani
Wanakumbuka nini? Wana shida gani waliorudishwa?Ccm tujitazeme Sana na Hawa watu mnaowarudisha, wananchi sio wajinga wanakumbuka, Amina nawaambia tutarudi ile ccm ukivaa kijani unazomewa mtaani. Yetu macho
Wanaonijua wanajua nilipoanza na nilipo! Kila mtu hapa anajua nilipingana na Magufuli kwa Sera zake za kuua watu na kuua uchumi hasa sekta binafsi . Labda uwe mgeni wa JF ndo utakuwa hunijui!Ww huwa ni ndumilakuwili kuna mtu ameuquate uzi wako kule juu......
ona aibu japo kidogo.......
fanya kama vile unapita huku umeziba uso
Nani kakwambia Mimi ninataka uteuzi? Huwezi nijua Mimi ni nani na Ndo mana ninatumia fake is humu!Wewe ni "Mnafiki" Sana, yale yale ya kipindi cha Magufuli alisifiwa na wasaidizi wake akawa na wapambe kila mahali akajawa na sifa bila kujua kwanini walimsifia, kitendo kile kilimfanya awachukie waliomkosoa leo hatuko naye manafiki yanaanza tena wewe ukiwemo.
Teuziiiiiii teuuuuuuziii zitawaponza !!
Subiri utapata majibu yakeNdo tunavyopanga,wewe kwani unasemaje
Hii ni term ya tatu ya JKMtaongea sana chato gang
Endelea kujidanganya. The mastermind aliyeshika remote yuko Msoga. Eti "ukizingua nakuzingua".Jifurahishe tu!
Hii ni Awamu ya 6 chini ya CIC Samia Suluhu Hassan
Ccm tujitazeme Sana na Hawa watu mnaowarudisha, wananchi sio wajinga wanakumbuka, Amina nawaambia tutarudi ile ccm ukivaa kijani unazomewa mtaani. Yetu macho
Si mmezoea ramli! Endeleeni kupiga ramliHii ni term ya tatu ya JK
Endelea kujidanganya. The mastermind aliyeshika remote yuko Msoga. Eti "ukizingua nakuzingua".
Sahau ilo! Shirika linaenda kufanya kazi kiufanisi zaidi!Muda sio mrefu genge lako linalokupa ulaji kwa sasa mtaturudisha enzi za JK za majenereta na dili za mafuta ya umeme ambazo jiwe alizivuruga.
Jibu swali! Amehukumiwa na Mahakama gani? Mbona kina Mramba, Liyumba walihukumiwa?Ni rahisi zaidi mwizi wa kuku kuhukumiwa kuliko wapiga dili kama Mchechu.
Endeleeni tu kuleta nadharia zenu! Nchi inasonga mbele na kazi zinaendeleaUko sahihi, sahihi kabisa, lkn kuna "kuoa" mke ambaye hujamchagua ila umechaguliwa na wazazi. Kwa Kiwete alikuwa ni "mke" aliyemchagua, kwa Magufuli alikuwa ni "mke" wa kuchaguliwa na sasa kwa Samia ni "mke" wa kujichagulia 😀 😀 😀 😀 😀
Kwani mwanaidi anatatizo gani?Mkwere hajali Nchi kukwama furaha yake nikuona watu wake wanarudi wote Sasa Mwanaidi wanini sasa
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Kama Dodoma kilikuwa kinashinda serikali kuamia Dodoma mpaka Magufuri alipoingia madarakani?kama unabisha mtafute mzee Mwinyi alisha kuwa Rais wa nchi hii, alisema Magufuri alifanya mambo makubwa yaliyowashinda yeye na wenzake kwa miaka 40,tena Magufuri kayafanya kwa miaka 5,tafuta You-torbe ukasikie mwenyeweKajenga nini Dodoma? Jengo la Bunge alijenga yeye? Majengo ya serikali yaliyokuwepo kabla yake alijenga yeye?
Nani kakwambia SGR alianza kujenga kwa fedha za ndani? Tanzania hatukuwa na mabwawa ya umeme?
Hizo stand na miundombinu iliyokuwepo kabla yake alijenga yeye?
Acheni kutuona Watanzania wajinga kama mlivyo nyie! Nchi hii imejengwa tangu inaanza na yeye kaingia madarakani ameikuta nchi imejengwa sana tu!
Kuhamia Dodoma nako ni jambo kubwa?Kama Dodoma kilikuwa kinashinda serikali kuamia Dodoma mpaka Magufuri alipoingia madarakani?kama unabisha mtafute mzee Mwinyi alisha kuwa Rais wa nchi hii, alisema Magufuri alifanya mambo makubwa yaliyowashinda yeye na wenzake kwa miaka 40,tena Magufuri kayafanya kwa miaka 5,tafuta You-torbe ukasikie mwenyewe
Wewe ndio huna akili kabisa. Miaka kumi ya Kikwete uchumi wa Tanzania ulikuwa unakuwa kwa spidi ya asilimia 7! Aliajiri kila mwaka na kupanndisha mishahara. Barabara za lami nchi nzima na mahusiano yetu na nchi karibu zote duniani yalikuwa mazuri mno.Jakaya alifika pazuri wapi? Pa kuiba hela za umma? Wewe una akili kweli?
Sasa naamini kilichopo ni kama lile beto manara wa Simba Vs manara yanga na jingine ni lile beto la mwendazake na Chifu Hanganya