NEMC mko wapi wakati Mwamposa anatupigia kelele usiku kucha?

N MAANDIKO USISHINDANE NA MPUMBAVU USIJE KUWA ,PUMBAVU
bora mshenzi kuliko mpu.....
 
kamaa kanisa lako linakufundisha matusi hivi basi una shida kama sie anaekuongoza turn ur life toGod
 
Mbona Watu wanakufa maka huko na hawaachi kwenda. Kumbuka imani ni zaidi ya akili yako
Imani za kuwa brainwashed ni upumbavu tu. Na hatuwezi kuwacha kuwakemea kwa sababu mkifa mnatuletea matatizo sisi tunaobaki

Mwamposa ni mchawi tu aliyesomeshwa vizuri na ma concord ya Nigeria.
 
kamaa kanisa lako linakufundisha matusi hivi basi una shida kama sie anaekuongoza turn ur life toGod
Hakuna matusi hapo sema akili zenu mumejizima data. Hiyo brainwash mlitopigwa na Mwamposa siyo ya kitoto !! Ni sawa tu na ya wale wakenya wa Shakahola.
 

Acha wivu na roho mbaya,yawezekana wewe ndio una mabaya zaidi hata ya mwamposa,nakushauri pambana kutafuta pesa uondokane na umasikini na wivu wa kisengerema.
 
Mwanaharamu ina maana tofauti na unachokiongezea kwenye wasifu wake ambao nao tungependa kujiridhisha na usemacho
 
Hizi ni cult tu ndugu hakuna dini pale, biblia kidogo na uchawi wa Nigeria. Watu wanakuwa brainwashed na hizo ndiyo stages za awali za kufikia walikofika akina Kibwetere na Mackenzie.

Kama anaponya watu si aende Muhimbili au Ocean Road pale tukaone wagonjwa wakipona
 
zilekelelee za saa kumi kila siku huzisikii ama una matongotongo kaa kwa passwd tutazuia na yale makelelee ya saa kumi kila siku.....usijitoe ufahamu anza na hizi kwanza ,,usiumie na imani za watu na ukienda tegeta tunakuja humo humo
Adhana ya Kiislamu kwenye misikiti haifiki dakika 5 kila wakiswali. Huwezi compare na hawa washenzi wa madhehebu ya kilokole
 
UKIMCHUKIA MWAMPOSA UNAICHUKIA NCHI
Mwamposa jina kubwa tulizeni mashetani hayo... Maza mwenyew juzi kati kamtuma rc kutoa sadaka... Wote semeni Ayayayaaaah
 
Dah...

Shida iko hapo kaka Paskali...

Huweizi kujua yupi sahihi na yupi anakosea..

Bila kufungua mlango wa Tatu wengi sana watapotea..
 
Kukosa usingizi kwa sababu ya Makelele hayo ni matatizo yako sio ya mpiga kelele

wavuvi wanauchapa usingizi wakiwa ndani ya bahari wakivuta nyavu
 
Yaani wamenizidi fedha haramu ndiyo niwanyamazie? Eti wamenizidi elimu? Wangekuwa na elimu wasingekubali kununua maji na mafuta!! Huo ni uchawi tu wa Mwamposa
Kwani uchawi unashida gani kama unakusaidia na mambo yako yakuwa mazuri
 
kamaa kanisa lako linakufundisha matusi hivi basi una shida kama sie anaekuongoza turn ur life toGod
Wewe ni totally indoctrinated huwezi kunielewa, subiri tu siku Mwamposa anawachoma moto kama Kibwetere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…