Nenga ana roho ngumu sana. Mimi siwezi kuachwa na mwanamke achumbiwe na mwingine, halafu baadaye anirudie nimuoe

Wanawake waliopita THT karibia 80% mwongoza njia amepita nao
Nandy. Linah. Mwasiti. Mke wa romy jons zamaradi. Jay dee.. ray c..kaby. .jamaa kachafua wote..

Na wote wanabugia karanga
 
Mapenzi yako very powerful kuliko tunavyodhani..... Mpaka wanaoana hao Kuna mambo kadhaa yamekatiza hapo katikati.....
 
Ndio maana ya Mungu..
 
Kwa hiyo Ruge alikuwaga anagonga hapo? Duh kuna watu wana roho ngumu sana
 
Mimi nina Swali Moja tu Kwao Wanandoa hawa je, walipima VVU na Kujiridhisha 100% na Matokeo ya Vipimo? Nimesikitika sana, ila naomba tu niishie hapa tafadhali.
 
Shida ni kwamba Wille Hela Hana na Faustina Charles kwao Hela Ipo so ni Kama William kaolewa Yeye

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimeona ona sana wadau wakisema Nandi katoka familia yenye hela! Ebu fafanueni, ni Nandi yupi, huyu Nandela wa Tabata, baba'ake mwenye shughuli yake kabla ya kufika Mawenzi pale? Nandi yule akiuza duka au?
 
Nimeona ona sana wadau wakisema Nandi katoka familia yenye hela! Ebu fafanueni, ni Nandi yupi, huyu Nandela wa Tabata, baba'ake mwenye shughuli yake kabla ya kufika Mawenzi pale? Nandi yule akiuza duka au?
Mi pia nimechoka hoii,wanaosema Nandy kwao Kuna hela ipi labda?

Pesa ya Nandy imekuja baada ya Nandy kua mwanamuziki na ruge kuwajengea wazazi wa Nandy nadhani mlandizi hukoo...

Hii nchi bwana watu wanalishana uongooo[emoji16][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…