NEMC mko wapi wakati Mwamposa anatupigia kelele usiku kucha?

Martha Mwaipaja na Christina Shusho ni wake za watu hao.. kuna ukweli au umeamua kuwachafua watumishi wa mungu.
 
Mwamposa anakula na wakubwa
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Serikali inawaogopa sana wachungaji hasa mama samia anaofia kuambiwa kuwa anawaonea sababu yeye sio dini yake hata jafo hawazi fanya lolote kuhusu makanisa labda wananchi wa kichoka waamue kuwanyamazisha kila kona ya nchi hii makanisa ya kirokole ni kelo, tinga tinga tu lioikuwa halihiali sijui muisilamu mkirito kisu kinapita tu lakini huyo mama haaaaaaa hawezi kabisa ni muoga mno
 
HATA MISIKITI INAPIGA SANA KELELE HATULALI VEMA HASA ILE ALFAJIRI
Hapa anaongewa mwamposa sio misikiti na wewe anzisha hoja yako yakuhusu misikiti pia utaje hizo kelele zinadumu muda gani,sababu makanisa ya kirokole miziki vilio mchana kutwa na usiku bila kujali kuwa kuna baadhi ya waumini wao ni wagonjwa
 
Kibali gani hicho kinacho vunja sheria ya mitetemo?fahamu miziki sio Katazo ila ipigwe kwa sauti ya chini sio ya maudhi
 
sadakaa zinakusumbua nani kakwambia ukae kawe kuna mbezi beach tegeta njoo huku mkuu
Naishi Mbezi Beach karibu na Club 25, ndiko nimesikia hayawani huyo
 
Pole sana Mbumbumbu wa karne ambaye hujui lolote juu ya Imani. Kumbuka kanisa ni zaidi ya upeo wako wa kufikiri
Mimi siyo mbumbumbu wa imani kenge wewe. Mimi ni Mkatoliki ambaye ninasali kwenye Kanisa Takatifu la Mitume, lililoanzishwa na Mtume Petro kwa maagizo ya Yesu Kristu mwenyewe soma Mathayo 16:18.

Mimi na akili zangu siwezi kufuata huo uhayawani wenu kwa hao matapeli mnawaita manabii
 
Wewe pimbi hujui unachoongea kwa kuwa uko indoctrinated tayari. Wewe kwa sasa Mwamposa akitaka uuuze mali zako na mujichome moto ili kwenda mbinguni kama alivyofanya KIBWETERE, utakubali tu mbwa wewe. Yaani mtu na akili zako unamfuata Mwamposa?? Shenzi kabisa
 
NAISHI MBEZI BEACH MAENEO YA SKY LOUNGE SIJASIKIA HIZOKELLELE
Wewe huwezi kuishi Mbezi Beach na ufukara ulio nao. Labda uwe mlinzi wa saiti ambayo haijalamilika kujengwa
 
Kwani mwamposa alikuwa wapi wakati NEMC wanawafungia wapiga kelele
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Martha Mwaipaja na Christina Shusho ni wake za watu hao.. kuna ukweli au umeamua kuwachafua watumishi wa mungu.
Kwenye fedha hakuna cha mke wa mtu, waambie tu waume zao kuwa wake zao wanaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…